CATALUNYA, Hispania
BARCELONA imeanza harakati za kumsajili kinda wa Al Ahly ya Ligi Kuu nchini Misri, Hamza Abdelkarim.Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 17, amecheza...
MANCHESTER, Uingereza
KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, ameweka wazi kuwa wachezaji wake wote watapimwa uzito, kabla ya mchezo wao dhidi ya Nottingham Forest. Timu...
LAGOS, Nigeria
WATOTO wengine 130 waliokuwa wametekwa na waasi mwezi uliopita nchini Nigeria wameachiwa na kuungana na familia zao.
Ikumbukwe, watoto hao ni miongoni mwa wanafunzi...
MOSCOW, Urusi
URUSI imepata pigo baada ya Jenerali wake wa jeshi kuuawa katika shambulio la bomu, kwa mujibu wa taarifa ya Serikali ya nchi hiyo.
Taarifa...
LONDON, Uingereza
KWA mashabiki wa Ligi Kuu ya England (EPL), Sikukuu ya Krismas imekuwa na historia ya pekee kwao. Kivipi?Timu inayokuwa kileleni mwa msimamo wa...
KUALA Lumpur, Malaysia
NI wazi sasa Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak, ataendelea kusota gerezani baada ya Mahakama Kuu kukataa ombi lake la...
RABAT, Morocco
KARNE hii ya 21 imeshuhudia vipaji vikubwa vya soka barani Afrika na sasa wanaoneshana kazi katika fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka...
RABAT, Nigeria
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Miguel Gamondi, ameweka wazi kuwa vijana wake hawatotanguliza hofu mbele ya Nigeria...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mary Maganga, amesema Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa...
MARSEILLE, Ufaransa
SHIRIKISHO la Soka la Gabon (FEGAFOOT) limethibitisha kuwa straika wa timu ya taifa hilo, Pierre-Emerick Aubameyang, atakosekana katika mchezo wao wa kwanza wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KILA ifikapo Desemba ya kila mwaka, maandalizi na shamrashamra za Sikukuu ya Krismas huonekana wazi katika maeneo mengi duniani.
Tofauti na miezi...