Ads: info@gazetini.co.tz |
25.3 C
Dar es Salaam

Michezo

Torres apewa jezi yake PSG

PARIS, Ufaransa PSG imekamilisha usajili wa mshambuliaji kutoka Barcelona, Ferran Torres, na kumkabidhi jezi namba 9 klabuni hapo. Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 26, amesaini...

Arsenal, Man City nani kubeba Ngao ya Jamii kesho?

LONDON, Uingereza ARSENAL na Manchester City zitakwana kesho Agosti 16, 2026, mchezo wa Ngao ya Jamii utakaochezwa katika Uwanja wa Principality mjini Cardiff, Wales. Ni mchezo...

Ni Cameroon, Malawi fainali WAFCON 2026

RABAT, Morocco MSIMU huu wa fainali za Mataifa ya Afrika kwa soka la Wanawake utafikia ukomo Jumapili hii, yaani Agosti 16, 2026. Michuano hiyo inafanyika...

Mambo ni moto msimu mpya Ligi Kuu za Ulaya: Ligue 1

PARIS, Ufaransa MECHI ya kwanza ya Ligi Kuu hiyo ya Ufaransa kwa msimu wa 2026-27 itachezwa Ijumaa ya Agosti 21, 2026. Marseille watakuwa nyumbani kuivaa...

Mambo ni moto msimu mpya Ligi Kuu za Ulaya: Bundesliga

MUNICH, Ujerumani BAYERN Munich itakuwa nyumbani kuikaribisha VfB Stuttgart katika mechi ya ufunguzi wa Bundesliga msimu mpya wa 2026-27. Hiyo itakuwa Ijumaa ya Agosti 28,...

Mambo ni moto msimu mpya Ligi Kuu za Ulaya: Serie A

MILAN, Italia KUMEKUCHA! Mechi ya kwanza ya Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kwa msimu wa 2026-27 itachezwa Agosti 17, 2026, ambapo Udinese itavaana na...

Mambo ni moto msimu mpya Ligi Kuu za Ulaya: La Liga

MADRID, Hispania MSIMU mpya wa La Liga (2026-27) utaanza kesho, yaani Jumamosi ya Agosti 15, ambapo Alaves itafungua pazia kwa kuikaribisha Getafe. Gumzo ni kurejea kwa...

Nigeria yakosa tiketi Kombe la Dunia 2027

RABAT, Morocco TIMU ya soka ya Taifa ya Nigeria ya Wanawake 'Super Falcons' haitoshiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwaka 2027. Super Falcons wamepoteza...

Mendy, Asencio wako sokoni Madrid

MADRID, Hispania VIGOGO wa Ligi Kuu ya Hispania (La Liga), Real Madrid, wako mbioni kuwapiga bei mastaa wao wawili, Ferland Mendy na Raul Asencio. Madrid wamepoteza...

Osimhen asukiwa mkakati Arsenal

LONDON, Uingereza ZIPO taarifa zinazodai kuwa Victor Osimhen wa Galatasaray ni miongoni mwa mastraika walio kwenye orodha ya kocha wa Arsenal, Mikel Arteta. Gazeti la UK...

Gullit: Rashford atatesa sana msimu ujao EPL

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa Chelsea, Ruud Gullit, amemtabiria makubwa Marcus Rashford akisema straika huyo atafanya makubwa msimu ujao (2026-27) wa Ligi Kuu ya...

Tabu iko pale pale, Yanga kumtambulisha Aziz Ki kesho

Na mwandishi wetu, Gazetini ANAREJEA! Hatimaye klabu ya Yanga inatarajiwa kumtambulisha kiungo raia wa Burkina Faso, Stephanie Azizi Ki, ifikapo kesho Agosti 15, 2026. Kwa miezi...

Recent articles