23.4 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Wachezaji Gor Mahia waeleza walivyoumia kifo cha Raila Odinga

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wachezaji wa timu ya Gor Mahia nchini Kenya wameeleza jinsi walivyopokea  kwa uchungu mkubwa kifo cha Waziri wa zamani wa Kenya,...

Mgombea Ubunge CUF auawa, INEC yasitisha kampeni za ubunge

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mgombea ubunge wa Jimbo la Siha, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Kilimanjaro, Daudi Ntuyehabi ameuawa na wananchi baada ya kudaiwa...

JKT Queens kuweka kambi Uturuki, yautaka ubingwa wa CAFWCL

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Timu ya soka JKT Queens inatarajia kuweka kambi ya wiki mbili  jijini  Istanbul, Uturuki kujiandaa na  michuano ya Ligi ya...

Mabosi Mwendokasi wang’olewa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa mabosi wapya wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) maarufu Mwendokasi kwa kuwaondoa Mtendaji  Mkuu...

Watanzania wahimizwa kushiriki mchezo wa kuogelea bila kujali umri

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Watanzania wamehimizwa kushiriki na kujifunza mchezo wa kuogelea bila kujali umri ili kulinda afya na kutengeneza mahusiano na watu tofauti ikiwamo...

Mashabiki Simba kulipa faini ya CAF

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KLABU ya Simba imewatangazia wanachama na mashabiki wa timu hiyo namba maalumu za  kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia kulipa  faini...

Yanga, Simba zaumiza kichwa mapambano ya jezi feki

Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekiri kuwa vita ya kudhibiti jezi feki ni ngumu pamoja na jitihada wanazofanya na kutumia mbinu nyingi...

Kidao aondolewa  TFF

Na Mwandishi Wetu Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Kidao Wilfred. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo...

Dogo Red, Wiz Designer kutikisa Afrika Mashariki

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MSANII wa kizazi kipya mwenye makazi yake Atlanta, Marekani, Dogo Red, ametamba kutikisa Afrika Mashariki na video ya wimbo Vanessa aliowashirikisha...

Simbu afichua siri ya ushindi

Na Winfrida Mtoi,Gazetini Bingwa wa Dunia wa mbio za Marathoni za kilomita 42, ambaye ni Askari wa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ), Sajenti Alphonce...

Pamba Jiji yaja na mbinu kuimaliza Yanga

Na Winfrida Mtoi Kocha Mkuu wa timu ya Pamba Jiji, Francis Baraza amesema hana presha yoyote kuelekea mchezo wao wa  kesho dhidi yaYanga  kutokana na...

Kocha Simba aaga, arejea Raja Casablanca

Na Mwandishi Wetu Baada ya kutoonekana na timu wakati ikirudi kutoka Botswana ilipokwenda mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Kocha Mkuu...

Recent articles

spot_img