28.6 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-5

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale KWA mujibu wa kifungu cha 15, mtoto aliye chini ya umri wa miaka 18 hawezi kushikiliwa kikamilifu kwa adhabu zinazohusiana...

Ummy awahimiza watumishi kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa bajeti ya Serikali

Na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Ummy Nderiananga, amewahimiza watumishi wa ofisi hiyo kuongeza...

WWF yaongoza kampeni ya kuulinda mlima Kilimanjaro

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA jitihada za kulinda mustakabali wa mazingira na vyanzo vya maji, wadau wa mazingira wakishirikiana na jamii ya Moshi wameanzisha kampeni...

Ripoti: Tanzania kitovu kikuu cha uwekezaji wa madini duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kivutio kikubwa cha uwekezaji wa kimataifa katika sekta ya madini, baada ya kuorodheshwa miongoni mwa...

Baadhi ya Waislamu Afrika Mashariki waadhimisha sikukuu ya Eid

Na mwandishi wetu, Gazetini Baadhi ya Waislamu wa Afrika Mashariki wanaadhimisha Eid-ul-Fitr leo Ijumaa baada ya kuthibitishwa kuonekana kwa mwezi jioni ya Alhamisi, tukio linaloashiria...

Morocco yatwaa ubingwa wa AFCON 2025 baada ya CAF kubatilisha matokeo ya fainali

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya taifa ya Morocco imetangazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kufuatia uamuzi wa Shirikisho la...

Vita ya Iran yatikisa Serikali ya Trump

Washington, D.C. MKUU wa Kituo cha Taifa cha Kupambana na Ugaidi nchini Marekani, Joseph Kent, amejiuzulu wadhifa wake akipinga vikali vita vinavyoendelea dhidi ya Iran,...

Sababu 6 kubaki masikini ukiwa unapata pesa nyingi

HII ndiyo 'psychology' ya pesa ambayo watu wengi hawaielewi. Wengi wanafikiri umasikini unatokana na kukosa pesa. Lakini ukweli ni kwamba mara nyingi hunasababishwa na mtazamo...

Mchechu: Kampuni kumbatieni uongozi uongozi wa kimkakati

Na mwandishi wetu, Gazetini MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa...

Unavyoweza kumkuza mtoto mwenye upendo na kujali wengine

Na mwandishi wetu, Gazetini MALEZI ya mtoto hayahusu chakula, mavazi au elimu pekee, bali pia maadili anayojifunza akiwa mdogo. Wazazi wengi hutamani kuona watoto wao...

Je, wewe unatumia teknolojia gani ya mtandao; 2G, 3G, 4G au 5G?

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA inaendelea kupiga hatua katika upatikanaji wa huduma za mawasiliano kupitia teknolojia mbalimbali za mitandao ya simu. Kwa mujibu wa ripoti ya...

Simulizi ya Zuhra na mapambano dhidi ya ndoa za utotoni

Na mwandishi wetu, Zanzibar WAKATI Zuhra (Si jina lake halisi) alipokuwa na umri wa miaka 17 tu, hatima ya maisha yake ilikuwa tayari imeanza kuamuliwa...

Recent articles

spot_img