Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Michezo

Amorim sasa amgeukia Anderson

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amewataka mabosi wa klabu hiyo kufanikisha usajili wa kiungo wa Nottingham Forest, Elliot Anderson.Awali, Man United walikuwa...

Beki Arsenal aumia akiwa kikosini Brazil

RIO, BrazilKOCHA wa timu ya taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amesema beki wake, Gabriel, atafanyiwa vipimo baada ya majeraha aliyopata katika mchezo dhidi ya...

Huyu hapa straika anayegombewa Chelsea, Arsenal, United

MADRID, HispaniaJINA la mpachikaji mabao wa Levante, Etta Eyong, si tu linatakisa La Liga, bali pia limeingia kwenye rada za klabu kubwa za Ligi...

Mastaa EPL watakaoibukia AFCON 2025

CAIRO, Misri MSIMU huu wa fainali za Mataifa Afrika (AFCON) utaanza Desemba 21, mwaka huu, na kumalizika Januari 18, mwakani. Kama ilivyo kawaida, fainali hizo huzipa...

Chelsea yasajili kinda wa miaka 16

LONDON, UingerezaKLABU ya Chelsea imeinasa saini ya kinda mwenye umri wa miaka 16 kutoka katika kikosi cha Independiente del Valle ya Ecuador, Deinner Ordonez.Independiente...

Wezi wanavyowanyima raha wanasoka Ulaya

LONDON, UingerezaTUKIO la Raheem Sterling kuvamiwa na majambazi akiwa na familia yake nyumbani limetikisa vyombo vya habari barani Ulaya, ikiwa ni mara ya pili...

Korea ya Kaskazini na mafanikio soka la wanawake

Na mwandishi wetu, GazetiniSOKA la wanawake nchini Korea ya Kaskazini limepata mafanikio makubwa katika miaka ya hivi karibuni, ambapo timu yake ya vijana wenye...

Mastaa wanaopatikana bure soko la usajili Ulaya

LONDON, UingerezaLICHA ya kwamba dirisha dogo halitafunguliwa hadi Januari, mwakani, kwa sasa klabu za soka barani Ulaya zinaruhusiwa kusajili wachezaji huru (waliomaliza mikataba).Makala haya...

Osimhen anavyoibeba Nigeria kufuzu Kombe la Dunia 2026

LAGOS, NigeriaTIMU ya Taifa ya Nigeria 'Super Eagles' imeingia fainali ya hatua ya mtoano (playoffs) ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani...

United imejipata au bado inajitafuta?

MANCHESTER, UingerezaMANCHESTER United chini ya kocha Ruben Amorim iliuanza vibaya msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL).Kati ya mechi sita za mwanzo, ilishinda...

Belouizdad v Singida BS… Ni vita ya makocha wa Yanga tu

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kuandika historia ya kufika makundi, sasa Singida Black Stars inawinda rekodi nyingine ya kushinda mechi kwenye hatua hiyo ya...

Nini kinaikwamisha Liverpool, itatetea ubingwa EPL?

MERSEYSIDE, UingerezaLIVERPOOL iko taabani. Vipigo vitano katika mechi 11 walizocheza hivi karibuni. Kwa mujibu wa kocha wake, Arne Slot, bado ni mapema kuitoa Liverpool...

Recent articles