Ads: info@gazetini.co.tz |
27.1 C
Dar es Salaam

Michezo

Shabiki aliyebadili jina na kujiita ‘Man United’

LONDON, UingerezaMAPENZI yake yasiyo na mfano kwa Manchester United yalianza baada ya klabu hiyo ya Ligi Kuu ya England kutwaa taji la Ligi ya...

Camara kuikosa Nsingizini, Pantev awatoa hofu mashabiki Simba

Na Winfrida Mtoi Meneja Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pantev, amethibitisha kuwa kipa Moussa Camara na Mohammed Bajaber wataikosa mechi dhidi ya Nsingizini Hotspurs kutokana...

Wachezaji Gor Mahia waeleza walivyoumia kifo cha Raila Odinga

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wachezaji wa timu ya Gor Mahia nchini Kenya wameeleza jinsi walivyopokea  kwa uchungu mkubwa kifo cha Waziri wa zamani wa Kenya,...

Qatar yaandika historia Kombe la Dunia

DOHA, QatarHII inakuwa mara ya pili kwa Qatar kushiriki Kombe la Dunia lakini ni mara ya kwanza kukata tiketi kupitia mechi za kufuzu.Ikumbukwe, Qatar...

Ivory Coast, Senegal zafuzu Kombe la Dunia

CAIRO, MisriVIGOGO wa soka la Afrika Magharibi, Ivory Coast na Senegal, zimekata tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani.Senegal 'Simba...

Ronaldo kinara wa mabao kufuzu Kombe la Dunia

LISBON, UrenoBAADA ya kufunga mabao mawili jana, Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji aliyepasia nyavu mara nyingi katika historia ya mechi za kufuzu fainali za Kombe...

Huyu ndiye kocha mpya Yanga

Na Hassan Mwasha, GazetiniYANGA wamemtambulisha kocha mpya, Patrick Mabedi, ambaye amejiunga na benchi la ufundi kufanya kazi chini ya Romain Folz. Ifahamike kuwa Yanga...

Cape Verde yaandika historia kutinga Kombe la Dunia

PRAIA, Cape VerdeKATIKA historia ya soka, Cape Verde limekuwa taifa dogo la pili kukata tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia. Ni baada ya ushindi...

Singida Fountain Gate kuzindukia kwa Dodoma?

Na Hassan Mwasha, GazetiniUKITUPA macho kwenye msimamo, Singida Fountain Gate iko mkiani ikiwa imezibeba timu zingine 19 zinazoshiriki msimu huu wa Ligi Kuu Bara.Iko...

Mechi 42, mabao 36 Ligi Kuu Bara 2025-26

Na Hassan MwashaKABLA ya mapumziko ya kupisha mechi za timu za taifa zilizo kwenye kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), msimu huu...

Gamondi mtu wa kazi Singida Black Stars

Na Hassan Mwasha, GazetiniUKIACHA Simba, Singida Black Stars ndiyo timu pekee ambayo si tu haijafungwa, bali pia imeshinda mechi zote ilizoshuka dimbani msimu huu...

Mbeya City kwa Yanga, Pamba Jiji na Tabora

Na Hassan Mwasha, GazetiniKUFIKIA hatua hii ya msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara, zimeshashuhudiwa sare 12 lakini suluhu (0-0) ni mbili pekee, kwa...

Recent articles