Ads: info@gazetini.co.tz |
27.7 C
Dar es Salaam

Michezo

Geita Gold ilivyovunja rekodi ikitinga tena Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini GEITA Gold haijatinga Ligi Kuu Bara kinyonge, na badala yake imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Bara (Championship) ikiwa na...

Haiti yatangulia kung’oka Kombe la Dunia 2026

NEW YORK, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Haiti imekuwa ya kwanza kuaga msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia zinazofanyika Marekani, Mexico...

Aliyeitungua Ureno bado kidogo awe kipofu

HOUSTON, Marekani URENO ya Cristiano Ronaldo ingeweza kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mechi yao ya kwanza msimu huu wa Kombe la Dunia lakini...

Scholes: Ronaldo wa sasa labda acheze kipa

MANCHESTER, Uingereza KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes, amesema Cristiano Ronaldo hastahili kuwa kiongozi wa safu ya ushambuliaji ya timu ya soka ya...

Dili zinazotolewa macho usajili wa kiangazi Ulaya

LONDON, Uingereza WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, klabu za soka, zikiwamo za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeanza kujipanga kwa ajili ya...

Kocha: Ronaldo aachwe…

HOUSTON, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno, Roberto Martinez, haoni kama ni sahihi kwa nahodha wake, Cristiano Ronaldo, kukosolewa baada ya...

Lionel Messi agoma…

NEW YORK, Marekani NAHODHA wa kikosi cha timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi, amesema alijikuta akilia baada ya kufunga bao la kwanza...

Makocha waliotimuliwa mapema Kombe la Dunia

NEW YORK, Marekani BAADA ya kufukuzwa katika benchi la ufundi la timu ya soka ya Tunisia, Sabri Lamouchi hajawa kocha wa kwanza kutimuliwa mapema katika...

Kombe la Dunia 2026: Ufaransa ilivyokomesha mazoea ya Afrika

NEW YORK, Marekani MABAO mawili ya Kylian Mbappe na moja la Bradley Barcola yalitosha kuipa timu ya soka ya Ufaransa ushindi wa 3-1 dhidi ya...

Rekodi 5 zilizochomoza Kombe la Dunia 2026

NEW YORK, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia zina siku chache tu tangu zianze Juni 11, 2026, zikifanyika katika mataifa matatu; Marekani, Canada na Mexico. Licha...

Alonso aanza kuisuka Chelsea tishio

LONDON, Uingereza CHELSEA walimaliza msimu wa 2025-26 wakiwa na machungu ya kukosa tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya (2026-27). Sasa, baada ya kumaliza msimu huo...

Tottenham ya msimu ujao tamu balaa

LONDON, Uingereza BAADA ya kunusurika kushuka daraja msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu ya England uliomalizika hivi karibuni, Tottenham imeanza maandalizi ya kuja kivingine. Chini ya...

Recent articles