23.4 C
Dar es Salaam

Michezo

Makocha hawa presha tupu EPL

LONDON, UingerezaNI takribani wiki mbili pekee zimebaki kabla ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya England (EPL) kuanza.Msimu uliopita, makocha nane walifungashiwa virago, wa...

Maswali 6 yanayosubiri majibu EPL 2025-26

LONDON, England MSIMU ujao wa 2025-26 uko njiani, ukitarajiwa kuanza kutimua vumbi mwezi ujao. Ni Ligi Kuu ya England (EPL), michuano ya soka inayotajwa kufuatiliwa...

Victor Gyokeres kuibeba Arsenal msimu ujao?

LONDON, England KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, aliingia sokoni majira haya ya kiangazi akihitaji straika. Msako wake umeinasa saini ya mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden,...

Mnyama Simba anaendelea kuweka hadharani vifaa vyake vipya

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Simba leo Julai 30, 2025, imemtambulisha Alassane Kante raia wa Senegal , akitokea CA Bizertin ya Tunisia. Kiungo huyo mkabaji mwenye...

Rais wa Yanga akatwa uteuzi Jimbo la Kigamboni, Jemedali, Shafii Dauda mambo mazuri

Na Mwandishi Wetu Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Hersi Saidi ameshindwa kupenya katika  uteuzi wa awali wa wagombea ubunge  Jimbo la Kigamboni kupitia Chama...

‘Dar Boxing Derby’ unaambiwa ulingo utatitia Leders Club kesho

Na Mwandishi Wetu Hatimaye ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wadau, wapenzi wa ngumi imefika ambapo kesho yatapigwa mapambano ya ngumi za kulipwa ‘Dar...

Taifa Stars yawekewa bilioni moja CHAN

Na Mwandishi Wetu  Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imeahidiwa kiasi cha fedha  shilingi bilioni moja  kama zawadi, ikifanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya...

Firmino aondoka Saudia, aibukia Qatar

DOHA, QatarMABINGWA wa Ligi Kuu ya Qatar, Al Sadd, wamemsajili na kumpa mkataba wa miaka miwii mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Roberto Firmino.Nyota huyo...

Usiyoyajua kuhusu kocha mpya Yanga

MWANDISHI WETU, GazetiniNI rasmi sasa, kwamba benchi la ufundi la Yanga liko chini ya kocha mpya raia wa Ufaransa, Romain Folz.Ikielezwa kuwa amesaini mkataba...

Aliyetoka jela kesi ya bangi asajiliwa

LONDON, EnglandALIYEWAHI kuwa mchezaji wa Arsenal, Jay Emmanuel-Thomas, amejiunga na AFC Totton, zikiwa ni wiki chache tu tangu alipotoka jela.Jay alihukumiwa kifungo cha miaka...

Simons bado kidogo kutua Chelsea

LONDON, EnglandCHELSEA wanakaribia kukamilisha usajili wa kiungo wa RB Leipzig na timu ya taifa ya Uholanzi, Xavi Simons.Baada ya kumuuza Noni Madueke aliyejiunga na...

Rodri awindwa Madrid, atengewa bil. 348/-

MADRID, HispaniaREAL Madrid wametenga Pauni milioni 100 (zaidi ya Sh bil. 348 za Tanzania) za kuibomoa Manchester City kwa kumchukua kiungo wao, Rodri.Kocha mpya,...

Recent articles

spot_img