23.9 C
Dar es Salaam

Michezo

Jesus amfuata Ronaldo, afunguka

RIYADH, Saudi ArabiaKLABU ya Al Nassr ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia imemtangaza Jorge Jesus kuwa kocha wake mkuu.Ni miezi isiyozidi mitatu tangu Mreno...

Kocha United apewa mikoba Oman

MUSCAT, OmanALIYEWAHI kuwa kocha msaidizi wa Manchester United wakati ule wa Alex Ferguson, Carlos Queiroz, ametangazwa kuwa mkuu wa benchi la ufundi la timu...

Yamal aingia matatani kisa ‘birthday’

CATALUNYA, HispaniaSTAA wa Barcelona, Lamine Yamal, anachunguzwa kwa kile alichokifanya wakati wa sherehe ya 'birthday' yake ya kutimia umri wa miaka 18.Katika sherehe hiyo...

Isak kuvunja rekodi Liverpool

MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL inaangalia uwezekano wa kufungua pochi na kumsajili mpachikaji mabao wa Newcastle United, Alexander Isak.Inaelezwa kuwa Liverpool wamepanga kumfanya Isak kuwa mchezaji wa...

Chelsea wana nafasi ubingwa EPL 2025-26?

LONDON, EnglandBAADA ya kutwaa mataji ya Conference League, Chelsea walihitimisha furaha yao wikiendi iliyopita kwa kuifunga PSG mabao 3-0 na kubeba ubingwa wa Kombe...

Nkane, Kibwana wajitosa kwenye ndondi, kuzichapa Julai 26 Dar

Na Mwandishi Wetu Wachezaji wa Yanga, Kibwana Shomari na Denis Nkane wamajitosa kwenye mchezo wa ngumi ambapo Julai 26, 2025 wanatarajiwa kupanda ulingoni kuzichapa katika...

Mokwena ‘aipotezea’ Orlando, atua Algeria

ALGER, AlgeriaKOCHA mwenye jina kubwa Afrka, Rulani Mokwena, amejiunga na mabingwa wa Ligi Kuu ya Algeria, Mouloudia Alger.Kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, Mokwena...

Tolisso aingia rada za Man United

MANCHESTER, EnglandMABOSI wa klabu ya Manchester United wameanza mazungumzo ya kumsajili kiungo wa Lyon na timu ya taifa ya Ufaransa, Corentin Tolisso.Matheus Cunha kutoka...

Xhaka kumfuata Lacazette, mshahara bil. 30/-

RIYADH, SaudiaKIUNGO wa zamani wa Arsenal, Granit Xhaka, amekubali kujiunga na Neom SC ya Saudia akitokea Bayer Leverkusen.Neom SC ambayo ni timu iliyopanda daraja...

Modric atua rasmi AC Milan

MILAN, ItaliaNI rasmi sasa kiungo wa kimataifa wa Croatia, Luka Modric, ni mali ya vigogo wa Serie A, AC Milan.Modric mwenye umri wa miaka...

Chelsea, Liver zaongoza wa matanuzi sokoni

LONDON, EnglandZIKIWA zimebaki siku 50 kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili, klabu za Chelsea na Liverpool ndizo zilizotumia fedha nyingi sokoni.Chelsea imeshatumia Pauni...

Chelsea abeba ubingwa wa Dunia

Timu ya Chelsea imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia la Klabu kwa kuchapa PSG mabao 3-0 kwenye mchezo wa fainali uliopigwa Uwanja wa...

Recent articles

spot_img