23.8 C
Dar es Salaam

Uncategorized

Na Mwandishi Wetu Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex Ilala Jijini Dar es Salaam kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na...
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa kanisa na kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kufanya mahubiri kwa waumini...

Watoto wanavyoyakabili mabadiliko ya tabianchi kwa kuotesha miti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Watoto wa Tanzania wameonyesha juhudi kubwa katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wakihusishwa moja kwa moja kupitia miradi ya mazingira inayotekelezwa...

IWPG Colombia Branch, Hosts Award Ceremony for the Preliminary Round of the International Loving Peace Art Competition

IWPG Colombia Branch (Branch Manager Ha Un) held the Award Ceremony for the Preliminary Round of the 6th International Loving Peace Art Competition, along...

DC agomea misaada ya madawati, vitanda Rorya

*Ni kutoka kwa wadau, mwenyewe avunja ukimya Na Mwandishi Wetu, Gazetini - Rorya KATIKA hali ya kushangaza Mkuu wa Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Juma Chikoka...

Dk. Magembe: Wanasayansi fikisheni taarifa za utafiti kwa jamii

*Awataka kutumia lugha rahisi ziwafikie walengwa Na Nadhifa Omary, Morogoro SERIKALI imewataka wana sayansi nchini na wadau wa afya kufanya tafiti zitakazosaidia kuleta suluhisho juu ya...

Dk. Biteko: Serikali itaendelea kushirikiana na GGML, mpeni ushirikiano Mavunde

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameahidi Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwamba Serikali itaendelea...

GGML yaelimisha wadau utekelezaji mpango wa CSR

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAONESHO ya 47 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam, yanayofanyika katika viwanja vya SabaSaba, yamekuwa ni fursa adhimu kwa wadau...

Recent articles

spot_img