LOS ANGELES, Marekani
BONDIA wa ngumi za uzito wa juu ambaye pia ni mshindi wa medali ya dhahabu katika michuano ya Olimpiki, Anthony Joshua, atapanda...
MANCHESTER, Uingereza
USAJILI wake umekamilika baada ya Manchester United kuipa Chelsea kitita cha Pauni milioni 48. Ni kiungo wa Kibrazil, Andrey Santos.
Man United imeachana na...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NDANI ya muda wake mfupi ndani ya soka la Tanzania, Steve Barker 'amesepa na kijiji', akithibitisha kuwa ni kocha wa daraja...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF) hivi karibuni lilianika kalenda ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa msimu ujao wa 2026-27, ukiwa...
BOSTON, Marekani
NI timu nne pekee zilizobaki katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026). Kwamba timu 44 zimeshaaga mashindano hayo ya Shirikisho...
BOSTON, Marekani
KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Hispania katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia kilihitimisha safari ya 'kizazi cha dhahabu' cha...
LONDON, Uingereza
KOCHA mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, ameitaka klabu hiyo kumsajili beki wa klabu yake ya zamani ya Real Madrid, Alvaro Carreras.
Alonso anataka mlinzi...
MIAMI, Marekani
LICHA ya kucheza mechi zaidi ya 200 akiwa na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi hajawahi kuikabili England.
Safari hii, Messi atakutana kwa...