Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Wanawake watajwa chachu ya mafanikio katika operesheni za kulinda amani duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini WANAWAKE wameelezwa kuwa nguzo muhimu katika kuimarisha amani, usalama na ustawi wa jamii, huku ushiriki wao katika operesheni za kulinda amani...

OWM kuimarisha ushirikiano na WFP katika usimamizi wa maafa

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala...

Ndoa ya Taylor Swift inavyoitikisa Marekani

LOS ANGELES, Marekani GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa...

Nini nyuma ya pazia ziara ya Xi Jinping nchini Korea Kaskazini?

PYONGYANG, Korea ya Kaskazini RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri...

Watatu wakamatwa mauaji ya mwanamuziki

LONDON, Uingereza POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi. Orabiyi aliyeuawa akiwa...

Staa wa filamu afunguka mazito aliyofanyiwa na mkewe

LAGOS, Nigeria MWIGIZAJI mkongwe wa Nigeria, Tioruju Mondusi, amefichua kuwa aliwahi kuambiwa na mkewe, kwamba kati ya watoto wao watano kwenye ndoa yao, wawili wana...

Akataa Michael Jackson kuitwa Mfalme wa Pop

ACCRA, Ghana WAKATI dunia ikitambua kuwa Michael Jackson (sasa marehemu) ndiye 'King of Pop', ameibuka msanii mwingine mwenye mtazamo tofauti. Ndiyo, nyota wa muziki nchini Marekani,...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – MAN UNITED

MANCHESTER, Uingereza WALIMALIZA msimu wa 2025-26 wakiwa nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) na kukata tiketi ya kwenda Ligi ya...

Mabeki wa kati wa bei mbaya Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza FAINALI za Kombe la Dunia zitaanza Juni 11, 2026, zikitarajiwa kufikia mwezi mmoja baadaye (Julai 19), safari hii zikifanyika Marekani, Mexico na Canada. Nyota...

Kombe la Dunia 2026: Hawa hapa viungo wa kati wa bei kubwa sokoni

LONDON, Uingereza KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia, yapo mengi ya kuvutia lakini kubwa ni kuona viungo wa kati (namba 8) wa viwango vya juu...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – MAN CITY

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER City itauanza msimu ujao (2026-27) bila kocha raia wa Hispania, Pep Guardiola. Enzo Maresca aliyewahi kuinoa Chelsea ndiye atakayekuwa kwenye benchi la...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – ARSENAL

LONDON, Uingereza BAADA ya ubingwa wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya England tangu mwaka 2004, Arsenal wataingia msimu ujao wa 2026-27 wakiwa mabingwa watetezi. Pia,...

Recent articles

spot_img