Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

Michezo

Hizi hapa zilizoaga Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico JUMLA ya timu 10 zimeshaaga michuano ya msimu huu wa Kombe la Dunia baada ya Curacao kutolewa kwa kichapo cha mabao 2-0...

Huyu ndiye Mourinho, atoa kauli tata Kombe la Dunia

MADRID, Hispania KAMA kawaida yake. Kocha Jose Mourinho ni mtu wa kauli zenye utata, kama ambayo ameitoa safari hii juu ya fainali za Kombe la...

Sababu 4 Alvarez kutua Arsenal

LONDON, Uingereza STRAIKA wa Atletico Madrid, Julian Alvarez, ameweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo majira haya ya kiangazi. Wakati Barcelona wakiwa wanapewa nafasi kubwa, zipo...

Morocco, Brazil zatinga hatua ya 32 bora, Qatar yaaga

SEATTLE, Marekani MOROCCO imefuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Haiti katika...

Felicia Schroeder: Kinda wa bei mbaya zaidi Madrid

MADRID, Hispania REAL Madrid imemnasa nyota raia wa Sweden, Felicia Schroeder, na anakuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kusajiliwa kwa dau kubwa katika historia ya...

Matukio ya kusisimua Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico UHONDO wa mechi za fainali za Kombe la Dunia unaendelea huko Marekani, Mexico na Canada, huku yakijitokeza matukio kadhaa yaligusa hisia za...

FIFA: Trump atakuwepo fainali Kombe la Dunia

NYON, Uswis RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuwa Donald Trump atakuwepo uwanjani siku ya fainali ya msimu huu wa...

‘Uswahili’ ulivyotawala kambi ya wachezaji Senegal huko Marekani

NEW JERSEY, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Senegal iliingia kwenye fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) ikiwa inapewa nafasi kubwa...

Yanga yazima jeuri ya Azam, Simba yaiachia maumivu Mtibwa Sugar

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya kuonekana ungekuwa mchezo mgumu, Azam FC imekubali kichapo kizito cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga, ambayo sasa imejishindilia kileleni...

Macho yote Zenji … Yanga kisasi, Azam inasaka heshima

Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na kuzihitaji pointi tatu. Yanga wataivaa Azam wakiwa na hasira baada ya matajiri hao wa Chamazi kuwafunga katika mchezo wa...

Steve Barker: Hao Mtibwa Sugar waje tu

Na mwandishi wetu, Gazetini KOCHA wa Simba, Steve Barker, amesema vijana wake wamejiandaa kimwili na kisaikolojia kukabiliana na Mtibwa Sugar. Simba wako mkoani Morogoro kwa ajili...

Kwanini Wapalestina wamechagua kuishangilia Hispania?

JERUSALEM, Palestina KATIKATI ya maisha magumu wanayopitia raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, burudani ya fainali za Kombe la Dunia imepenya na kupata nafasi...

Recent articles