MOSCOW, Urusi
Idadi ya mabilionea nchini Urusi imeongezeka kwa kasi na kufikia kiwango cha juu zaidi, hususan katika kipindi cha vita vya Ukraine. Hata hivyo,...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
BONDIA Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa K.O dhidi ya mpinzani wake Stanley Eribo kutoka Nigeria, baada ya kumaliza pambano katika raundi...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
BONDIA wa kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameweka bayana kuwa pambano lake la kesho dhidi ya Mnaigeria, Stanley Eribo litakuwa la...
LONDON, Uingereza
KLABU kadhaa za Ligi Kuu ya England (EPL), ikiwamo Bournemouth, zimeonesha nia ya kumsajili beki wa kati aliyepoteza namba katika kikosi cha Manchester...
Na Iman Nathaniel, Gazetini
KAMPUNI ya Halotel kupitia kitengo cha HaloPesa imefanya ziara katika kituo cha watoto yatima cha Maunga Orphanage Centre, kilichopo Kinondoni, Jijini...
MADRID, Hispania
KLABU ya Lyon ya Ligue 1 imethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji kinda wa Real Madrid, Endrick Felipe. Taarifa zinaeleza kuwa Lyon wamemchukua Mbrazil...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imewataka wamiliki wa maeneo ya kazi nchini ambao maeneo yao hayajasajiliwa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi...
LONDON, Uingereza
KWA mara kadhaa, siasa zimefanikiwa kuingia na kuathiri mchezo wa soka. Ni kama ilivyo sasa kwa Urusi na Ukraine. Baada ya Urusi kuivamia...