Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar,...
Na MWANDISHI WETU
MWIMBAJI anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili nchini Kongo, Nana Miriam ameachia kionjo cha wimbo mpya, C'est Jésus, alioshirikiana na Sylvain...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wabunge sita katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Taarifa ya uteuzi wa wabunge...
Na Iman Nathaniel, Gazetini
Zaidi ya washindi 400 wamejishindia zawadi mbalimbali kupitia kampeni inayoendeshwa HaloPesa inayoitwa Tamba na Bonasi'.
Kupitia kampeni hiyo wateja wa HaloPesa wanapata...
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...
Na Winfrida Mtoi
Mabao ya ugenini yameibeba Simba kwenda makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kulazimishwa suluhu na Nsingizini kwenye Uwanja wa...
Na Winfrida Mtoi
Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikipindua meza kwa kuifunga Silver Strikers mabao 2-0 kwenye Uwanja wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WATU wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Polisi iliyopo Kata ya Chitete, Kijiji cha Ikumbilo, Wilaya ya Ileje mkoani Songwe, na kuteketeza...
Na Mwandishi Wetu
Bondia Mtanzania Zulfa Macho amemchapa kwa pointi Bisambu Deborah wa DR Congo katika pambano la nusu fainali ya mashindano ya ngumi ya...
Na Winfrida Mtoi
Ushindi wa mabao 3-0 ugenini dhidi ya Nsingizini Hotspurs katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, klabu ya Simba imetamba kuwa ni kati ya...