Ads: info@gazetini.co.tz |
22.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Sterling kutimkia Leeds au Palace

LONDON, Uingereza HUENDA kiungo wa pembeni wa Chelsea, Raheem Sterling, akaondoka klabuni hapo na kujiunga na Leeds United au Crystal Palace za Ligi Kuu ya...

Timu hizi zitashangaza wengi AFCON 2025

CAIRO, Misri FAINALI za Mataifa ya Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi Desemba 21, mwaka huu. Zitafanyika nchini Morocco. Kati ya timu...

Kocha Newcastle mbioni kutimuliwa

LONDON, Uingereza IKIWA ni miaka minne tangu alipoajiriwa Novemba 2021, kocha Eddie Howe ameingia kwenye hatari ya kufungashiwa virago katika klabu ya Newcastle United. Newcastle imekuwa...

Tajiri Saudia kuinunua Barcelona

CATALUNYA, Hispania MWANAMFALME wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, ametenga kitita cha euro bilioni 10 ili kuinunua klabu ya Barcelona. Aliyefichua mpango huo ni mwandishi wa...

Mabosi wa Messi wamsajili beki Tottenham

MIAMI, Marekani INTER Miami ya Marekani imemsajili mlinzi wa kushoto wa zamani wa Tottenham na Real Madrid, Sergio Reguilon, akiwa mchezaji huru. Reguilon mwenye umri wa...

Simulizi za AFCON (2): Basi la wachezaji Togo latekwa, watatu wauawa

LOME, Togo ILIKUWA ni mwaka 2010, ambapo kikundi cha watu wenye silaha za kivita kililiteka basi la wachezaji wa timu ya taifa ya Togo. Ilikuwaje? Ni...

Simulizi za AFCON (1): Drogba na waasi wa Ivory Coast

ABIDJAN, Ivory Coast AKIWA kwenye kiwango cha juu na mafanikio makubwa ya soka, wakati huo akiitumikia Chelsea, Didier Drogba, alijitosa katika vita ya wenyewe kwa...

Usiyoyajua kuhusu Mapinduzi Cup 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini MSIMU huu wa Kombe la Mapinduzi umekuja na sura mpya, kubwa ikiwa ni ongezeko la Shilingi milioni 50 katika zawadi ya...

Amorim, Mainoo kukutana mezani

MANCHESTER, England KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema atakutana kwenye meza ya mazungumzo na kiungo wa timu hiyo, Kobbie Mainoo. Amorim anataka kuzungumza na kinda...

Glasner kocha mpya Chelsea?

LONDON, Uingereza KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca, amekiri kuwa amepoteza ushawishi mbele ya mabosi wa klabu hiyo ya Magharibi mwa Jiji la London. Baada ya...

Madrid yamtaka Dalot wa United

MANCHESTER, Uingereza REAL Madrid wameripotiwa kuanza kuihangaikia saini ya beki wa Manchester United, Diogo Dalot, na watajaribu kumsajili ifikapo mwakani. Dalot ameshacheza mechi 224 akiwa na...

Rekodi hii kutimua kocha Tottenham?

LONDON, Uingereza KICHAPO cha mabao 3-0 kutoka kwa Nottingham Forest kimeiacha Tottenham ikiwa na pointi 22 pekee katika mechi 16 za msimu huu wa Ligi...

Recent articles