LONDON, Uingereza
HABARI mbaya kwa mashabiki wa Arsenal ni kwamba kiungo wao raia wa Hispania, Mikel Merino, hatarejea dimbani hadi msimu ujao.
Moreno amekosekana katika mechi...
MERSEYSIDE, Uingereza
NYOTA mpya wa Liverpool, Jeremy Jacquet, amepata majeraha ya bega akiwa uwanjani kuitumikia Rennes ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1).
Mfaransa huyo mwenye...
HARARE, Zimbabwe
WANANCHI wa Zimbabwe wamepokea kwa mwitiko mkubwa Bima ya Mazishi, ikiwa ni baada ya kushindwa kumudu gharama za Bima ya Afya.
Ifahamike kuwa Bima...
PARIS, Ufaransa
KOCHA wa PSG raia wa Hispania, Luis Enrique, havutiwi na mpango wa kuinoa Manchester United, licha ya kuhusishwa na klabu hiyo kwa ajili...
MADRID, Hispania
KLABU ya Real Madrid imerejea kwa kasi katika mpango wake wa kumfukuzia kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania, Rodri...
LONDON, Uingereza
CHELSEA iko njiani kuachana na beki wake wa kati raia wa Ufaransa, Benoit Badiashile. Ataondoka klabuni hapo majira ya kiangazi ya mwishoni mwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
BENKI za NMB na CRDB zimeendelea kuthibitisha ubora na uimara wao katika sekta ya fedha nchini baada ya kila moja kutangaza...
NEW YORK, Marekani
RIPOTI mpya ya Umoja wa Mataifa (UN) inaonesha kuwa wasichana takribani milioni 4.5 duniani kote wako kwenye hatari ya kufanyiwa ukeketaji kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HISTORIA ya maisha ya Bob Nesta Marley ina mengi ya kusisimua, ikiwa ni safari iliyoanzia Februari 6, 1945 na kufikia tamati...
LOS ANGELES, Marekani
WA sasa, siasa za dunia zinatikiswa na kile kinachoitwa 'mafaili ya Epstein'. Ni taarifa za siri zilizoibuka baada ya Jeffrey Epstein kufariki...
NAIROBI, Kenya
NI mlinzi wa Kakamega Homeboyz ya Ligi Kuu nchini Kenya, Silas Abungana, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 25.
Abungana (25), ameiaga dunia...