24.8 C
Dar es Salaam

Uncategorized

Na Mwandishi Wetu,Gazetini KLABU za Simba na Yanga zimetozwa faini ta sh.5,000,000 kila moja kwa kosa la walinzi wake kugombana na kutoleana lugha za matusi wakati wa mchezo wa Dabi ya Kariakoo ulipigwa Machi 1,2026 kwenye Uwanja...
Na mwandishi wetu, Gazetini FEBRUARI 28, 2026 imeingia kwenye kumbukumbu baada ya kuwa ndiyo siku aliyouawa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika  mashanbulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel yanayoendelea nchini humo. Kwa upande mwingine,...

Alvarez azitolea nje Arsenal, Chelsea

LONDON, Uingereza KLABU za Arsenal na Chelsea zimepata pigo kubwa baada ya watu wa karibu wa Julian Alvarez kusema nyota huyo anaitaka Barcelona. Ripoti zilizopo zinaeleza...

Brown: Bado sijaona kama Rooney

MANCHESTER, Uingereza UNAMKUMBUKA beki wa zamani wa Manchester United, West Brown? Alisifika kwa 'ukatili' wake ndani ya uwanja, hasa kwa washambuliaji tishio aliokabidhiwa kuwadhibiti. Brown aliyezaliwa...

Papa aingilia kati hali ya usalama Nigeria

LAGOS, Nigeria KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, ametuma ujumbe wake wa kutaka kuimarishwa kwa hali ya amani nchini Nigeria. Papa Leo ameyasema hayo...

Anayeshutumiwa kusuka mauaji ya Traore akamatwa

OUAGADOUGOU, Burkina Faso RAIS wa zamani wa Burkina Faso, Paul-Henri Sandaogo Damiba, amekamatwa na vyombo vya dola vya Togo, na kisha kurejeshwa nchini kwake, ambako...

Nigeria yaipiga Misri mshindi wa tatu AFCON 2025

CASABLANCA, Morocco TIMU ya taifa ya Nigeria 'Super 'Eagles' imeshika nafasi ya tatu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) baada ya...

Hospitali zazidiwa wagonjwa Iran

LONDON, Uingereza IDADI ya majeruhi na miili ya waliopoteza maisha imeongezeka kwa kasi, hivyo baadhi ya hospitali kuzidiwa. Ni nchini Iran, ambako maandamano yameendelea kushika...

Kocha mpya Chelsea aanza na kipa

LONDON, Uingereza SIKU chache tu baada ya kutangazwa kuwa kocha wa Chelsea, Liam Rosenior amesisitiza juu ya usajili wa kipa mpya. Akiwa kocha wa Strasbourg ya...

Bilionea atajwa kung’oka meno, kucha gerezani

HONG KONG, China BINTI wa bilionea Jimmy Lai amesema baba yake anayesota gerezani anakabiliwa na changamoto kubwa ya kiafya, ikiwamo kung'oka meno na kucha. Lai mwenye...

Kuelekea Uchaguzi Mkuu Uganda 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini UCHAGUZI Mkuu wa Uganda unatarajiwa kufanyika Januari 15, mwakani, ambapo Rais Yoweri Museveni anawania muhula wake wa saba madarakani. Wakati Rais Museveni...

Ndoa za kitajiri zilizotikisa dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA wengi, ndoa ni tukio muhimu. Katika baadhi ya imani, ndoa ni hatua ya pili ya maisha ya binadamu baada ya...

Mechi hizi hata FIFA haiziruhusu

LONDON, Uingereza KWA mara kadhaa, siasa zimefanikiwa kuingia na kuathiri mchezo wa soka. Ni kama ilivyo sasa kwa Urusi na Ukraine. Baada ya Urusi kuivamia...

Tanzania v Nigeria; Dakika 90 za ‘Daudi na Goliath’ AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini HII ni mechi ya kwanza kwa kila timu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025). Ni mechi ya...

Recent articles

spot_img