Ads: info@gazetini.co.tz |
29.4 C
Dar es Salaam

Michezo

CAF: Maandamano ya Morocco hayazuii Afcon

CAIRO, MisriSHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limesisitiza kuwa fainali za mwaka huu za AFCON zitafanyika Morocco, licha ya hali tete ya usalama nchini humo.Maandamano...

Wakongwe wa soka matatani dawa za kulevya

HARARE, ZimbabweWAKONGWE wa Ligi Kuu ya soka ya Zimbabwe, Abas Amidu na Reuben Mhlanga, wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya...

Gerrard kupewa tena mikoba Rangers?

EDINBURGH, ScotlandHUENDA mabosi wa Rangers ya Scotland wakamrejesha kwenye benchi la ufundi kocha wao wa zamani, Steven Gerrard.Mkongwe huyo wa Liverpool mwenye umri wa...

JKT Queens kuweka kambi Uturuki, yautaka ubingwa wa CAFWCL

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Timu ya soka JKT Queens inatarajia kuweka kambi ya wiki mbili  jijini  Istanbul, Uturuki kujiandaa na  michuano ya Ligi ya...

Bayern yaivamia Liver kwa Guehi

MUNICH, Ujerumani VIGOGO wa Bundesliga, Bayern Munich, wamejitosa katika mpango wa Liverpool wa kumsajili beki wa Crystal Palace, Marc Guehi.Guehi mwenye umri wa miaka 25,...

Russell afungashiwa virago

EDINBURGH, ScotlandMABOSI wa klabu ya Rangers wamejadiliana na kukubaliana kumfuta kazi kocha wake, Russell Martin.Russell amefungashiwa virago akiwa ameliongoza benchi la ufundi katika mechi...

Mbwa amponza staa West Ham United

LONDON, UingerezaNYOTA wa zamani wa West Ham United ya England, Said Benrahma, amefunguliwa mashitaka baada ya mbwa wake kumng'ata mtembea kwa miguu.Benrahma (30), ambaye...

Singida Black Stars na safari yao ya kibabe CAF

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kuisukuma nje ya mashindano Rayon Sports ya Rwanda, Singida Black Stars wameonga mbele na kuingia hatua ya pili ya...

Hawa hapa wapinzani wa Yanga raundi ya pili CAF

Na mwandishi wetu, GazetiniMABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga, nao wametinga raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Ni baada ya kuing'oa Wiliete...

Ramani ya Simba kuingia makundi CAF

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kuing'oa Gaborone United ya Botswana, sasa Simba itaivaa Nsingizini Hotspurs ya Ligi Kuu ya Eswatini katika raundi ya pili...

Dimitar Pentev; ‘CV’ ya UEFA, uzoefu soka la Afrika

Na Hassan Mwasha, GazetiniSIKU chache tu zilizopita, Dimitar Pentev alitua kwa mara ya kwanza katika ardhi ya Tanzania akiwa na kikosi cha Gaborone United...

Savinho asaini miaka miwili Man City

MANCHESTER, UingerezaKIUNGO wa pembeni wa Manchester City, Savinho, amesaini mkataba mpya wa miaka miwili klabuni hapo.Savinho (21), huu ni msimu wake wa pili tangu...

Recent articles