29.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ndani ya EPL

LONDON, Uingereza KAMA kawaida, mechi za Ligi Kuu ya England (EPL) zitashuhudia mapumziko ya dakika kadhaa kuruhusu wachezaji watakaokuwa kwenye ibada ya Mwezi Mtukufu wa...

Mastaa wa soka waliostaafu mwaka 2026

LONDON, Uingereza NI miezi miwili pekee tangu mwaka 2026 ulipoanza na tayari kuna orodha ya mastaa wa soka waliotangaza kuachana na mchezo huo. Je, ni akina...

Brown: Bado sijaona kama Rooney

MANCHESTER, Uingereza UNAMKUMBUKA beki wa zamani wa Manchester United, West Brown? Alisifika kwa 'ukatili' wake ndani ya uwanja, hasa kwa washambuliaji tishio aliokabidhiwa kuwadhibiti. Brown aliyezaliwa...

Sumu ya chura iliyomuua kiongozi wa upinzani Urusi

MOSCOW, Urusi UINGEREZA na washirika wake imedai kuwa sumu itokanayo na chura ndiyo iliyotumika kumuua kiongozi wa upinzani nchini Urusi, Alexei Navalny. Navalny alipoteza maisha akiwa...

Salah aendeleza ubabe England

MERSEYSIDE, Uingereza MOHAMED Salah amekuwa mchezaji pekee wa England aliyefunga na kutoa 'asisti' mara nyingi katika mchezo mmoja, kwa mujibu wa takwimu za tangu msimu...

Bosi EPL avamiwa, ajeruhiwa na majambazi

LONDON, Uingereza ALIYEWAHI kuwa mmiliki wa klabu ya Nottingham Forest ya Ligi Kuu ya England (EPL), Fawaz Al-Hasawi, anaendelea vizuri baada ya kuvamia na kujeruhiwa...

Kocha Harambee Stars ahofia ‘Kundi la Kifo’ AFCON 2027

NAIROBI, Kenya KOCHA wa timu ya soka ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars', Benni McCarthy, amesema kupangwa kundi gumu kunaweza kutibua ndoto zao za kufanya...

Waziri wa Nishati adakwa akijaribu kutoroka

KYIV, Ukraine ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Nishati wa Ukraine, German Galushchenko, anashikiliwa na vyombo vya dola baada ya jaribio lake la kutorokea ughaibuni kugonga mwamba. Galushchenko...

Utafiti: Sekta ya elimu bado janga Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI wa Taasisi ya Afrobarometer Pan-Africa umezitaka Serikali barani Afrika kuwekeza jitihada za kutosha katika elimu, ukiitaja sekta hiyo kuwa ni...

Mambo 10 kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhan

Na mwandishi wetu, Gazetini WAUMINI wa Dini ya Uislam duniani kote wanakaribia kuingia kwenye ibada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Ni ibada ya siku...

Simba yamlilia Ashraf

Na mwandishi wetu, Gazetini UONGOZI wa klabu ya soka ya Simba umeeleza kuguswa kwake na taarifa za kifo cha mwanachama wake maarufu, Is-haka Mukadam. Mukadam, maarufu...

Ndejembi: Urambo, Kaliua zipo tayari kwa uwekezaji wa viwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema wilaya za Urambo na Kaliua mkoani Tabora zipo tayari kupokea uwekezaji, hususan wa viwanda, kutokana...