27.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Taifa Stars yafuzu 16 bora AFCON

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TIMU ya Taifa ya Tanzania ' Taifa Stars' imefuzu hatua ya 16 bora ya michuano ya AFCON 2025 kama 'best loser'...

DPP awafutia kesi washtakiwa wawili wa kesi ya kuua bila kukusudia

Na Imani Nathaniel, Gazetini MKURUGENZI Mashitaka nchini (DPP), amewafutia kesi washtakiwa wawili kati ya sita waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuua bila kukusudia. Waliofutiwa mashtaka na...

Viongozi wa dini watakiwa kutumia lugha nzuri wanapohubiri

Na Imani Nathaniel, Gazetini VIONGOZI wa dini wametakiwa kutumia lugha njema wanapohubiri ili kuimarisha umoja wa kitaifa na kuzuia migawanyiko inayoweza kusababisha machafuko miongoni mwa...

Trump, Zelensky watangaza maendeleo ya mazungumzo ya amani

FLORIDA, Marekani RAIS wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky wamesema kuna maendeleo makubwa yamepatikana katika mazungumzo ya kumaliza vita vya Ukraine,...

Watu 13 wafariki, zaidi ya 90 wajeruhiwa baada ya treni kuacha njia Mexico

OAXACA, Mexico TAKRIBAN watu 13 wamefariki dunia na wengine karibu 100 kujeruhiwa baada ya treni ya abiria kuacha njia ya reli katika jimbo la Oaxaca,...

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa mashindano ya Mapinduzi Cup...

Miji inayoongoza kwa mabilionea wengi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini NEW YORK ndiyo Mji unaoongoza kwa kuwa na mabilionea wengi duniani, kwa mujibu wa Jarida maarufu la Forbes. Mji huo wa...

Kuelekea Uchaguzi Mkuu Uganda 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini UCHAGUZI Mkuu wa Uganda unatarajiwa kufanyika Januari 15, mwakani, ambapo Rais Yoweri Museveni anawania muhula wake wa saba madarakani. Wakati Rais Museveni...

Nani kuvaa viatu vya Guardiola akiondoka City?

MANCHESTER, Uingereza WIKI iliyopita, kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, alisema klabu hiyo inapaswa kujiandaa na maisha mapya bila uwepo wake kwenye benchi la ufundi. Mhispania...

Mabondia matajiri zaidi duniani

LOS ANGELES, Marekani UKIWEKA kando soka, masumbwi ni mchezo mwingine unaofuatiliwa zaidi, ukifuatiwa na mpira wa kikapu. Takwimu zinaonesha hivyo. Kutokana na ushawishi wake duniani, mchezo...

Asafiri kwa baiskeli akiifuata AFCON

RABAT, Morocco ILIKUWA ni safari ya umbali mrefu wa kilometa 3,000 akitoka Paris, Ufaransa, hadi nchini Morocco kuzifuata fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka...

WHO: Unywaji wa pombe unaua zaidi ya watu 800,000 kila mwaka Barani Ulaya

Na mwandishi wetu, Gazetini UNYWAJI wa pombe unasababisha vifo vya zaidi ya watu 800,000 kila mwaka barani Ulaya, sawa na kifo kimoja kati ya kila...