Ads: info@gazetini.co.tz |
23.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Dk. Mwigulu: Mafaili yamfuate mjamzito kitandani, marufuku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba leo Novemba 15, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma...

Serikali kuunda Tume kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan amesema amehuzunishwa na vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 na kusema kuwa Serikali imeunda...

Rais Samia amuapisha Mwigulu, ampa tahadhari

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan amemuapisha Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akimtaka kuhakikisha anaongeza kasi...

Rais Mwinyi ateua Mawaziri, Wizara nne zawasubiri ACT Wazalendo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza uteuzi Mawaziri 20, watakaunda Baraza jipya litakalosimamia...

JKT Queens na matumaini nusu  fainali CAFWCL mbele ya TP Mazembe

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Baada ya timu ya JKT Queens kutoa sare mbili mfululizo Ligi ya Mabingwa Wanawake Afrika (CAFWCL), bado ina matumaini ya kutinga...

Bunge lamthibitisha Dk. Mwigulu kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, asubiri uapisho

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dk. Mwigulu Nchemba, kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania akichukua nafasi ya Kassim Majaliwa,...

Waziri Mkuu mpya kujulikana kesho

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho Alhamisi Novemba 13, 2025 katika Kikao cha tatu cha Mkutano wa kwanza wa...

FIFA yampa majukumu Baraka Kuzuguto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemteua Mtanzania, Baraka Kizuguto kuwa Mratibu Mkuu wa michezo ya nusu fainali ya hatua za awali...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na kufunga mabao katika mchezo wa pili wa hatua ya...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Oktoba wa Ligi Kuu Bara msimu wa...

Mbunge kupitia ACT Wazalendo aeleza mtazamo wake bunge la 13

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu, amesema watanzania wanalitazama kwa umakini mkubwa Bunge la 13...

Rais Mwinyi azindua Baraza la Wawakilishi, ataja mwelekeo wa Serikali yake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar,...

Recent articles

spot_img