31.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Eberechi Eze; Silaha nyingine mpya ndani ya Emirates

LONDON, EnglandARSENAL hawatanii. Wakati mabosi wa Tottenham wakiamini ni suala la muda kumtambulisha, Arsenal waliingilia na kumalizana na mshambuliaji wa Crystal Palace, Eberechi Eze....

Rais Samia aimaliza Morocco, aiwekea Stars mil. 200/-

Na mwandishi wetu, GazetiniRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi Shilingi milioni 200 kwa wachezaji wa Taifa Stars endapo...

Bailey aandika historia Serie A

ROMA, ItaliaBAADA ya kujiunga na AS Roma, winga aliyekuwa Aston Villa, Leon Bailey, anakuwa mchezaji wa kwanza raia wa Jamaica kuitumikia klabu hiyo ya...

EPL yavunja rekodi usajili Ulaya

LONDON, UingerezaKLABU za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeshatumia Pauni bilioni 2.37 katika soko la usajili wa majira haya ya kiangazi, kiasi kikubwa zaidi...

Mastaa hawa hawauziki soko la usajili Ulaya

LONDON, UingerezaNI takribani wiki mbili tu zimebaki kabla ya kufungwa kwa dirisha kubwa la usajili la majira haya ya kiangazi.Hata hivyo, kwa baadhi ya...

Salah aweka rekodi akibeba tuzo ya tatu PFA

LONDON, UingerezaMSHAMBULIAJI wa Liverpool raia wa Misri, Mohamed Salah, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chama cha Wanasoka wa Kulipwa (PFA).Salah (33),...

Bundesliga nyuma ya EPL, La Liga

MUNICH, UjerumaniUSAJILI wa majira haya ya kiangazi umeshuhudia baadhi ya wachezaji wenye majina makubwa wakiipa kisogo Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga).Florian Wirtz aliondoka Bayern...

Reijnders; ‘Fundi’ mpya Etihad aliyeziba pengo la De Bryune

MANCHESTER, EnglandKUONDOKA kwa Kevin De Bryune kuliwaachia simanzi mashabiki wa Manchester City lakini ujio wa Tijjani Reijnders ni kama umeanza kuwasahaulisha kila kitu kuhusu...

Arsenal, Liverpool zapewa ubingwa msimu huu EPL

LONDON, EnglandHIYO ni kwa mujibu wa wakongwe wa Ligi Kuu ya England (EPL), Jamie Carragher na Gary Neville, ambao kwa sasa ni wachambuzi wa...

Reijnders afikia rekodi ya Aguero

MANCHESTER, EnglandSTAA mpya wa Manchester City, Tijjani Reijnders, amekuwa mchezaji wa kwanza wa klabu hiyo baada ya Sergio Aguero kufunga na kutoa 'asisti' katika...

Chiesa atamani kubaki Liverpool

MERSEYSIDE, EnglandKIUNGO wa pembeni wa Liverpool, Federico Chiesa, amefichua kuwa matamanio yake ni kubaki klabuni hapo.Wakati huo huo, Muitalia huyo amesema anajiandaa kukaa mezani...

Donnarumma dili limeiva Man City?

MANCHESTER, EnglandRIPOTI zinaeleza kuwa Manchester City wmaebakiza hatua chache tu kukamilisha usajili wa kipa wa PSG raia wa Italia, Gianluigi Donnaruma.Man City wamehamishia nguvu...

Recent articles

spot_img