LONDON, Uingereza
STRAIKA wa Atletico Madrid, Julian Alvarez, ameweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo majira haya ya kiangazi.
Wakati Barcelona wakiwa wanapewa nafasi kubwa, zipo...
MADRID, Hispania
REAL Madrid imemnasa nyota raia wa Sweden, Felicia Schroeder, na anakuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kusajiliwa kwa dau kubwa katika historia ya...
MEXICO CITY, Mexico
UHONDO wa mechi za fainali za Kombe la Dunia unaendelea huko Marekani, Mexico na Canada, huku yakijitokeza matukio kadhaa yaligusa hisia za...
NYON, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuwa Donald Trump atakuwepo uwanjani siku ya fainali ya msimu huu wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
LICHA ya kuonekana ungekuwa mchezo mgumu, Azam FC imekubali kichapo kizito cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga, ambayo sasa imejishindilia kileleni...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
ACHANA na kuzihitaji pointi tatu. Yanga wataivaa Azam wakiwa na hasira baada ya matajiri hao wa Chamazi kuwafunga katika mchezo wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KOCHA wa Simba, Steve Barker, amesema vijana wake wamejiandaa kimwili na kisaikolojia kukabiliana na Mtibwa Sugar.
Simba wako mkoani Morogoro kwa ajili...
JERUSALEM, Palestina
KATIKATI ya maisha magumu wanayopitia raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, burudani ya fainali za Kombe la Dunia imepenya na kupata nafasi...