Ads: info@gazetini.co.tz |
29.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Nicki Minaj amuunga mkono Rais Trump

LOS ANGELES, MarekaniMWANAMUZIKI wa Hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, ameiunga mkono kauli ya Rais Donald Trump aliyedai kuwa waumini wa Dini ya Ukiristo...

Shambulizi la Urusi laua 26 Ukraine

KYIV, UkraineWATU takribani 26, wakiwamo watoto watatu, wamepoteza maisha katika shambulizi la Urusi nchini Ukraine.Vifo hivyo vimetokana na shambulizi la ndege isiyo na rubani...

Rooney ataja watatu anaowakubali EPL

MANCHESTER, UingerezaMKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, amewataja wachezaji watatu wanaomvutia msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL).Akihojiwa hivi karibuni, Rooney alianza kwa...

Gyan aitabiria Nigeria ubingwa AFCON

ACCRA, GhanaMSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya taifa ya Ghana, Asamoah Gyan, anaamini Nigeria ina nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa fainali za AFCON...

Mayele, Mzize wang’ara tuzo za CAF

RABAT, MoroccoWAKATI straika wa Pyramids FC ya Misri, Fiston Mayele, akitwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka 2025 kwa upande wa Ligi za Ndani...

Hakimi abeba tuzo Mchezaji Bora Afrika

RABAT, MoroccoBEKI wa kulia wa PSG na timu ya taifa ya Morocco, Achraf Hakimi, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Shirikisho la Soka barani...

Pyramids yaibwaga Simba tuzo za CAF

RABAT, MoroccoPYRAMIDS FC ya Ligi Kuu nchini Misri imetwaa tuzo ya Klabu Bora Afrika kwa mwaka huu, ikiipiku Simba SC ya Tanzania.Mbali ya Simba,...

Jonathan Barnett; Wakala wa soka na kashfa ya ubakaji

LONDON, UingerezaUPEPO unavuma vibaya kwa Jonathan Barnett, ambapo wakala huyo wa soka anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji mjini London.Kwa mujibu wa kile kilichoelezwa mahakamani,...

Mwili wa Joshua warejeshwa nyumbani baada ya kusubiri kwa miaka miwli

Mwandishi Wetu, Gazetini BAADA ya miaka miwili ya kusubiri kwa maumivu na wasiwasi, hatimaye mabaki ya mwili wa kijana Mtanzania Joshua Mollel (21) aliyedaiwa kuuawa...

Ripoti| Kisonono kinazidi kuwa sugu; WHO yaonya kuongezeka kwa usugu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari kali kuhusu kuongezeka kwa usugu wa bakteria wanaosababisha kisonono dhidi ya dawa muhimu zinazotumika...

Papa Leo XIV ahimiza hatua thabiti kukabili mabadiliko ya tabianchi

Belem, BRAZIL PAPA Leo XIV amehimiza viongozi kuchukua hatua thabiti dhidi ya mabadiliko ya tabianchi na kulalamika kuwa baadhi ya viongozi hawana mapenzi ya kutenda,...

Neymar kuibukia England Januari?

RIO, BrazilMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Brazil, Neymar, atakuwa mchezaji huru katika usajili wa dirisha dogo la usajili hapo Januari, mwakani. Mkataba wake na Santos...

Recent articles

spot_img