Na Mwandishi Wetu
Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex Ilala Jijini Dar es Salaam kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa kanisa na kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kufanya mahubiri kwa waumini...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Watoto wa Tanzania wameonyesha juhudi kubwa katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wakihusishwa moja kwa moja kupitia miradi ya mazingira inayotekelezwa...
IWPG Colombia Branch (Branch Manager Ha Un) held the Award Ceremony for the Preliminary Round of the 6th International Loving Peace Art Competition, along...
*Ni kutoka kwa wadau, mwenyewe avunja ukimya
Na Mwandishi Wetu, Gazetini - Rorya
KATIKA hali ya kushangaza Mkuu wa Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Juma Chikoka...
*Awataka kutumia lugha rahisi ziwafikie walengwa
Na Nadhifa Omary, Morogoro
SERIKALI imewataka wana sayansi nchini na wadau wa afya kufanya tafiti zitakazosaidia kuleta suluhisho juu ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameahidi Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwamba Serikali itaendelea...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MAONESHO ya 47 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam, yanayofanyika katika viwanja vya SabaSaba, yamekuwa ni fursa adhimu kwa wadau...