MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City imeanza mazungumzo ya kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Aleksandar Pavlovic.
Nyota huyo ana umri wa miaka 21 na ameshacheza mechi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA chapisho lililopita, ambalo ni sehemu ya kwanza ya Simulizi ya maisha ya gwiji wa muziki wa Reggae, Bob Marley, tuliona...
MANCHESTER, Uingereza
BEKI wa zamani wa Manchester, Patrice Evra, amewatolea uvivu wakongwe wenzake wa timu hiyo, Paul Scholes, Gary Neville na Roy Keane, akiwaambia waache...
RIYADH, Saudi Arabia
MSHAMBULIAJI wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, atakuwa nje ya dimba kwa muda na hiyo imezua hofu kuwa huenda akazikosa fainali zijazo za Kombe...
Na mwandishi wetu, Gazetini
FEBRUARI 28, 2026 imeingia kwenye kumbukumbu baada ya kuwa ndiyo siku aliyouawa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika ...
BAGHDAD, Iraq
WIZARA ya Afya ya Iraq imeripoti ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, huku ikitupa lawama kwa raia wa nchi hiyo wanaosafiri kwenda...
TEHRAN, Iran
SAA chache baada ya Iran kuanza kushambuliwa makombora ya Marekani na Israel, Serikali ya Urusi ilitoa tamko zito.
Mwakilishi wa Urusi ndani ya Umoja...
Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale
MAUAJI yanafafanuliwa kisheria, si kwa maoni ya jamii, na kifungu husika ni cha 196. 'Murder' hutokea pale mtu anaposababisha kifo...
MANCHESTER, Uingereza
RADA za maskauti wa Manchester United zimemnasa beki wa pembeni wa Borussia Dortmund, Julian Ryerson. Anatakiwa Old Trafford kwa ajili ya msimu ujao.
Ryerson...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Arsenal imeanza harakati za kumsajili moja kwa moja beki wake wa mkopo, Piero Hincapie.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 24, amekuwa...
MERSEYSIDE, Uingereza
KUNA uwezekano mkubwa huu ukawa msimu wa mwisho kwa kocha raia wa Uholanzi, Arne Slot, kuliongoza benchi la ufundi la Liverpool.
Wamiliki wa klabu...