LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI wa Misri, Mohamed Salah, amewashukuru mashabiki na klabu ya Liverpool kwa kumtia moyo na kumpa kipindi bora zaidi cha maisha yake, baada...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United italazimika kuweka mezani kitita cha Pauni milioni 60.5 ili kukamilisha usajili wa kiungo wa Newcastle United, Bruno Guimaraes.
Man United...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa Chelsea, Enzo Fernandez, inaelezwa kuwa ni ndoto yake kubwa kujiunga na vigogo wa Ligi Kuu ya Hispania (La Liga), Real Madrid.
Taarifa...
CATALUNYA, Hispania
BARCELONA imewaweka kwenye rada zake mastaa wakubwa wawili, beki Alessandro Bastoni na mshambuliaji Julian Alvarez.
Bastoni wa Inter Milan anatakiwa kwenda kuziba pengo la...
PARIS, Ufaransa
INAELEZWA kuwa Zinedine Zidane 'Zizou' amefikia makubaliano ya kuinoa timu ya taifa ya Ufaransa na ataanza kazi hiyo baada ya fainali za Kombe...
LONDON, Uingereza
HABARI kubwa iliyotikisa soka la Afrika ni timu ya taifa ya Senegal kuvuliwa ubingwa wa fainali za AFCON zilizomalizika miezi michache iliyopita.
Na badala...
LONDON, Uingereza
KICHAPO cha mabao 3-0 kutoka kwa Everton kimeendeleza wimbi baya linaloiyumbisha Chelsea.Kabla ya kupoteza mchezo huo wa Ligi Kuu, Blues iliondoshwa kwenye michuano...
LONDON, Uingereza
TANGU walipotwaa ubingwa mwaka 2006, timu ya taifa ya Italia haijavuka hatua ya makundi katika fainali za Kombe la Dunia.
Na badala yake, imeishia...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TIMU ya taifa ya Morocco imetangazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kufuatia uamuzi wa Shirikisho la...
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya taifa ya Marekani, Trinity Rodman, amekuwa mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi duniani kwa upande wa soka la...
LONDON, Uingereza
KWA mujibu wa utafiti wa Taasisi ya Women in Sport kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Leeds Beckett, wanawake waliopo katika taaluma ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SIKU chache baada ya kutoka sare ya kutokufungana dhidi ya Simba, Yanga imeibuka na kuitwanga barua nzito Kamati ya Uendeshaji ya...