Ads: info@gazetini.co.tz |
21.8 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Umoja wa Mataifa waonya uhalifu wa kivita DRC

KINSHASA, DRCUMOJA wa Mataifa umezionya pande mbili zinazopigana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ukisema zinahusika katika uhalifu wa kivita nchini humo.Licha ya...

Mbappe aifikia rekodi ya mkongwe Ufaransa

PARIS, UfaransaNAHODHA wa timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe, amefikisha mabao 51 akiwa na kikosi hicho, akiifikia rekodi ya Thierry Henry.Mbappe aliandika historia...

Weah, Drogba kupinga ubaguzi wa rangi FIFA

NYON, UswisWAKONGWE wa soka, George Weah na Didier Drogba, wameteuliwa kuingia kwenye jopo la wachezaji 16 wa zamani watakaoendesha kampeni ya kupinga vitendo vya...

Utafiti: Vijana wengi hawana nguvu za kiume

Na Mwandishi Wetu, Gazetini UTAFITTI mpya nchini Uingereza umebaini kuwa asilimia zaidi ya 65 ya vijana wenye umri chini ya miaka 40 wanakabiliwa na changamoto...

Kwanini uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako?

Na mwandishi wetu, GazetiniSARATANI ya kongosho ni ugonjwa unatajwa kusababisha vifo zaidi ya 10,000 kila mwaka. Ni wastani wa mtu mmoja kupoteza maisha kila...

Bandari ya Dar es Salaam yaanza kuhudumia meli kubwa zaidi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MALENGO ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ya kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa kitovu (hub) cha kuhudumia...

Ebola yarejea DRC, yaua watu 15

KINSHASA, DRCSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imetangaza maambukizi mapya ya Ebola na vifo 15 vitokanavyo na ugonjwa huo.Ikumbukwe, hizi ni taarifa...

Bingwa mtetezi aingia fainali US Open

LOS ANGELES, MarekaniNYOTA wa tenesi raia wa Belarus, Aryna Sabalenka, ametinga hatua ya fainali ya michuano ya US Open inayoendelea nchini Marekani baada ya...

Ubungo yatenga zaidi ya milioni 28 kwa malezi ya awali ya watoto

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini MANISPAA ya Ubungo imetengea bajeti ya fedha zaidi ya Sh milioni 28 kwa ajili ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi,...

Tanzania yapoteza hekta 460,000 za misitu kila mwaka, sheria zatajwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TANZANIA inakabiliwa na ongezeko kubwa la upotevu wa misitu, hali inayochochea ukame, kukauka kwa vyanzo vya maji na kuharakisha mabadiliko ya...

OSHA kuiwezesha shule ya Kambangwa vifaa vya kujifunzia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeahidi kuiwezesha Shule ya Sekondari Kambangwa iliyopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam...

Ni mwisho wa ufalme wa Mourinho soka la Ulaya?

LONDON, UingeerezaJOSE Mourinho, maarufu zaidi kwa jina la 'Special One', hana kazi kwa sasa baada ya klabu ya Fenerbahce kumfungashia virago hivi karibuni.Mourinho alifutwa...

Recent articles

spot_img