MEXICO CITY, Mexico
BAADA ya kumtimua Sabri Lamouchi, timu ya soka ya Taifa ya Tunisia iko chini ya kocha maarufu raia wa Ufaransa, Herve Renard.
Lamouchi...
NEW YORK, Marekani
MLINDA mlango wa timu ya soka ya Cape Verde, Vozinha, amesema kutokuwepo uwanjani kwa mama yake ndiyo sababu ya kilio chake baada...
Na Hassan Mwasha Gazetini
WIKI kadhaa zilizopita Ofisa habari wa zamani wa klabu za Simba na Yanga, Haji Manara, ameteuliwa na Waziri wa Habari, Sanaa,...
MANCHESTER, Uingereza
ANGEL di Maria alitua Manchester United mwaka 2014 akitokea Real Madrid, usajili wake wa Pauni milioni 59.7 ukivunja rekodi katika soka la Uingereza.
Chanzo...
MERSEYSIDE, Uingereza
LIVERPOOL waliuanza msimu huu wa 2025-26 wakiwa na matarajio makubwa ya kufanya vizuri baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL)...
PORT-AU-PRINCE, Haiti
HAITI ni Kisiwa kilichopo Caribbean, kikifahamika kwa hali yake mbaya ya usalama kutokana na machafuko yanayosababishwa na utitiri wa magenge ya uhalifu yaliyotapakaa...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa zamani wa klabu za Valencia, Manchester United na Chelsea, Juan Mara, yumo kwenye orodha hii, akiwa na Shahada (Digrii) mbili.
Digrii yake...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Real Madrid imefikia makubaliano na beki wa Chelsea, Marc Cucurella, na huenda akatua Santiago Bernabeu baada ya Kombe la Dunia.
Cucurella (27),...
LOS ANGELES, Marekani
VURUGU zilizotokana na shangwe la ubingwa wa New Knicks ya Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA) zimesabaisha kifo cha shabiki, huku...