Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Michezo

Wanasoka hawa hawajastaafu, wanapiga pesa Qatar

DOHA, QatarLIGI Kuu ya Qatar kwa sasa ni nyumbani kwa mastaa wengi wa soka waliowahi kutamba katika soka la Ulaya wakiwa na klabu mbalimbali,...

JKT Queens na matumaini nusu  fainali CAFWCL mbele ya TP Mazembe

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Baada ya timu ya JKT Queens kutoa sare mbili mfululizo Ligi ya Mabingwa Wanawake Afrika (CAFWCL), bado ina matumaini ya kutinga...

Morice Abraham; Kivuli cha ‘Miquissone’ kinachoipa jeuri Simba

Na Hassan Mwasha, GazetiniKWA siku za hivi karibuni, jina la Morice Abraham limekuwa kwenye mijadala ya soka hapa nchini na kwa sasa ni kipenzi...

Hii hapa ratiba ya fainali za EURO 2028

LONDON, UingerezaSHIRIKISHO la Soka la Ulaya (UEFA) limeshatangaza ratiba ya fainali zijazo za Mataifa ya Ulaya, maarufu kwa jina la 'Euro 2028'.Ratiba inaonesha kuwa...

Mashabiki waziponza Al Ahly, Zamalek

CAIRO, MisriVURUGU za mashabiki wa Al Ahly na Zamalek katika 'derby' ya Super Cup zimesababisha klabu hizo kutozwa faini ya LE 100,000 (zaidi ya...

Kane aingia rada za mabosi Barcelona

CATALUNYA, HispaniaMATAJIRI wa klabu ya Barcelona wanaangalia uwezekano wa kuinasa huduma ya mpachikaji mabao wa Bayern Munich, Harry Kane.Mpango wa kumsajili Muingereza huyo umelenga...

Mke amtaka Oscar kuacha soka

RIO, BrazilSTAA wa zamani wa Chelsea, Oscar, huenda akatangaza kutundika daluga kutokana na ushauri wa mkewe na familia.Oscar mwenye umri wa miaka 34, kwa...

Joshua, Paul sasa kuzichapa Desemba

LONDON, UingerezaIMERIPOTIWA kuwa kuna mazungumzo yanayoendelea vizuri kati ya kambi za mabondia Anthony Joshua na Jake Paul.Taarifa zinasema wawili hao watarushiana makonde katika pambano...

JKT Queens yalazimishwa sare, yaisubiri TP Mazembe

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa Wanawake, JKT Queens, wamelazimishwa sare ya bao 1-0...

Simba v Atletico; Pantev ana kwa ana na kocha Barcelona

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI Simba ya kocha Dimitar Pantev dhidi ya Petro Atletico katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi unaotarajiwa kuchezwa Novemba...

Hawa ndiyo AS FAR watakaomenyana na Yanga makundi CAF

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA wako Kundi B msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo wamepangwa na Al Ahly ya Misri, AS FAR (Morocco)...

Endrick; Alitabiriwa makubwa Brazil, sasa anasugua benchi Madrid

MADRID, HispaniaALIWAHI kutabiriwa kuwa staa mpya wa soka la Brazil, akitajwa kufuata nyayo za mastaa wengi waliwahi kupiga katika ardhi ya nchi hiyo, wakiwamo...

Recent articles