23.4 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Yanga yatinga makundi CAFCL kibabe

Na Winfrida Mtoi Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikipindua meza kwa kuifunga Silver Strikers mabao 2-0 kwenye Uwanja wa...

Wasiojulikana choma moto nyumba ya Polisi Songwe

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WATU wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Polisi iliyopo Kata ya Chitete, Kijiji cha Ikumbilo, Wilaya ya Ileje mkoani Songwe, na kuteketeza...

SGR yapata ajali, TRC yataja chanzo

Na Mwandishi Wetu Treni ya Mwendokasi (SGR) imeacha njia yake na kupata ajali katika eneo la Ruvu Mkoani Pwani asubuhi ya leo Oktoba 23,2025 wakati...

Zulfa Macho atinga fainali ngumi Zone 3 Afrika

Na Mwandishi Wetu Bondia Mtanzania Zulfa Macho amemchapa kwa pointi Bisambu Deborah wa DR Congo katika pambano la nusu fainali ya mashindano ya ngumi ya...

Simba kuwania tuzo ya Klabu Bora Afrika, Kapombe mchezaji bora

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Simba imeteuliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwania tuzo ya Klabu Bora Afrika (Club of the Year) kwa mwaka...

Simba yaanza jeuri ya Kimataifa

Na Winfrida Mtoi Ushindi wa mabao 3-0 ugenini dhidi ya Nsingizini Hotspurs katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, klabu ya Simba imetamba kuwa ni kati ya...

Halopesa yatoa msaada wa viti mjongeo Hospitali ya Mwananyamala

Na Imani Nathanieli Katika kuadhimisha miaka tisa, Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel kupitia huduma ya kifedha ya Halopesa, imetoa msaada wa viti mjongeo 15 kwa...

Viongozi wa dini watoa tamko kuelekea Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Kamati ya Amani ya Mkoa wa Mwanza kwa kushirikiana na viongozi wa dini, imesema kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,...

Mambo magumu, Yanga yatimua kocha usiku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz.Uamuzi huo umekuja saa chache baada ya kupoteza mchezo kwa...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo Kuu la Songea, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo...

Hofu, imani za kidini zatajwa kuchangia mimba zisizotarajiwa Maswa

Na Samwel Mwanga, Maswa Katika kijiji cha Dulungwa, wilayani Maswa mkoani Simiyu, wanawake wengi wanaishi kwa wasiwasi na mkanganyiko kuhusu matumizi ya njia za kisasa za...

Camara kuikosa Nsingizini, Pantev awatoa hofu mashabiki Simba

Na Winfrida Mtoi Meneja Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pantev, amethibitisha kuwa kipa Moussa Camara na Mohammed Bajaber wataikosa mechi dhidi ya Nsingizini Hotspurs kutokana...

Recent articles

spot_img