Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Carrick mikononi mwa Guardiola, atatoboa?

MANCHESTER, Uingereza NI wikiendi hii, Januari 17, 2026, ambapo Michael Carrick atapata mtihani wake wa kwanza mgumu atakapoiongoza Manchester United kuikabili Manchester City. Timu hizo zitakwaana...

Nani kuibuka mfungaji bora AFCON 2025?

RABAT, Morocco KUELEKEA mchezo wa fainali wikiendi hii, Januari 18, 2026, vita ya kuiwania tuzo ya mfungaji bora wa msimu huu wa fainali za Mataifa...

Simba yabeba kocha Mamelodi

Na mwandishi wetu, Gazetini KLABU ya Simba imeliimarisha benchi lake la ufundi kwa kumuajiri aliyekuwa kocha wa U-19 ya Mamelodi Sundowns, Kristopher Bergman. Bergman mwenye umri...

AFCON 2025 … Misri yang’oka ikiacha rekodi 5

RABAT, Morocco LICHA ya kuondoshwa katika fainali za Mataifa ya Afrika zinazoendelea huko Morocco, timu ya taifa ya Misri 'Mafarao' imeacha historia ya aina yake. Misri...

AFCON … Salah na ‘mkosi’ wa kupishana na Kombe

RABAT, Morocco USHINDI wa bao 1-0 waliopata Senegal dhidi ya Misri imeendeleza mkosi kwa Mohamed Salah katika ndoto yake ya kutwaa ubingwa wa fainali za...

Hii hapa mashine iliyotua Yanga kuipambania familia yake

Na mwandishi wetu, Gazetini KLABU ya Yanga leo Alhamisi Januari 15, 2026, imemtambulisha straika wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurelio ‘Depu’, kupitia kurasa...

Ligi Kuu Bara 2025-26 … Dodoma Jiji v Singida Black Stars

Na mwandishi wetu, Gazetini NI Ijumaa, Januari 16, 2026, ambapo timu hizo zitakutana zikiwa 'zinapumulia mashine' msimu huu wa Ligi Kuu Bara. Dodoma Jiji, wenyeji...

Wachezaji Comoro waipongeza Taifa Stars

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BALOZI wa Tanzania nchini Comoro, Saidi Yakubu leo amekutana na  wachezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Comoro ambao wameipongeza...

Carrick ataiokoa United au kamari nyingine Old Trafford?

MANCHESTER, Uingereza HATIMAYE Manchester United imetangaza kuwa kiungo wake wa zamani, Michael Carrick, ndiye atakayeinoa timu hiyo hadi mwishoni mwa msimu huu. Je, Carrick atafanikiwa au...

VAR inavyosababisha majanga EPL

LONDON, Uingereza MSIMU wa Ligi Kuu ya England (EPL) umeshuhudia teknolojia ya VAR ikifanya makosa mengi, hivyo kuwaingiza 'chaka' waamuzi na kuzigharimu timu mbalimbali. Kwa mujibu...

Bellingham: Sijahusika Alonso kufukuzwa Madrid

MADRID, Hispania KIUNGO wa Real Madrid, Jude Bellingham, amekanusha kuwa alihusika kuushawishi uongozi wa klabu hiyo kumfuta kazi kocha Xabi Alonso. Alonso raia wa Hispania, alifungashiwa...

Thomas Gronnemark; Silaha ya Liverpool iliyohamia Arsenal

LONDON, Uingereza ALIKUWA na mchango mkubwa wakati Liverpool ilipokuwa ya moto chini ya kocha wa kimataifa wa Ujerumani, Jurgen Klopp. Liverpool iliyotwaa taji la Ligi Kuu...

Recent articles