SHANGHAI, ChinaMASTAA wawili wa mchezo wa tenesi, Novak Djokovic na Daniil Medvedev, wameshindwa kutinga fainali ya michuano ya Shanghai Masters.Katika mchezo wa nusu fainali...
LONDON, UingerezaKIUNGO wa zamani wa Arsenal, Jack Wilshere, huenda akatangazwa kuwa kocha mkuu wa Luton Town ya Ligi Daraja la Pili ya England.Luton wameuanza...
LONDON, UingerezaKATIKA mechi saba pekee za mwanzoni mwa msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), Erling Haaland ameshaifungia Manchester City jumla ya mabao...
JONANNESBURG, Afrika KusiniIJUMAA ya wiki hii, mabosi wa klabu ya Kaizer Chiefs walifikia makubaliano ya kutangaza kumfuta kazi Nasreddine Nabi.Kocha huyo wa kimataifa wa...
BANJUI, GambiaKATIKA mchezo wa jana, straika Pierre-Emerick Aubameyang alifunga mabao yote katika ushindi wa 4-3 wa timu yake ya taifa ya Gabon dhidi ya...
DURBAN, Afrika KusiniMASHABIKI wa timu ya taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana' walijikuta kwenye majonzi baada ya 'chama' lao kulazimishwa suluhu na Zimbabwe katika...
ALGIERS, AlgeriaMSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Algeria, Riyad Mahrez, ameweka wazi kuwa fainali zijazo za Kombe la Dunia zitakuwa za mwisho katika maisha...
Na mwandishi wetu, GazetiniMATUMAINI ya mashabiki wa soka nchini kuiona timu yao ya Taifa, Taifa Stars, ikifuzu fainali zijazo za Kombe la Dunia yameota...
RIYADH, Saudi ArabiaMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameandika historia ya kuwa bilionea wa kwanza kwa upande wa wachezaji mpira wa miguu.Hiyo ni...
RIO, BrazilWAKATI Ousmane Dembele anaitwaa tuzo ya mwaka huu ya Ballon d'Or, Neymar alikuwa kitandani akisikilizia maumivu ya upasuaji. Ni majeraha yake ya tatu...
AMSTERDAM, UholanziMFUNGAJI bora wa muda wote wa timu ya taifa ya Uholanzi, Memphis Depay, amekosekana kikosini kutokana na mkasa wa kuibiwa hati ya kusafiria.Kwa...
MUNICH, UjerumaniMPACHIKAJI mabao wa Bayern Munich, Harry Kane, amesema si kweli kwamba atarudi Ligi Kuu ya England, na badala yake anataka kusaini mkataba mpya...