Ads: info@gazetini.co.tz |
22.6 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Xavi Simons; ‘Fundi’ wa La Masia aliyezikataa Chelsea, Man City

LONDON, EnglandWAMELAMBA dume! Kupitia usajili wa dirisha kubwa wa majira haya ya kiangazi barani Ulaya, Tottenham ilikamilisha dili la kumnasa kiungo wa kimataifa wa...

Mwelekeo wa makoloni ya Ufaransa barani Afrika

Na mwandishi wetu, GazetiniMIAKA 65 iliyopita, mataifa 14 ya Afrika yalipata uhuru kutoka kwa Ufaransa. Je, ni kwa kiasi gani yamepiga hatua tangu mwaka...

Afrika ‘jalala’ la wahamiaji haramu kutoka Marekani?

Na mwandishi wetu, GazetiniUGANDA imeungana na Eswatini, Sudan Kusini na Rwanda kuingia mkataba wa kupokea wahamiaji haramu wasiotakiwa nchini Marekani.Kuwaondosha wahamiaji haramu ni moja...

Vigogo EPL ‘watatoboa’ msimu huu Ligi ya Mabingwa?

LONDON, UingerezaKWA mara ya kwanza katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, timu sita za Ligi Kuu ya England (EPL) zitashiriki msimu huu wa...

Raia kumiliki silaha kunavyoitesa Marekani

Na mwandishi wetu, GazetiniKATIKA kila raia 100 wa Marekani, kuna bastola 120. Hiyo ni kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya SAS ya nchini...

Ethiopia na hali mbaya ya vyombo vya habari 

Na mwandishi wetu, GazetiniMATUKIO ya vyombo vya dola kuvibana mbavu vyombo vya habari yameshika kasi nchini Ethiopia kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni, mwakani.Wengi...

Chanzo machafuko yanayoendelea Yemen

Na mwandishi wetu, GazetiniKUNDI la waasi la Houthis limeendelea kuwateka wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa (UN) wanaoingia nchini Yemen humo kwa ajili ya kuwasaidia...

Ni wakati sasa Trump kupewa tuzo ya Nobel?

Na mwandishi wetu, GazetiniRAIS wa Marekani, Donald Trump, anajaribu kuingia kwenye historia ya kumaliza mgogoro unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine.Tujikumbushe; kiongozi huyo alikuwa...

NCBA yazindua kampeni ya “Maisha ni Hesabu” nchini Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dar es Salaam BENKI ya NCBA imezindua rasmi kampeni yake mpya ya kibiashara inayojulikana kama “Numbers That Matter- Maisha Ni Hesabu”, ikiwa...

Dira ya Maendeleo 2050 yasisitiza malezi bora ya watoto nchini

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini DIRA ya Maendeleo ya Mwaka 2020-2050 imeitaka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuimarisha uchumi wa kati wa kiwango cha juu sambamba na...

Hakamatiki: Samia anga’a uzinduzi wa kampeni za urais

Na Mwandishi Wetu, Gazetini HAKAMATIKI-ndio msamiati unaoibuka kuelezea upekee wa kishindo cha mikutano ya kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia...

Mechi nne tu zafukuzisha kocha Al Ahly

CAIRO, MisriUONGOZI wa klabu ya Al Ahly umemfuta kazi kocha wake raia wa Hispania, Jose Riveiro, ikiwa ni baada ya mechi nne tu za...

Recent articles

spot_img