LONDON, UingerezaUPEPO unavuma vibaya kwa Jonathan Barnett, ambapo wakala huyo wa soka anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji mjini London.Kwa mujibu wa kile kilichoelezwa mahakamani,...
RIO, BrazilMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Brazil, Neymar, atakuwa mchezaji huru katika usajili wa dirisha dogo la usajili hapo Januari, mwakani. Mkataba wake na Santos...
LONDON, UingerezaBAADA ya tetesi nyingi na za muda mrefu, sasa ni rasmi kuwa Anthony Joshua na Jake Paul watapanda ulingoni kurushiana makonde.Ni pambano la...
MANCHESTER CITY, UingerezaNDOTO imetimia! Mshambuliaji wa kati wa Manchester City, Erling Haaland, atacheza kwa mara ya kwanza Kombe la Dunia wakati timu yake ya...
Na Na Winfrida Mtoi, Gazetini
Msafara wa kikosi cha Yanga umetua visiwani Zanzibar kwa maandalizi ya kuikabili AS FAR Rabat ya Morocco katika mchezo wa...
LONDON, UingerezaKWA miaka mingi ya hivi karibuni, Ligi Kuu ya Marekani (MLS) imekuwa ikipokea wachezaji wenye majina makubwa kutoka katika klabu za barani Ulaya,...
MADRID, HispaniaKABLA ya kusajiliwa na Real Madrid, Kylian Mbappe alishafunga mabao 329 na kutwaa mataji 17 katika maisha yake ya soka.Ikumbukwe, Mbappe bado ni...
Na Mwandishi Wetu
Nyota wa Pyramids, Fiston Mayele ameingia katika tatu bora ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa klabu kwa Afrika kwa mwaka...
Na Mwandishi Wetu
Klabu ya Simba imeondolewa katika kinyang'anyiro cha kuwania Tuzo ya Klabu Bora Afrika ambapo CAF imetangaza timu tatu zilizoingia fainali ya kuwania...