MERSEYSIDE, UingerezaMKONGWE wa Liverpool, Steve Nicol, anaamini ni wakati sasa kwa kocha Arne Slot kuacha kumpa nafasi staa wa timu hiyo, Mohamed Salah.Kwa mujibu...
LAGOS, NigeriaMAANDALIZI ya timu ya soka ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles' kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Gabon yameingia mdudu baada ya wachezaji...
MADRID, HispaniaKWA mujibu wa kile kilichoripotiwa na Gazeti la Sport la Hispania, Vinicius Jr anataka alipwe mshahara sawa na Kylian Mbappe ili kubaki Real...
MANCHESTER, UingerezaNAPOLI imeendelea kumfuatilia kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo, ikipanga kumsajili kwa mkopo ifikapo Januari, mwakani.Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, nyota huyo...
LISBON, UrenoMPACHIKAJI mabao wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameweka wazi kuwa fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakuwa za mwisho kwake...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemteua Mtanzania, Baraka Kizuguto kuwa Mratibu Mkuu wa michezo ya nusu fainali ya hatua za awali...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema amejipanga kutengeneza nafasi na kufunga mabao katika mchezo wa pili wa hatua ya...
Na Hassan Mwasha, GazeiniHATIMAYE ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya KMC umeirejesha Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Matokeo hayo yamaeifanya...
MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema atalazimika kutafuta straika mpya endapo Benjamin Sesko ataendelea na kusumbuliwa na majeraha ya goti.Sesko alitokea benchi...
LONDON, UingerezaKLABU ya Tottenham imeachana na mpango wa kumsajili Morgan Rogers wa Aston Villa, na sasa inamtaka winga wa Everton, Iliman Ndiaye.Kwa mujibu wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWAKO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan. Nianze kwa kupongeza juhudi za Serikali yako katika kupigania...