RIYADH, Saudi ArabiaKLABU ya Al Nassr ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia imemtangaza Jorge Jesus kuwa kocha wake mkuu.Ni miezi isiyozidi mitatu tangu Mreno...
MUSCAT, OmanALIYEWAHI kuwa kocha msaidizi wa Manchester United wakati ule wa Alex Ferguson, Carlos Queiroz, ametangazwa kuwa mkuu wa benchi la ufundi la timu...
CATALUNYA, HispaniaSTAA wa Barcelona, Lamine Yamal, anachunguzwa kwa kile alichokifanya wakati wa sherehe ya 'birthday' yake ya kutimia umri wa miaka 18.Katika sherehe hiyo...
MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL inaangalia uwezekano wa kufungua pochi na kumsajili mpachikaji mabao wa Newcastle United, Alexander Isak.Inaelezwa kuwa Liverpool wamepanga kumfanya Isak kuwa mchezaji wa...
LONDON, EnglandBAADA ya kutwaa mataji ya Conference League, Chelsea walihitimisha furaha yao wikiendi iliyopita kwa kuifunga PSG mabao 3-0 na kubeba ubingwa wa Kombe...
Na Mwandishi Wetu
Wachezaji wa Yanga, Kibwana Shomari na Denis Nkane wamajitosa kwenye mchezo wa ngumi ambapo Julai 26, 2025 wanatarajiwa kupanda ulingoni kuzichapa katika...
ALGER, AlgeriaKOCHA mwenye jina kubwa Afrka, Rulani Mokwena, amejiunga na mabingwa wa Ligi Kuu ya Algeria, Mouloudia Alger.Kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, Mokwena...
MANCHESTER, EnglandMABOSI wa klabu ya Manchester United wameanza mazungumzo ya kumsajili kiungo wa Lyon na timu ya taifa ya Ufaransa, Corentin Tolisso.Matheus Cunha kutoka...
RIYADH, SaudiaKIUNGO wa zamani wa Arsenal, Granit Xhaka, amekubali kujiunga na Neom SC ya Saudia akitokea Bayer Leverkusen.Neom SC ambayo ni timu iliyopanda daraja...
LONDON, EnglandZIKIWA zimebaki siku 50 kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili, klabu za Chelsea na Liverpool ndizo zilizotumia fedha nyingi sokoni.Chelsea imeshatumia Pauni...