Ads: info@gazetini.co.tz |
27.1 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Kesi ya Duterte kuanza kusikilizwa Novemba 30

NEW YORK, Marekani MAHAKAMA ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) imetangaza Novemba 30, 2026, kuwa ndiyo siku ya kuanza kusikilizwa kwa kesi ya Rais wa zamani...

Mwanasheria aliyemuua bosi wake anyongwa

BEIJING, China IKIWA ni miaka miwili imepita tangu alipohukumiwa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bosi wake, mwanasheria Xu Yao amenyongwa leo Mei 28,...

Moto shule ya wasichana wasababisha vifo 16

GILGIL, Kenya MOTO ambao chanzo chake hakijafahamika umeripotiwa kusababisha vifo vya watu 16, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, katika shule ya bweni ya Sekondari ya...

Taasisi ya OSHA yapata Bodi mpya

Na mwandishi wetu, Gazetini Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu ameitaka Bodi Mpya ya Wakala wa Usalama na Afya...

Klabu ipi EPL ina mastaa wengi Kombe la Dunia 2026?

LONDON, Uingereza MASTAA zaidi ya 100 wa klabu za Ligi Kuu ya England (EPL) watakuwa katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazoanza...

Afrika Magharibi na mtandao wa biashara ya cocaine

DAKAR, Senegal TAKWIMU zinaeleza kuwa asilimia 30 ya dawa za kulevya zinazokwenda Ulaya hupita barani Afrika, hasa katika mataifa ya Magharibi, ikiwamo Senegal. Hiyo ni kwa...

Nchi 10 hatarini kuathiriwa na ebola wakati mlipuko ukizidi DRC na Uganda

KINSHASA, DRC WAKATI Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda zikiendelea kuripoti ongezeko la visa vya maambukizi ya Ebola, nchi 10 za Afrika zimetakiwa...

Mshindi Big Brother ajuta kuwasaidia ndugu

LAGOS, Nigeria MSHINDI wa Msimu wa 7 wa Shindano la Big Brother Naija, Josephina Ijeoma Otabor 'Phyna', ameeleza kujutia uamuzi wake wa kutumia fedha alizopata...

50 Cent, Diddy uadui wao tangu kitambo!

LOS ANGELES, Marekani SIO jambo geni kwamba mastaa wa Hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson '50 Cent' na Sean Combs 'Diddy', wamekuwa kwenye uhusiano mbaya...

Uholanzi na ndoto isiyotimia Kombe la Dunia

AMSTERDAM, Uholanzi KWA Taifa kama Uholanzi, ambalo historia yake ya kuzalisha vipaji vikubwa vya soka inafahamika, inaweza kushangaza kuona haijwahi kutwaa ubingwa wa Kombe la...

Max Dowman: Kinda wa Arsenal aliyevunja rekodi kibao EPL

LONDON, Uingereza MSIMU wa 2025-26 haukuwa mzuri tu kwa Arsenal, bali pia umeacha alama kubwa katika safari ya soka la kulipwa ya kinda wao raia...

Israel yatangaza kumuua kamanda wa Hamas

JERUSALEM, Palestina JESHI la Israel limetangaza kufanya shambulizi katika Ukanda wa Gaza na kumuua kiongozi wa wapiganaji wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hamas. Taarifa ya...