Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Michezo

Kizazi cha dhahabu kilivyoifelisha Ubelgiji Kombe la Dunia

BOSTON, Marekani KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Hispania katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia kilihitimisha safari ya 'kizazi cha dhahabu' cha...

Argentina v England: Nusu fainali ya chuki, kisasi

LONDON, Uingereza NANI kutinga fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia katika mchezo huo wa Julai 15, 2026? Ni Argentina ya Lionel Messi au...

Ufaransa inazuilika kutwaa ubingwa?

PARIS, Ufaransa BAADA ya ubingwa wa mwaka 2018, safari hii timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa ipo tena kwenye nafasi ya kutwaa taji hilo...

Huyu Mbappe ni moto mwingine kabisa

BOSTON, Marekani MSIMU huu wa fainali za Kombe la Dunia umekuwa wa mafanikio makubwa kwa mshambuliaji wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian...

Chelsea kuibomoa Madrid, kuchukua beki

LONDON, Uingereza KOCHA mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, ameitaka klabu hiyo kumsajili beki wa klabu yake ya zamani ya Real Madrid, Alvaro Carreras. Alonso anataka mlinzi...

Messi, England nusu fainali ya kihistoria

MIAMI, Marekani LICHA ya kucheza mechi zaidi ya 200 akiwa na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi hajawahi kuikabili England. Safari hii, Messi atakutana kwa...

Kocha Senegal afungashiwa virago

DAKAR, Senegal KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Senegal, Pape Thiaw, ameondoshwa kwenye majukumu hayo zikiwa ni siku chache tu tangu walipotolewa Kombe...

Bellingham aandika historia akiichapa Norway

LONDON, Uingereza KIUNGO wa kimataifa wa England, Jude Bellingham, ameweka rekodi baada ya mabao yake mawili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Norway katika robo...

Kiti cha Nabi hakikaliki Yanga?

Na mwandishi wetu, Gazetini TANGU Nasreddine Nabi alipoondoka mwaka 2023, kibarua cha benchi la ufundi la Yanga kimekuwa kigumu kwa kila kocha aliyeingia klabuni hapo. Kwa...

Afrika ya vipaji v Ulaya ya mifumo

MIAMI, Marekani AFRIKA haina mwakilishi katika hatua ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Ni timu za Bara la Ulaya pekee zilizobaki. Hata...

Kisa Haaland, Beckham atua kambini England

MIAMI, Marekani KUELEKEA robo fainali yao ya kesho dhidi ya Norway ya Erling Haaland, kambi ya timu ya soka ya Taifa ya England imetembelewa na...

Haya sasa! Kocha mpya Yanga kupita njia za Guardiola, Klopp, Arteta

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, Yanga, wamempa kazi raia huyo wa Afrika Kusini kuwa kocha wao mpya. Taarifa...

Recent articles