23.9 C
Dar es Salaam

Michezo

United yagoma kumwachia Rashford

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Barcelona sasa ina kazi ngumu kumbakiza Marcus Rashford baada ya Manchester United kusema straika huyo hauzwi. Barcelona ilimchukua kwa mkopo wa msimu...

Alvarez azitolea nje Arsenal, Chelsea

LONDON, Uingereza KLABU za Arsenal na Chelsea zimepata pigo kubwa baada ya watu wa karibu wa Julian Alvarez kusema nyota huyo anaitaka Barcelona. Ripoti zilizopo zinaeleza...

Mboga moto, ugali moto robo fainali CAF

RABAT, Morocco DROO ya hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho imechezeshwa leo Februari 17, 2026 mjini Rabat. Je, droo...

Mastaa wa soka waliostaafu mwaka 2026

LONDON, Uingereza NI miezi miwili pekee tangu mwaka 2026 ulipoanza na tayari kuna orodha ya mastaa wa soka waliotangaza kuachana na mchezo huo. Je, ni akina...

Brown: Bado sijaona kama Rooney

MANCHESTER, Uingereza UNAMKUMBUKA beki wa zamani wa Manchester United, West Brown? Alisifika kwa 'ukatili' wake ndani ya uwanja, hasa kwa washambuliaji tishio aliokabidhiwa kuwadhibiti. Brown aliyezaliwa...

Salah aendeleza ubabe England

MERSEYSIDE, Uingereza MOHAMED Salah amekuwa mchezaji pekee wa England aliyefunga na kutoa 'asisti' mara nyingi katika mchezo mmoja, kwa mujibu wa takwimu za tangu msimu...

Bosi EPL avamiwa, ajeruhiwa na majambazi

LONDON, Uingereza ALIYEWAHI kuwa mmiliki wa klabu ya Nottingham Forest ya Ligi Kuu ya England (EPL), Fawaz Al-Hasawi, anaendelea vizuri baada ya kuvamia na kujeruhiwa...

Kocha Harambee Stars ahofia ‘Kundi la Kifo’ AFCON 2027

NAIROBI, Kenya KOCHA wa timu ya soka ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars', Benni McCarthy, amesema kupangwa kundi gumu kunaweza kutibua ndoto zao za kufanya...

Simba yamlilia Ashraf

Na mwandishi wetu, Gazetini UONGOZI wa klabu ya soka ya Simba umeeleza kuguswa kwake na taarifa za kifo cha mwanachama wake maarufu, Is-haka Mukadam. Mukadam, maarufu...

De Zerbi aitema United, aichagua Spurs

LONDON, Uingereza LICHA ya kuhususishwa na Manchester United, Roberto De Zerbi anavutiwa zaidi na tetesi zinazomuhusisha na Tottenham. De Zerbi, raia wa Italia mwenye umri wa...

Sofapaka haitanii, yasajili mastaa 11

NAIROBI, Kenya VIGOGO wa Ligi Kuu ya Kenya, Sofapaka FC, wamefanya balaa zito kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo, ambapo imetema wachezaji 11. Mkakati huo...

Dk. Mwigulu ajadiliana na Kamati ya Maandalizi AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na  Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa...

Recent articles

spot_img