LONDON, EnglandKIUNGO wa zamani wa Chelsea, John Obi Mikel, ameitaka klabu hiyo kusajili mlinda mlango mpya kama inataka kutwaa mataji msimu ujao.Chelsea imetanua kikosi...
LISBON, UrenoKITENDO cha Viktor Gyokeres kushindwa kuungana na wenzake mazoezini akishinikiza kujiunga na Arsenal, kimewatibua mabosi wa klabu yake ya Sporting Lisbon.Taarifa zinaeleza kuwa...
MIAMI, MarekaniMSHAMBULIAJI wa Inter Miami, Lionel Messi, ameendeleza makali yake ya kufunga mabao mawili katika kila mchezo, safari hii akiwatungua Nashville.Messi anakuwa mchezaji wa...
AMSTERDAM, Uholanzi
KOCHA mkongwe, Louis van Gaal, amesema amepona ugonjwa wa saratani na sasa yuko fiti kurejea katika majukumu yake.
Miaka mitatu iliyopita, Mholanzi huyo mwenye...
LONDON, England
HARAKATI za usajili wa majira ya kiangazi zinaendelea barani Ulaya, huku macho yakielekezwa zaidi kwa klabu za England, Bundesliga, La Liga, Ligue 1...
ROMA, Italia
BAADA ya msimu mmoja wa kuinoa Al-Nassr, kocha raia wa Italia, Stefano Pioli, ameondoka klabuni hapo.Pioli mwenye umri wa miaka 59, amerejea nyumbani,...
LONDON, England
WAKALI wa London, Brentford, wako mbioni kukamilisha usajili wa kiungo wa zamani wa Liverpool, Jordan Henderson.
Henderson mwenye umri wa miaka 35, ni mchezaji...
MANCHESTER, EnglandKLABU ya Manchester United imeingia mazima katika mbio za kumsajili kiungo wa Real Madrid, Aurelien Tchouameni.Kwa taarifa zilizopo, Man United imeshatenga dau nono...
LONDON, EnglandMATAJIRI wa Al Hilal ya Saudi Arabia nao wamejitosa kuiwania saini ya mshambuliaji wa RB Leipzig, Benjamin Sesko.Aidha, hiyo inaweza kuwa habari mbaya...
Na Mwandishi Wetu
Klabu ya Fountain Gate imefanikiwa kusalia kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu ujao baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya...