YOUNDE, Cameroon
MLINDA mlango wa Manchester United anayecheza kwa mkopo Trabzonspor ya Uturuki, Andre Onana, hajaitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon. Cameroon...
LOS ANGELES, Marekani
BINGWA wa ngumi za uzito wa juu duniani, Oleksandr Usyk, amemtaja Deontay Wilder kuwa ndiye bondia anayetamani kuzichapa naye katika pambano lijalo....
MERSEYSIDE, England
ZIMEKUWAPO taarifa za Arne Slot kuondoka Liverpool, ikielezwa kuwa huenda mabosi wa klabu hiyo watamfungashia virago. Taarifa za kocha huyo wa kimataifa wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SIMBA imepoteza mchezo wa pili wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufungwa na Stade Malien ugenini nchini Mali.
Mchezo...
CAIRO, MisriFAINALI za mwaka huu za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi lake Desemba 21, mwaka huu, na zitafikia ukomo Januari...
CAIRO, MisriFAINALI za mwaka huu za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi lake Desemba 21, mwaka huu, na zitafikia ukomo Januari...
CAIRO, MisriFAINALI za mwaka huu za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi lake Desemba 21, mwaka huu, na zitafikia ukomo Januari...
CAIRO, MisriFAINALI za mwaka huu za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi lake Desemba 21, mwaka huu, na zitafikia ukomo Januari...
CAIRO, MisriFAINALI za mwaka huu za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi lake Desemba 21, mwaka huu, na zitafikia ukomo Januari...
CAIRO, MisriFAINALI za mwaka huu za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi lake Desemba 21, mwaka huu, na zitafikia ukomo Januari...
MEXICO City, MexicoBEKI wa zamani wa Real Madrid, Sergio Ramos, ameachana na klabu yake ya Rayados inayoshiriki Ligi Kuu ya Mexico.Ramos, ambaye pia alikuwa...
MANCHESTER, EnglandMABOSI wa Manchester City wamemuweka kwenye rada zao kiungo wa kimataifa wa England, Elliot Anderson.Kwa mujibu wa taarifa, Man City inavutiwa na mchezaji...