24 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Simba yaandika barua Polisi ikiomba waliomkashfu MO washughulikiwe

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi  ili kuwachukulia hatua za kisheria wanachama na mashabiki wa klabu hiyo  waliohusika...

Elon Musk avunja rekodi: Awa mtu wa kwanza duniani kumiliki zaidi ya dola bilioni 800

NEW YORK, Marekani Bilionea maarufu duniani, Elon Musk, ameweka historia mpya baada ya kuwa mtu wa kwanza kumiliki utajiri unaozidi dola bilioni 800, kufuatia hatua...

April Francis; Mrembo wa Wan-Bissaka anayekaribia kutupwa gerezani

LONDON, Uingereza JINA la April Francis limetikisa vichwa vya habari za michezo nchini Uingereza baada ya mpenzi huyo wa beki wa West Ham United, Aaron...

Ni kweli wahitimu vyuo vikuu hawahajiriki?

Na mwandishi wetu, Gazetini SUALA la kupata nafasi ya ajira baada tu ya kumaliza masomo limekuwa 'pasua kichwa' kwa wahitimu wengi wa vyuo vikuu. Si...

Serikali yaendelea na maandalizi ujenzi reli ya Kusini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) imekamilisha kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali kwa ajili ya ujenzi...

Dk. Mwigulu: Serikali kununua matrekta 10,000 kuinua kilimo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana za...

Utafiti: Idadi ya ‘wanaojichua’ imeongezeka Uingereza

Na mwandishi wetu, Gazetini IDADI ya watu 'wanaojichua' imeongezeka kwa kasi nchini Uingereza, huku wengi wao wakiwa ni wanaume, licha ya wanawake pia kujihusisha na...

Alcaraz alivyoweka rekodi tenesi duniani

MADRID, Hispania BAADA ya kumfunga mkongwe Nikovac Djokovic, Carlos Alcaraz ameandika historia mpya katika mchezo wa tenesi duniani. Alcaraz raia wa Hispania, alimtandika Djokovic na kutwaa...

Chisora v Wilder: Vita ya karne ngumi za uzito wa juu duniani

LONDON, Uingereza NI rasmi sasa Derek Chisora na Deontay Wilder watavaana, huku pambano hilo la ngumi za uzito wa juu duniani likitarajiwa kupigwa Aprili, 2026...

Rais Samia kushiriki mkutano wa WGS 2026

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo Februari 2, 2026 kwenda Dubai, Falme za Kiarabu, ambapo anatarajiwa kushiriki katika uzinduzi wa...

Dk. Nchimbi atoa rai kwa Majaji na Mahakimu kuhusu uhuru wa Mahakama

Na Mwandishi Wetu. Gazetini MAKAMU wa Rais Dk. Emmanuel Nchimbi ametoa rai kwa Majaji na Mahakimu nchini kuwa uhuru wa Mahakama usitumike kama sehemu ya...

Yanga yaingilia ugomvi wa Mangungu na mshabiki Simba

Na Mwandishi Wetu, Gazetini UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema umesikitishwa na kitendo cha vurugu alichofanyiwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu na mashabiki...