Ads: info@gazetini.co.tz |
23.3 C
Dar es Salaam

Michezo

Chelsea kubeba kocha, kiungo Newcastle

LONDON, Uingereza MABOSI wa Chelsea wameripotiwa kuanza harakati za kumchukua kocha wa Newcastle United, Eddie Howe. Wakati huo huo, taarifa zinaeleza kuwa wanaitaka saini ya kiungo...

Rodri aipasua kichwa Madrid

MADRID, Hispania BADO mabosi wa Real Madrid wanaumiza vichwa juu ya mpango wao wa kuinasa saini ya kiungo wa Manchester City na timu ya taifa...

Saka aifikia rekodi ya Fabregas

LONDON, Uingereza HATIMAYE mshambuliaji wa Arsenal, Bukayo Saka, ameungana na Cesc Fabregas katika orodha ya wachezaji waliochangia mabao mengi ya timu hiyo kwenye historia ya...

Rekodi ya Obi yavunjwa AFCON 2025

RABAT, Morocco TIMU ya soka ya taifa ya Senegal imetinga robo fainali ya msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kwa kuifunga...

Chiesa aibukia AS Roma

ROMA, Italia KLABU ya AS Roma imemuweka kwenye rada zake kiungo wa pembeni wa Liverpool raia wa Italia, Federico Chiesa. Wakati huo huo, nyota huyo anahusishwa...

Diarra kiboko, abeba tuzo akitinga robo AFCON

RABAT, Morocco PENALTI mbili alizookoa kipa wa Yanga, Djigui Diarra, zimeiwezesha timu yake ya taifa ya Mali kuing'oa Tunisia na kutinga hatua ya robo fainali...

Man City v Chelsea … Shoo ya kibabe Etihad

MANCHESTER Uingereza MANCHESTER City itakuwa nyumbani katika Uwanja wa Etihad kukaribisha Chelsea, mchezo wa Ligi Kuu ya England utakaochezwa wikiendi hii (Januari 5, 2026). Kwa upande...

Ayew atua Ligi Kuu ya Uholanzi

AMSTERDAM, Uholanzi MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ghana, Andre Ayew, amejiunga na NAC Breda inayoshiriki Ligi Kuu ya Uholanzi (Eredivisie). Ayew mwenye umri wa miaka 36, amesaini...

Osimhen: Tumejipanga kuing’oa Msumbiji

RABAT, Morocco STRAIKA wa timu ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles', Victor Osimhen, amesema wamejiandaa vizuri kwa mchezo wao wa Jumatatu ya wiki ijayo dhidi...

Slot alia na mwamuzi

MERSEYSIDE, Uingereza BAADA ya suluhu dhidi ya Leeds United katika mchezo wa jana Januari Mosi, 2026, kocha wa Liverpool, Arne Slot, ameelekeza lawama zake kwa...

Chelsea yamfuta kazi Enzo Maresca

LONDON, Uingereza KLABU ya Chelsea imetangaza rasmi kumfungashia virago kocha wake raia wa Italia, Enzo Maresca, ikielezwa kuwa chanzo ni uhusiano mbaya kati yake na...

AFCON yamponza Aubameyang, Serikali yamtimua

LIBREVILLE, Gabon SERIKALI ya Gabon imetangaza kuvunja benchi la ufundi la timu ya soka ya taifa, ikiwa ni pamoja pia na kumtimua kikosini mshambuliaji wake,...

Recent articles