Ads: info@gazetini.co.tz |
22.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Drogba aibuka, alia na VAR

MIAMI, Marekani LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba, ameeleza kusikitishwa na uamuzi wa VAR kuwanyima penalti. Drogba anazungumzia mchezo wao...

Kane avunja rekodi ya Pele, DRC yang’oka

MIAMI, Marekani NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya England, Harry Kane, amempiku mkongwe wa soka la Brazil, Pele, kwa idadi ya mabao kwenye...

Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya kuitangaza Tanzania Duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dk. Jim Yonazi, amesema maandalizi ya Michuano ya Kombe...

Fei Toto na maumivu yake, wageni na ubabe wao ufungaji bora

Na Hassan Mwasha DAKIKA 90 tu za mchezo kati ya Fountain Gate na Singida Black Stars ndizo zilizopeperusha ndoto ya Feisal Salum 'Fei Toto' kuwa...

Mtibwa yaelekea maisha mapya Championship

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKONGWE wa soka la Morogoro, Mtibwa Sugar, wameiaga rasmi michuano ya Ligi Kuu Bara, hivyo msimu ujao watacheza Ligi Daraja la...

Kigogo wa Serikali achekelea Iran kutolewa Kombe la Dunia

WASHINGTON DC, Marekani INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni...

Kama ulivyosikia! Yanga wabeba tena ‘ndoo’ Ligi Kuu

Na Hassan Mwasha HATIMAYE Yanga wamethibitisha ubabe wao Ligi Kuu Bara baada ya kumaliza msimu huu wa 2025-26 kwa kutwaa ubingwa wao wa tano mfululizo. Yanga...

Fei Toto apigwa bao ufungaji bora

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI rasmi sasa kiungo wa Azam, Feisal Salum 'Fei Toto' amekikosa kiatu cha mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa...

Kocha Ujerumani agoma kujiuzulu

MUNICH, Ujerumani BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia, kocha wake, Julian Nagelsmann, amesema hana mpango...

Kombe la Dunia 2026: Canada yaingia anga za Morocco

MIAMI, Marekani WENYEJI wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu, Canada, ambao wanashirikiana na Mexico na Marekani, watakwana na Morocco katika hatua inayofuata...

Ancelotti aonywa Brazil ikitinga 16 Bora

RIO, Brazil LICHA ya timu ya soka ya Taifa ya Brazil kutinga hatua ya 16 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu...

Kocha mwingine aachia ngazi Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani MIROSLAV Koubek wa timu ya soka ya Taifa ya Czech amekuwa kocha wa tatu kupoteza kibarua msimu huu wa fainali za Kombe la...

Recent articles