Ads: info@gazetini.co.tz |
23 C
Dar es Salaam

Michezo

Slot ashauriwa ‘kumpotezea’ Salah

MERSEYSIDE, UingerezaMKONGWE wa Liverpool, Steve Nicol, anaamini ni wakati sasa kwa kocha Arne Slot kuacha kumpa nafasi staa wa timu hiyo, Mohamed Salah.Kwa mujibu...

Wachezaji Nigeria wagomea mazoezi wakidai posho

LAGOS, NigeriaMAANDALIZI ya timu ya soka ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles' kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Gabon yameingia mdudu baada ya wachezaji...

Vinicius ataka mshahara wa Mbappe

MADRID, HispaniaKWA mujibu wa kile kilichoripotiwa na Gazeti la Sport la Hispania, Vinicius Jr anataka alipwe mshahara sawa na Kylian Mbappe ili kubaki Real...

Mainoo kuondoka United, anukia Napoli

MANCHESTER, UingerezaNAPOLI imeendelea kumfuatilia kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo, ikipanga kumsajili kwa mkopo ifikapo Januari, mwakani.Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, nyota huyo...

Ronaldo asema atastaafu mwakani

LISBON, UrenoMPACHIKAJI mabao wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameweka wazi kuwa fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakuwa za mwisho kwake...

FIFA yampa majukumu Baraka Kuzuguto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemteua Mtanzania, Baraka Kizuguto kuwa Mratibu Mkuu wa michezo ya nusu fainali ya hatua za awali...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na kufunga mabao katika mchezo wa pili wa hatua ya...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Oktoba wa Ligi Kuu Bara msimu wa...

Yanga yaizima KMC, yaing’oa Simba kileleni

Na Hassan Mwasha, GazeiniHATIMAYE ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya KMC umeirejesha Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Matokeo hayo yamaeifanya...

Sesko airudisha sokoni Man United

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema atalazimika kutafuta straika mpya endapo Benjamin Sesko ataendelea na kusumbuliwa na majeraha ya goti.Sesko alitokea benchi...

Tottenham yamfungia kazi Ndiaye

LONDON, UingerezaKLABU ya Tottenham imeachana na mpango wa kumsajili Morgan Rogers wa Aston Villa, na sasa inamtaka winga wa Everton, Iliman Ndiaye.Kwa mujibu wa...

Barua ya wazi kwa ‘Goli la Mama’

Na mwandishi wetu, Gazetini KWAKO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan. Nianze kwa kupongeza juhudi za Serikali yako katika kupigania...

Recent articles