Ads: info@gazetini.co.tz |
27.1 C
Dar es Salaam

Michezo

Djokovic akwama kuingia fainali Shanghai

SHANGHAI, ChinaMASTAA wawili wa mchezo wa tenesi, Novak Djokovic na Daniil Medvedev, wameshindwa kutinga fainali ya michuano ya Shanghai Masters.Katika mchezo wa nusu fainali...

Wilshere kupewa kazi Daraja la Pili England

LONDON, UingerezaKIUNGO wa zamani wa Arsenal, Jack Wilshere, huenda akatangazwa kuwa kocha mkuu wa Luton Town ya Ligi Daraja la Pili ya England.Luton wameuanza...

Haaland afikisha ‘hat trick’ sita, mabao 51 Norway

LONDON, UingerezaKATIKA mechi saba pekee za mwanzoni mwa msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), Erling Haaland ameshaifungia Manchester City jumla ya mabao...

Hizi hapa takwimu zilizomponza Nabi

JONANNESBURG, Afrika KusiniIJUMAA ya wiki hii, mabosi wa klabu ya Kaizer Chiefs walifikia makubaliano ya kutangaza kumfuta kazi Nasreddine Nabi.Kocha huyo wa kimataifa wa...

Aubameyang afunga manne, alimwa nyekundu

BANJUI, GambiaKATIKA mchezo wa jana, straika Pierre-Emerick Aubameyang alifunga mabao yote katika ushindi wa 4-3 wa timu yake ya taifa ya Gabon dhidi ya...

Bafana Bafana kufuzu au kukosa Kombe la Dunia 2026?

DURBAN, Afrika KusiniMASHABIKI wa timu ya taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana' walijikuta kwenye majonzi baada ya 'chama' lao kulazimishwa suluhu na Zimbabwe katika...

Mahrez atangaza kustaafu soka mwakani

ALGIERS, AlgeriaMSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Algeria, Riyad Mahrez, ameweka wazi kuwa fainali zijazo za Kombe la Dunia zitakuwa za mwisho katika maisha...

Stars ina safari ndefu, huo ndiyo ukweli

Na mwandishi wetu, GazetiniMATUMAINI ya mashabiki wa soka nchini kuiona timu yao ya Taifa, Taifa Stars, ikifuzu fainali zijazo za Kombe la Dunia yameota...

Ronaldo mwanasoka wa kwanza bilionea

RIYADH, Saudi ArabiaMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameandika historia ya kuwa bilionea wa kwanza kwa upande wa wachezaji mpira wa miguu.Hiyo ni...

Neymar ana nafasi Kombe la Dunia 2026?

RIO, BrazilWAKATI Ousmane Dembele anaitwaa tuzo ya mwaka huu ya Ballon d'Or, Neymar alikuwa kitandani akisikilizia maumivu ya upasuaji. Ni majeraha yake ya tatu...

Depay aibiwa hatia ya kusafiria

AMSTERDAM, UholanziMFUNGAJI bora wa muda wote wa timu ya taifa ya Uholanzi, Memphis Depay, amekosekana kikosini kutokana na mkasa wa kuibiwa hati ya kusafiria.Kwa...

Kane akanusha kurudi England, ataka mkataba Bayern

MUNICH, UjerumaniMPACHIKAJI mabao wa Bayern Munich, Harry Kane, amesema si kweli kwamba atarudi Ligi Kuu ya England, na badala yake anataka kusaini mkataba mpya...

Recent articles