Na mwandishi wetu, Gazetini
NDIYE aliyefunga mabao yote katika ushindi wa 2-0 walioupata Yanga 'Timu ya Wananchi' katika mchezo uliopita dhidi ya Cosmo Politan.
Ulikuwa ni...
LONDON, Uingereza
UKIWA na uwezo wa kupokea mashabiki 132,000, Uwanja wa Narendra Modi ndiyo mkubwa zaidi katika ulimwengu wa mchezo wa soka. Uwanja huo uko...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MAKTABA ni safu mpya itakayokuwa ikikujia kupitia hapa GAZETINI, ikilenga kukupa simulizi za mikasa ya ndani na nje ya uwanja ya...
NAIROBI, Kenya
TIMU ya wakaguzi ya Shirikisho la Soka l Afrika (CAF) haijaridhishwa na kiwango cha maandalizi yaliyofanyika kwa ajili ya fainali zijazo za AFCON...
MADRID, Hispania
Mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ilisimama kwa dakika 10 baada ya Vinicius kumlalamikia mwamuzi kuwa mchezaji wa Benfica, Gianluca Prestianni, amemwita...
LONDON, Uingereza
ARSENAL inaongoza katika mbio za kuiwania saini ya kinda wa Real Madrid, Victor Valdepenas, kwa mujibu wa Gazeti la AS la Hispania.
Nyota huyo...
LONDON, Uingereza
KLABU za Manchester United na Chelsea zimeripotiwa kukanusha ripoti zinazodai kuwa zimewasiliana na kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp.
Klopp, raia wa Ujerumani...
LISBON, Ureno
KOCHA wa Benfica, Jose Mourinho, ameziita kuwa ni uzushi taarifa zinazomuhusisha na kibarua cha kuinoa Real Madrid.
Waandishi wa habari walimuuliza Mourinho juu ya...
MERSEYSIDE, England
BABA mzazi wa Alexis Mac Allister, Carlos, amesema kiungo huyo wa Liverpool kwa sasa haifikirii klabu yoyote zaidi ya 'Majogoo' hao wa Anfield.
Carlos,...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Emmanuel Petit, amesema ni jambo lisiloepukika kwa Mikel Arteta kuondoka klabuni hapo.
Wakati huo huo, Mfaransa huyo amemshauri Arteta...
MADRID, Hispania
NI tofauti ya pointi mbili tu. Real Madrid wako kileleni mwa msimamo, wakati Barcelona wako nyuma yao wakiwa na pointi 58, huku kila...