Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Olise: Ureno haimtegemei tena Ronaldo

MUNICH, Ujerumani WINGA wa Bayern Munich, Michael Olise, amesema kwa sasa timu ya Taifa ya Ureno haimtegemei nahodha wake, Cristiano Ronaldo. Na badala yake, Olise raia...

Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki dunia Chato

Na mwandishi wetu, Gazetini MAMA mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dk. John Pombe Magufuli, Mama...

Nchi zinazoongoza matumizi ya AI duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA utafiti wake, Kampuni ya Microsoft imebaini kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya 'akili-unde'...

Urafiki uliogeuka uadui kati ya Rais, Waziri Mkuu Senegal

DAKAR, Senegal IJUMAA ya wiki hii, Mei 22, 2026, Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, alimfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, hatua iliyoambatana na...

Yanga yaibamiza Namungo, yarudi kileleni ikiisubiri Mashujaa

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara bada ya ushindi mnono wa mabao 3-1 walioupata mbele ya Namungo katika...

Mbu watajwa kuongoza vifo vya binadamu duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa takwimu za tovuti ya Our World in Data, kwamba mbu ndiyo wadudu/wanyama wanaosababisha vifo vingi vya...

Ni kweli Iran inafadhili ugaidi au ni propaganda za Marekani?

TEHRAN, Iran MAREKANI inaitaja Iran kama mfadhili wa vikundi vyote vya kigaidi vilivyopo Mashariki ya Kati. Kwamba tangu ilipofanya mapinduzi mwaka 1979, imekuwa chanzo cha...

Majeraha yalivyochangia anguko la Tottenham

LONDON, Uingereza ALIPOTEULIWA kuinoa Tottenham, kocha Roberto De Zerbi alikiri wazi mbele ya waandishi wa habari, kwamba ana bahati mbaya kuajiriwa wakati ambao timu timu...

Bao la Mpanzu laishusha Yanga kileleni

Na Hassan Mwasha, Gazetini BAO pekee la Elie Mpanzu katika mchezo dhidi ya Dodoma Jiji limeiwezesha Simba kushika usukani wa msimamo wa Ligi Kuu Bara...

Sajili hizi zimelipa, zimerudisha chenji EPL 2025-26

LONDON, Uingereza UKIWEKA kando Arsenal kutwaa ubingwa, msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL) umeshuhudia viwango bora vya wachezaji waliosajiliwa na klabu mbalimbali. Nyota hao...

Guardiola atatua wapi akiondoka Man City?

MANCHESTER, Uingereza PEP Guardiola amekamilisha projekti aliyopewa wakati anaajiriwa na Manchester City mwaka 2016. Kuifanya klabu hiyo kuwa tishio barani Ulaya. Amefanikiwa. Wakati huu akijiandaa kuondoka,...

Ujerumani kuendeleza mkosi wa kuaga mapema Kombe la Dunia?

MUNICH, Ujerumani MABINGWA mara nne wa fainali za Kombe la Dunia, timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani imekuwa na mkosi wa kuondoshwa mapema kwenye...