Ads: info@gazetini.co.tz |
22.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Wolves yaifanyia ‘kitu mbaya’ Arsenal

LONDON, Uingereza LICHA ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Wolves, Arsenal walilazimika kusubiri hadi dakika ya 66 kupiga shuti lililolenga lango la wapinzani wao...

Kane aiokoa Bayern kwa ‘bao la jioni’

MUNICH, Ujerumani BAO la dakika ya 87 la Harry Kane limeiwezesha Bayern Munich kuambulia sare ya mabao 2-2 ikiwa nyumbani dhidi ya Mainz katika mchezo...

Yanga ilivyofunga kibabe mwaka 2025

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA haitaonekana uwanjani hadi mwakani. Ikimaanisha, 'Timu ya Wananchi' imeshafunga ukurasa wake kwa mwaka 2025. Katika makala haya, Gazetini inakuibulia uchambuzi...

Simba na mwendo wa kiume 2025

Na Hassan Mwasha, Gazetini HAIKUWA rahisi. Simba imemaliza mechi zake za mwaka 2025 na sasa haitaonekana uwanjani hadi mwakani. Ilikuwa ni safari ndefu kweli kweli....

Martinez kuziba pengo la Lewandowski?

MILAN, Italia MSHAMBULIAJI wa kati wa Inter Milan, Lautaro Martinez, ameonesha kuvutiwa na mpango wa kwenda kuziba pengo la Robert Lewandowski. Barcelona wameripotiwa kuanza kusaka mbadala...

Mashabiki wa Messi wang’oa viti India

NEW DELHI, India MASHABIKI wa Lionel Messi wamekasirishwa na hatimaye kuamua kung'oa viti baada ya kunyimwa fursa ya kumuona kwa muda mrefu staa huyo wa...

Ekitike aweka rekodi bao la mapema EPL

MERSEYSIDE, England KATIKA ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Brighton, straika wa Liverpool, Hugo Ekitike, alifunga yote na kuandika historia mpya msimu huu wa Ligi...

Ramos atajwa Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza ZIMEIBUKA ripoti zinazoihusisha Manchester United na beki wa kati wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania, Sergio Ramos. Ramos mwenye...

Bei ya tiketi Kombe la Dunia yazua gumzo

LONDON, Uingereza MASHABIKI wa soka duniani kote wameendelea kulalamikia bei kubwa ya tiketi za kuingia uwanjani wakati wa fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani. Kwa...

Makocha hawa bado wako benchi Ulaya

LONDON, Uingereza UNAMKUMBUKA Bruno Lage? Aliwahi kufanya kazi Ligi Kuu ya England akiwa na Wolves lakini sasa hana kibarua tangu alipofukuzwa Benfica na nafasi yake...

Bokya: Tyson wa Bongo ataomba maji ulingoni

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BONDIA Ismail Khalid maarufu Boyka ametamba kutoa kipigo kikali kwa mpinza wake Hassan Ndonga ‘Tyson Wa Bongo’  hadi  aombe maji ulingoni. Bokya...

Rooney: Nilitishiwa kuuawa kisa Man United

MANCHESTER, Uingereza MPACHIKAJI mabao wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney, amefichua alivyowahi kupokea vitisho vya kuuawa baada ya kujiunga na klabu hiyo akitokea Everton. Mwaka...

Recent articles