26.6 C
Dar es Salaam

Michezo

Okello awapa maneno matamu Wanayanga

Na Mwandishi Wetu Nyota wa Yanga, Allan Okello amewahakikishia mashabiki wa timu hiyo kuwa watamaliza kila kitu ndani ya dakika 90 katika mchezo wa hatua...

Klabu 16 kuchuana mashindano ya Taifa ya kuogelea kesho

Na Mwandishi Wetu JUMLA ya klabu 16 za mchezo wa kuogelea kutoka ndani na nje ya Tanzania zinatarajia kushiriki mashindano Taifa yatayoanza kesho Aprili 10-12,...

Rekodi ya Raul yavunjwa Madrid

MADRID, Hispania REKODI ya mkongwe Raul Gonzalez iliyodumu kwa miaka 30 katika klabu ya Real Madrid imevunjwa rasmi. Ni katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...

Neuer afika ‘levo’ za Messi

MUNICH, Ujerumani MLINDA mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer, amefikisha mechi 136 akiwa kikosi cha kwanza cha timu hiyo. Idadi hiyo ni sawa na aliyokuwa nayo...

Chelsea hesabu kali kwa Nunez

LONDON, Uingereza KLABU ya Chelsea imeonesha kuvutiwa na mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Darwin Nunez. Nunez raia wa Uruguay aliondoka Anfield mwaka jana na kutua Al-Hila...

Arsenal kuanza na Olmo?

LONDON, Uingereza ARSENAL wanaangalia uwezekano wa kuanza na mshambuliaji wa Barcelona, Dani Olmo, pindi tu dirisha kubwa la usajili la kiangazi litakapofunguliwa. Ripoti zinaeleza kuwa Arsenal...

Arsenal yakaribia kumnasa Diomande

LONDON, Uingereza WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanapewa nafasi kubwa ya kumsajili mshambuliaji wa RB Leipzig ya Bundesliga, licha ya Liverpool nao kumtolea macho. Nyota huyo...

United wamtengea dau Gueye

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER United imetenga kitita cha Pauni milioni 39 ili kufanikisha usajili wa kiungo wa Villarreal, Pape Gueye. Gueye amekuwa na msimu mzuri, ambapo amefunga...

Konate kupewa mkataba Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool iko katika hatua nzuri ya kumsainisha mkataba mpya beki wake wa kati raia wa Ufaransa, Ibrahima Konate. Konate alijiunga na Liverpool...

City yaweka rekodi ya kibabe

MANCHESTER, Uingereza PEP Guardiola na vijana wake wa Manchester City wameandika historia ya aina yake baada ya ushindi wa mabao 4-0 walioupata dhidi ya Liverpool. Erling...

Newcastle kubeba straika Madrid

MADRID, Hispania NEWCASTLE United imeingia kwenye harakati za kumsajili straika wa Real Madrid, Gonzalo Garcia. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, amecheza mechi 32 za...

Kounde kutua City, Liverpool au Chelsea?

LONDON, Uingereza KLABU za Manchester City, Liverpool na Chelsea zinapigana vikumbo kuiwania huduma ya beki wa Barcelona raia wa Ufaransa, Jules Kounde. Kounde alitua Barcelona mwaka...

Recent articles

spot_img