MANCHESTER, Uingereza
KATIKA mchezo wa Ligi Kuu ya England uliochezwa Old Trafford leo Januari 17, 2026, Manchester United chini ya kocha mpya, Michael Carrick, imeifunga...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MTU wa kazi! Ndivyo unavyoweza kumwita mchezaji mpya wa Simba, Libasse Gueye, ambaye klabu hiyo imemtambulisha leo Januari 17, 2026. Nyota...
MANCHESTER, Uingereza
NI wikiendi hii, Januari 17, 2026, ambapo Michael Carrick atapata mtihani wake wa kwanza mgumu atakapoiongoza Manchester United kuikabili Manchester City.
Timu hizo zitakwaana...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KLABU ya Simba imeliimarisha benchi lake la ufundi kwa kumuajiri aliyekuwa kocha wa U-19 ya Mamelodi Sundowns, Kristopher Bergman.
Bergman mwenye umri...
RABAT, Morocco
LICHA ya kuondoshwa katika fainali za Mataifa ya Afrika zinazoendelea huko Morocco, timu ya taifa ya Misri 'Mafarao' imeacha historia ya aina yake.
Misri...
RABAT, Morocco
USHINDI wa bao 1-0 waliopata Senegal dhidi ya Misri imeendeleza mkosi kwa Mohamed Salah katika ndoto yake ya kutwaa ubingwa wa fainali za...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KLABU ya Yanga leo Alhamisi Januari 15, 2026, imemtambulisha straika wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurelio ‘Depu’, kupitia kurasa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NI Ijumaa, Januari 16, 2026, ambapo timu hizo zitakutana zikiwa 'zinapumulia mashine' msimu huu wa Ligi Kuu Bara. Dodoma Jiji, wenyeji...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
BALOZI wa Tanzania nchini Comoro, Saidi Yakubu leo amekutana na wachezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Comoro ambao wameipongeza...
MANCHESTER, Uingereza
HATIMAYE Manchester United imetangaza kuwa kiungo wake wa zamani, Michael Carrick, ndiye atakayeinoa timu hiyo hadi mwishoni mwa msimu huu.
Je, Carrick atafanikiwa au...
LONDON, Uingereza
MSIMU wa Ligi Kuu ya England (EPL) umeshuhudia teknolojia ya VAR ikifanya makosa mengi, hivyo kuwaingiza 'chaka' waamuzi na kuzigharimu timu mbalimbali.
Kwa mujibu...