28.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Arsenal yajitosa kwa Tyjon

LONDON, Uingereza ARSENAL sasa imeingia mazima katika kuiwania saini ya kinda wa Blackburn Rovers, Igor Tyjon. Nyota huyo raia wa England ana umri wa miaka...

Man City yavunja rekodi ya miaka 66

MANCHESTER, Uingereza USHINDI wa mabao 10-1 dhidi ya Exeter City umeifanya Manchester City kuvunja rekodi ya Liverpool iliyodumu kwa miaka 66. Man City ya kocha Pep...

Nigeria v Morocco … Diaz, Osimhen nani kupasuka nusu fainali?

RABAT, Morocco WEKA kando nusu fainali ya Senegal na Misri. Nigeria dhidi ya Morocco ni vita nyingine kali ya kuisaka tiketi ya kuingia fainali msimu...

Senegal v Misri … Mane, Salah wana vita ya kisasi AFCON 2025

RABAT, Morocco UKIACHA vita ya Nigeria na Morocco, nusu fainali nyingine kali msimu huu wa fainali za AFCON ni ile itakayozikutanisha Senegal dhidi ya Misri. Ratiba...

Ethiopia yaomba uenyeji AFCON 2028

ADIS ABABA, Ethiopia SHIRIKISHO la Soka la Ethiopia (EFF) limetuma maombi ya kuziandaa fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka 2028. Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...

Kiungo akubali mkataba mpya Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL imefikia makubaliano na Dominik Szoboszlai, hivyo kiungo huyo atasaini mkataba mpya klabuni hapo. Szoboszlai alitua Anfield mwaka 2023 baada ya kuonesha kiwango bora...

Diaz aandika historia mpya AFCON

RABAT, Morocco MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Morocco, Brahim Díaz, amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya fainali za Mataifa Afrika (AFCON) kufunga bao...

Ter Stegen ajiandaa kuondoka Barca

CATALUNYA, Hispania MLINDA mlango wa Barcelona, Marc-Andre ter Stegen, atatimka klabuni hapo Januari hii, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Hispania. Kipa huyo raia wa...

Saka asaini miaka mitano Arsenal

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Bukayo Saka, amekubali kuongeza mkataba wa miaka mitano klabuni hapo. Saka, ambaye amekuwa mchezaji muhimu kikosini katika miaka ya hivi karibuni,...

Semenyo kuitumikia Man City wikiendi hii

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER City imefanikiwa kuinasa saini ya Antoine Semenyo na huenda straika huyo aliyetokea Bournemouth akaanza kuwatumikia matairi hao wa jijini Manchester wikiendi hii. Kwa...

Makocha ‘walioifilisi’ Chelsea baada ya kutimuliwa

LONDON, Uingereza BAADA ya kuvunja mkataba wake, Chelsea wamelazimika kumlipa Enzo Maresca kitita cha Pauni milioni 10, kwa mujibu wa Gazeti la Sun. Kocha huyo raia...

Misri v Ivory Coast; Rekodi zimemaliza kazi mapema

RABAT, Morocco TIMU ya soka ya taifa ya Ivory Coast, ambao ni mabingwa watetezi msimu huu wa fainali za AFCON, dhidi ya Misri inayoongoza kwa...

Recent articles

spot_img