25.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

THBUB yawaasa waandishi wa habari kuelekea uchaguzi mkuu

Na Onesmo Kapinga, Gazetini TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imewaasa waandishi wa habari nchini, kujiepusha kuchapisha, kutangaza habari zenye lengo la...

Halopesa yaja na kampeni ‘Tamba na Bonasi’

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Halotel kupitia huduma yake ya kifedha Halopesa imezindua kampeni mpya inayokwenda kwa jina la “Tamba na Bonasi”, ili kuwazawadia...

DC Nyamagana: Serikali inatambua kazi nzuri ya OSHA nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa...

Simba na Yanga zasababisha kifo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mabishano ya  ushabiki wa  Yanga na Simba yamesababisha kifo cha mwanaume mmoja aliyefahamika  kwa jina la Evaristo Mwambogolo (28), mkulima na...

Simba, Yanga kusaka heshima kimataifa

Na Winfrida Mtoi Timu za Simba na Yanga leo zimeondoka nchini leo kwa ajili ya kwenda kucheza michezo yao raundi ya kwanza ya Ligi ya...

Yanga yaendeleza ubabe kwa Simba

Na Mwandishi Wetu Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya leo kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii kwa mara nyingine ikiifunga ikishinda bao 1-0 katika...

Chama aipa heshima Singida BS

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Mabao mawili yaliyofungwa na Clatous Chama yamefanikisha timu ya Singida Bs kutwaa ubingwa wa michuano ya Cecafa Kagame Cup kwa kuifunga Al...

Makocha Yanga, Simba wavimbiana

Na Winfrida Mtoi Kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii kesho Septemba 16,2025, makocha wa Simba na Yanga, Fadlu  Davids na Romain Folz, kila mmoja ametambia...

CAF yaipiga faini Simba, kucheza bila mashabiki

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Klabu ya Simba SC imepigwa faini ya Dola za Marekani 50,000 ( zaidi ya Sh. 100 milioni) na kuamriwa kucheza bila...

Simbu aweka rekodi ya pekee Tanzania, Rais Samia ampongeza

Na Mwandishi Wetu Mwanariadha Alphonce Simbu ameweka rekodi ya kuwa mwanariadha wa kwanza Tanzania  kushinda medali ya dhahabu katika mbio za riadha za Dunia 2025...

EU, WWF watoa vifaa vya zaidi ya sh bilioni 1 kusaidia ulinzi wa misitu Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WIZARA ya Maliasili na Utalii imepokea jumla ya vifaa 74 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja kwa ajili ya...

Mvua za vuli kunyesha kwa wastani  kuanzia  Oktoba

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetangaza kuwa msimu wa mvua za vuli kwa mwaka 2025, unaotarajiwa kuanzia Oktoba hadi...

Recent articles

spot_img