NEW YORK, Marekani
MAHAKAMA ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) imetangaza Novemba 30, 2026, kuwa ndiyo siku ya kuanza kusikilizwa kwa kesi ya Rais wa zamani...
BEIJING, China
IKIWA ni miaka miwili imepita tangu alipohukumiwa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bosi wake, mwanasheria Xu Yao amenyongwa leo Mei 28,...
GILGIL, Kenya
MOTO ambao chanzo chake hakijafahamika umeripotiwa kusababisha vifo vya watu 16, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, katika shule ya bweni ya Sekondari ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu ameitaka Bodi Mpya ya Wakala wa Usalama na Afya...
DAKAR, Senegal
TAKWIMU zinaeleza kuwa asilimia 30 ya dawa za kulevya zinazokwenda Ulaya hupita barani Afrika, hasa katika mataifa ya Magharibi, ikiwamo Senegal.
Hiyo ni kwa...
KINSHASA, DRC
WAKATI Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda zikiendelea kuripoti ongezeko la visa vya maambukizi ya Ebola, nchi 10 za Afrika zimetakiwa...
LAGOS, Nigeria
MSHINDI wa Msimu wa 7 wa Shindano la Big Brother Naija, Josephina Ijeoma Otabor 'Phyna', ameeleza kujutia uamuzi wake wa kutumia fedha alizopata...
LOS ANGELES, Marekani
SIO jambo geni kwamba mastaa wa Hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson '50 Cent' na Sean Combs 'Diddy', wamekuwa kwenye uhusiano mbaya...
AMSTERDAM, Uholanzi
KWA Taifa kama Uholanzi, ambalo historia yake ya kuzalisha vipaji vikubwa vya soka inafahamika, inaweza kushangaza kuona haijwahi kutwaa ubingwa wa Kombe la...
JERUSALEM, Palestina
JESHI la Israel limetangaza kufanya shambulizi katika Ukanda wa Gaza na kumuua kiongozi wa wapiganaji wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hamas.
Taarifa ya...