Na Mwandishi Wetu, Gazetini
KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi ili kuwachukulia hatua za kisheria wanachama na mashabiki wa klabu hiyo waliohusika...
NEW YORK, Marekani
Bilionea maarufu duniani, Elon Musk, ameweka historia mpya baada ya kuwa mtu wa kwanza kumiliki utajiri unaozidi dola bilioni 800, kufuatia hatua...
LONDON, Uingereza
JINA la April Francis limetikisa vichwa vya habari za michezo nchini Uingereza baada ya mpenzi huyo wa beki wa West Ham United, Aaron...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SUALA la kupata nafasi ya ajira baada tu ya kumaliza masomo limekuwa 'pasua kichwa' kwa wahitimu wengi wa vyuo vikuu. Si...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SERIKALI kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) imekamilisha kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali kwa ajili ya ujenzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana za...
Na mwandishi wetu, Gazetini
IDADI ya watu 'wanaojichua' imeongezeka kwa kasi nchini Uingereza, huku wengi wao wakiwa ni wanaume, licha ya wanawake pia kujihusisha na...
MADRID, Hispania
BAADA ya kumfunga mkongwe Nikovac Djokovic, Carlos Alcaraz ameandika historia mpya katika mchezo wa tenesi duniani.
Alcaraz raia wa Hispania, alimtandika Djokovic na kutwaa...
LONDON, Uingereza
NI rasmi sasa Derek Chisora na Deontay Wilder watavaana, huku pambano hilo la ngumi za uzito wa juu duniani likitarajiwa kupigwa Aprili, 2026...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
RAIS Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo Februari 2, 2026 kwenda Dubai, Falme za Kiarabu, ambapo anatarajiwa kushiriki katika uzinduzi wa...
Na Mwandishi Wetu. Gazetini
MAKAMU wa Rais Dk. Emmanuel Nchimbi ametoa rai kwa Majaji na Mahakimu nchini kuwa uhuru wa Mahakama usitumike kama sehemu ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema umesikitishwa na kitendo cha vurugu alichofanyiwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu na mashabiki...