MANCHESTER, UingerezaBAADA ya kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Brighton, kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, ameeleza sababu ya kupoteza mchezo huo wa Ligi...
LONDON, UingerezaMATAJIRI wa Newcastle United wameweka rekodi ya usajili wa bei mbaya klabuni hapo kwa kumnasa straika wa Stuttgart, Nick Woltemade.Hilo ni pigo kubwa...
MANCHESTER, UingerezaLICHA ya Kobbie Mainoo kuomba kuondoka kwa mkopo, Manchester United imemwambia kiungo huyo abaki na kuipambania namba kikosini.Kwa sasa, klabu kadhaa za Ulaya...
LONDON, UingerezaKLABU ya Tottenham iko kwenye hatua nzuri ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa RB Leipzig na timu ya taifa ya Uholanzi, Xavi Simons.Kwa...
ISTANBUL, UturukiKLABU ya Fenerbahce imetangaza kumfungashia virago kocha wake raia wa Ureno, Jose Mourinho 'Special One' ukiwa ni mwaka mmoja tu tangu alipoajiriwa.Hatua ya...
LONDON, UingerezaKOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, hajamjumuhisha beki Trent Alexander-Arnold katika kikosi kitakachocheza mechi mbili za kuwania kufuzu Kombe la...
Na Mwandishi Wetu
Timu ya Taifa ya wanawake ya mchezo wa kriketi ya Tanzania inatarajiwa kushiriki mashindano ya kufuzu Kombe la Dunia yatakayofanyika nchini Namibia...
Na Winfrida Mtoi
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara(TPLB) leo Agosti 29, 2025, imetangaza ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ya 2025/26, ikitarajia kuanza...
MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema timu yake ilipoteza dira ndani ya uwanja na hiyo ikasababisha itolewe kwenye michuano ya Carabao Cup.Man...
MUNICH, UjerumaniLICHA ya jitihada kubwa za Chama cha Soka, klabu na baadhi ya mashabiki, bado imeonekana ni ngumu kuondosha vitendo vya ubaguzi dhidi ya...
MADRID, HispaniaVIGOGO wa Ligi Kuu ya Hispania (La Liga), Real Madrid, wanaipigia hesabu saini ya kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo.Madrid sasa inaungana na...
LONDON, UingerezaWAKONGWE wa Ligi Kuu ya Uturuki, Galatasaray, wameripotiwa kuitaka saini ya kiungo wa ulinzi wa Tottenham, Yves Bissouma.Nyota huyo raia wa Mali hajacheza...