Na Faraja Masinde, Gazetini
Mabadiliko ya tabianchi imeelezwa kuwa moja ya changamoto inayoathiri sekta ya kilimo nchini hatua ambayo imesababisha hata mbegu zilizopo kushindwa kustahimili...
*Kuanza kwa kuwekeza Bilioni 250
Na Mwandishi Wetu, Lusaka
Mfanyabishara wa Kimataifa, Rostam Aziz, kupitia kampuni yake ya Taifa Group, ameingia nchini Zambia ambako ameanza kuwekeza...
Na Clara Matimo, Gazetini
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ina dhamira ya kuona sekta ya kilimo nchini ikipiga...
Na Jackline Jerome, Gazetini
Kulingana na takwimu mpya zilizotolewa mwaka huu na Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF), pato la Taifa la Tanzania kwa bei ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman leo Jumamosi Septemba 30, 2023 ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuendelea kuwa mdhamini mkuu wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Wakazi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya Mtwara Vijijini wamefurahishwa na uamuzi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wakuitaka Bandari ya...
*Serikali yasisitiza wananchi kuwa na subira
Na Faraja Masinde, Muheza
“…tuliumia sana, tukawaachia tu wakaruka na kwenda zao. Tukasema hatuna cha kufanya… na wakati huo ndiyo...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesema ipo tayari kushirikiana kikamilifu na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kwa kutumia umeme...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zenye fursa nyingi za uwekezaji katika Ukanda huu wa Afrika Mashariki, sambamba na hilo kwa siku...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Felchesmi Mramba ametembelea banda la Maonesho la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)...