LONDON, Uingereza
KLABU ya Real Madrid imefikia makubaliano na beki wa Chelsea, Marc Cucurella, na huenda akatua Santiago Bernabeu baada ya Kombe la Dunia.
Cucurella (27),...
LOS ANGELES, Marekani
VURUGU zilizotokana na shangwe la ubingwa wa New Knicks ya Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA) zimesabaisha kifo cha shabiki, huku...
NEW YORK, Marekani
SHIRIKISHO la Soka la Tunisia linaweza kumfuka kocha wa timu yake ya Taifa, Sabri Lamouchi.
Taarifa hizo zinakuja baada ya Tunisia kupoteza mchezo...
TORONTO, Canada
WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea Marekani, Mexico na Canada, jina la kinda Nestory Irankunda limeandika historia mpya katika michuano hiyo.
Ni...
LONDON, Uingereza
MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea tangu Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada.
Kuelekea michuano...
LONDON, Uingereza
MABINGWA wa Ligi Kuu ya England (EPL), Arsenal, wanaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Real Sociedad ya La Liga, Ander Barrenetxea.
Ripoti zinaeleza kuwa...
NEW YORK, Marekani
MKONGWE wa timu ya soka ya Taifa ya Sweden, Zlatan Ibrahimovic, amejitaja kuwa mshambuliaji bora kuliko Erling Haaland wa Manchester City.
Akihojiwa na...
Na mwandishi wetu, Gazetini
AKIWA ugenini nchini Ivory Coast, bondia wa uzito wa Middle nchini, Hassan Mwakinyo, alishindwa kutwaa ubingwa wa dunia wa IBO baada...