Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Wachezaji wa timu ya Gor Mahia nchini Kenya wameeleza jinsi walivyopokea kwa uchungu mkubwa kifo cha Waziri wa zamani wa Kenya,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mgombea ubunge wa Jimbo la Siha, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Kilimanjaro, Daudi Ntuyehabi ameuawa na wananchi baada ya kudaiwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa mabosi wapya wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) maarufu Mwendokasi kwa kuwaondoa Mtendaji Mkuu...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
Watanzania wamehimizwa kushiriki na kujifunza mchezo wa kuogelea bila kujali umri ili kulinda afya na kutengeneza mahusiano na watu tofauti ikiwamo...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
KLABU ya Simba imewatangazia wanachama na mashabiki wa timu hiyo namba maalumu za kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia kulipa faini...
Na Mwandishi Wetu
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekiri kuwa vita ya kudhibiti jezi feki ni ngumu pamoja na jitihada wanazofanya na kutumia mbinu nyingi...
Na Mwandishi Wetu
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Kidao Wilfred.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MSANII wa kizazi kipya mwenye makazi yake Atlanta, Marekani, Dogo Red, ametamba kutikisa Afrika Mashariki na video ya wimbo Vanessa aliowashirikisha...
Na Winfrida Mtoi,Gazetini
Bingwa wa Dunia wa mbio za Marathoni za kilomita 42, ambaye ni Askari wa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ), Sajenti Alphonce...
Na Mwandishi Wetu
Baada ya kutoonekana na timu wakati ikirudi kutoka Botswana ilipokwenda mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Kocha Mkuu...