23.4 C
Dar es Salaam

Michezo

Ten Hag amzuia Xhaka kurudi England

MUNICH, UjerumaniKOCHA wa Bayer Leverkusen, Erik ten Hag, ameweka wazi kuwa kiungo wake raia wa Uswis,Granit Xhaka, hauzwi.Xhaka aliyewahi kukipiga Arsenal, anahusishwa na mpango...

Rashford: Barca kama nyumbani tu

MANCHESTER, EnglandBAADA ya kutangazwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Barcelona, Marcus Rashford amesema anajisikia yuko nyumbani.Rashford mwenye umri wa miaka 27, amejiunga na Barca...

Maguire aachwa Man United ikielekea Marekani

MANCHESTER, EnglandBEKI wa kati, Harry Maguire, hajaongozana na kikosi cha Manchester United kilichoelekea Chicago, Marekani, kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu ujao.Maguire...

Liverpool yahamishia mtego kwa Rodrygo

MADRID, HispaniaKLABU ya Liverpool inafuatilia kwa karibu hatima ya staa wa Real Madrid, Rodrygo.Kwa wiki za hivi karibuni, Rodrygo raia wa Brazil amekuwa akihusishwa...

Wissa aondoka kambini, anukia Tottenham

LONDON, EnglandKITENDO cha mshambuliaji wa Brentford, Yoane Wissa, kuondoka katika kambi ya timu hiyo huko Ureno kimeibua tetesi kuwa huenda amerejea London kukamilisha usajili...

Liver yamnasa Ekitike kwa bil. 277/-

MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL wamefanikisha usajili wa mpachikaji mabao Hugo Ekitike, huku dili hilo likigharimu Pauni milioni 79 (zaidi ya Sh bil. 277 za Tanzania).Ikumbukwe, nyota...

Gabriel: Arsenal tunataka makombe msimu ujao

LONDON, EnglandMSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gabriel Magalhaes, anaamini msimu ujao ni wao katika kunyakua mataji.Kwa miaka sita ya kocha Mikel Arteta, Arsenal wamebeba taji la...

Kenya yajitoa  mashindano ya  CECAFA 

Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ imejiondoa katika mashindano maalumu ya CECAFA  yaliyopangwa kuanza leo Julai 21,2025 jijini Arusha  kwa ajili  ya maandalizi...

Pacquiao amtamani tena Barrios

LAS VEGAS, MarekaniMKONGWE wa ndondi za uzito wa welter, Manny Pacquiao, amesema anatamani kuona akirudiana na bingwa wa WBC, Mario Barrios.Pacquiao mwenye umri wa...

Sinner, Djokovic kuikosa National Bank Open

LOS ANGELES, MarekaniMASTAA wa tenesi, Jannik Sinner na Novak Djokovic, hawatoshiriki michuano ijayo ya National Bank Open itakayofanyika Canada.Wawili hao walitarajiwa kushiriki mashindano hayo...

Usyk achota bil. 343/- kwa dk. 14 tu

LONDON, EnglandKWA ushindi wa 'KO' ya raundi ya tano dhidi ya Daniel Dubois, Oleksandr Usyk amevuna Pauni milioni 98 (zaidi ya Sh bil. 343...

Pickford kusaini miaka minne Everton

MERSEYSIDE, EnglandMABOSI wa Everton wanakaribia kutangaza mkataba mpya wa miaka minne mlinda mlango wao raia wa England, Jordan Pickford.Pickford mwenye umri wa miaka 31,...

Recent articles

spot_img