28.7 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Familia: Lungu hakulishwa sumu

LUSAKA, Zambia FAMILIA ya Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, imekanusha madai kuwa mwanasiasa huyo alikuwa kwa sumu. Lungu hajazikwa tangu alipofariki Juni, 2025 akiwa...

La Liga ni ‘weka tuweke’ mbio za ubingwa msimu huu

MADRID, Hispania NI tofauti ya pointi mbili tu. Real Madrid wako kileleni mwa msimamo, wakati Barcelona wako nyuma yao wakiwa na pointi 58, huku kila...

Vatican yakataa mwaliko wa Trump

WASHINGTON DC, Marekani VATICAN imeweka wazi kuwa haitakuwa sehemu ya Bodi ya Amani ya Rais Donald Trump, licha ya kukiri kupokea mwaliko. Awali, Bodi hiyo ililenga...

Raia Urusi walia ugumu wa maisha

MOSCOW, Urusi "MAISHA yamekuwa ghali mno." Ni kauli ya Alexander, mkazi wa mjini Moscow, ambaye ni mtaalamu wa moja ya kampuni kubwa za matangazo nchini...

Ukraine, Urusi hakijaeleweka mazungumzo ya kumaliza vita

GENEVA, Uswis MAZUNGUMZO yanayoendelea kati ya Ukraine, Urusi na Marekani mjini Geneva yamemalizika, ingawa hakuna mwafaka uliofikiwa. Marekani ikiwa msuluhishi, inajaribu kumaliza vita vilivyodumu kwa miaka...

United yagoma kumwachia Rashford

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Barcelona sasa ina kazi ngumu kumbakiza Marcus Rashford baada ya Manchester United kusema straika huyo hauzwi. Barcelona ilimchukua kwa mkopo wa msimu...

Alvarez azitolea nje Arsenal, Chelsea

LONDON, Uingereza KLABU za Arsenal na Chelsea zimepata pigo kubwa baada ya watu wa karibu wa Julian Alvarez kusema nyota huyo anaitaka Barcelona. Ripoti zilizopo zinaeleza...

Mbwa milioni 3 wauawa kisa Kombe la Dunia 2030

RABAT, Morocco YAKIWA ni maandalizi ya fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2030, mbwa milioni tatu wameuawa nchini Morocco na kusababisha wanaharakati wa haki...

Mboga moto, ugali moto robo fainali CAF

RABAT, Morocco DROO ya hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho imechezeshwa leo Februari 17, 2026 mjini Rabat. Je, droo...

TRA yasifu matumizi ya kodi katika mradi wa Bwawa la Julius Nyerere

Na mwandishi wetu, Gazetini MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesifu matumizi sahihi ya fedha za kodi za Watanzania katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere...

Mgomo wa wafanyakazi wachelewesha safari za ndege

NAIROBI, Kenya MGOMO wa wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta umesababisha kuchelewa kwa baadhi ya safari. Kama itakumbukwa, wiki iliyopita Mamlaka ya...

Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ndani ya EPL

LONDON, Uingereza KAMA kawaida, mechi za Ligi Kuu ya England (EPL) zitashuhudia mapumziko ya dakika kadhaa kuruhusu wachezaji watakaokuwa kwenye ibada ya Mwezi Mtukufu wa...