23.9 C
Dar es Salaam

Michezo

Wapinzania wa Simba, Yanga Kombe la Shirikisho hatua 32

Na Winfrida Mtoi DROO ya hatua ya 32 wa Kombe la Shirikisho  msimu wa 2025/26, imefanyika leo Februari 24, 2026 ambapo Simba imepangwa  dhidi ya...

Buba Jammeh; Ukiweka kushoto sawa, kulia anakumaliza kabisa!

Na mwandishi wetu, Gazetini NDIYE aliyefunga mabao yote katika ushindi wa 2-0 walioupata Yanga 'Timu ya Wananchi' katika mchezo uliopita dhidi ya Cosmo Politan. Ulikuwa ni...

Viwanja vya soka vikubwa zaidi duniani

LONDON, Uingereza UKIWA na uwezo wa kupokea mashabiki 132,000, Uwanja wa Narendra Modi ndiyo mkubwa zaidi katika ulimwengu wa mchezo wa soka. Uwanja huo uko...

Maktaba| Kiti kilivyosababisha ‘bifu’ la Henry, Nasri

Na mwandishi wetu, Gazetini MAKTABA ni safu mpya itakayokuwa ikikujia kupitia hapa GAZETINI, ikilenga kukupa simulizi za mikasa ya ndani na nje ya uwanja ya...

CAF yaipa Kenya siku 90 tu

NAIROBI, Kenya TIMU ya wakaguzi ya Shirikisho la Soka l Afrika (CAF) haijaridhishwa na kiwango cha maandalizi yaliyofanyika kwa ajili ya fainali zijazo za AFCON...

Madrid yabisha hodi UEFA ‘ishu’ ya Vinicius

MADRID, Hispania Mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ilisimama kwa dakika 10 baada ya Vinicius kumlalamikia mwamuzi kuwa mchezaji wa Benfica, Gianluca Prestianni, amemwita...

Arsenal kuchomoa kinda Madrid

LONDON, Uingereza ARSENAL inaongoza katika mbio za kuiwania saini ya kinda wa Real Madrid,  Victor Valdepenas, kwa mujibu wa Gazeti la AS la Hispania. Nyota huyo...

United, Chelsea zamkataa Klopp

LONDON, Uingereza KLABU za Manchester United na Chelsea zimeripotiwa kukanusha ripoti zinazodai kuwa zimewasiliana na kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp. Klopp, raia wa Ujerumani...

Mourinho: Madrid? Siwezi kurudi

LISBON, Ureno KOCHA wa Benfica, Jose Mourinho, ameziita kuwa ni uzushi taarifa zinazomuhusisha na kibarua cha kuinoa Real Madrid. Waandishi wa habari walimuuliza Mourinho juu ya...

Baba yake Mac Allister aifungia vioo Man United

MERSEYSIDE, England BABA mzazi wa Alexis Mac Allister, Carlos, amesema kiungo huyo wa Liverpool kwa sasa haifikirii klabu yoyote zaidi ya 'Majogoo' hao wa Anfield. Carlos,...

Petit: Arteta ataondoka Arsenal

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Emmanuel Petit, amesema ni jambo lisiloepukika kwa Mikel Arteta kuondoka klabuni hapo. Wakati huo huo, Mfaransa huyo amemshauri Arteta...

La Liga ni ‘weka tuweke’ mbio za ubingwa msimu huu

MADRID, Hispania NI tofauti ya pointi mbili tu. Real Madrid wako kileleni mwa msimamo, wakati Barcelona wako nyuma yao wakiwa na pointi 58, huku kila...

Recent articles

spot_img