Na mwandishi wetu, Gazetini
WANAWAKE wameelezwa kuwa nguzo muhimu katika kuimarisha amani, usalama na ustawi wa jamii, huku ushiriki wao katika operesheni za kulinda amani...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala...
LOS ANGELES, Marekani
GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa...
PYONGYANG, Korea ya Kaskazini
RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri...
LONDON, Uingereza
POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi.
Orabiyi aliyeuawa akiwa...
LAGOS, Nigeria
MWIGIZAJI mkongwe wa Nigeria, Tioruju Mondusi, amefichua kuwa aliwahi kuambiwa na mkewe, kwamba kati ya watoto wao watano kwenye ndoa yao, wawili wana...
ACCRA, Ghana
WAKATI dunia ikitambua kuwa Michael Jackson (sasa marehemu) ndiye 'King of Pop', ameibuka msanii mwingine mwenye mtazamo tofauti.
Ndiyo, nyota wa muziki nchini Marekani,...
MANCHESTER, Uingereza
WALIMALIZA msimu wa 2025-26 wakiwa nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) na kukata tiketi ya kwenda Ligi ya...
LONDON, Uingereza
FAINALI za Kombe la Dunia zitaanza Juni 11, 2026, zikitarajiwa kufikia mwezi mmoja baadaye (Julai 19), safari hii zikifanyika Marekani, Mexico na Canada.
Nyota...
MANCHESTER, Uingereza
MANCHESTER City itauanza msimu ujao (2026-27) bila kocha raia wa Hispania, Pep Guardiola. Enzo Maresca aliyewahi kuinoa Chelsea ndiye atakayekuwa kwenye benchi la...
LONDON, Uingereza
BAADA ya ubingwa wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya England tangu mwaka 2004, Arsenal wataingia msimu ujao wa 2026-27 wakiwa mabingwa watetezi.
Pia,...