Ads: info@gazetini.co.tz |
25.1 C
Dar es Salaam

Michezo

Barcelona wafalme wa La Liga

BARCELONA, Hispania FC Barcelona wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa La Liga baada ya kuichapa Real Madrid mabao 2-0 katika mchezo mkubwa wa El Clásico uliochezwa kwenye...

Rekodi 3 walizoweka Arsenal wakitinga fainali UEFA

CATALUNYA, Hispania HATIMAYE Arsenal imetinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Ni baada ya ushindi wao wa bao 1-0 dhidi ya Atletico Madrid, mchezo uliochezwa...

Slot hafukuzwi leo wala kesho

MERSEYSIDE, Uingereza LICHA ya mashabiki wa Liverpool kutokuridhishwa na mambo yanavyokwenda msimu huu, uongozi wa timu hiyo hauna mpango wa kumfuta kazi kocha Arne Slot. Ukiwa...

Xavi, Chelsea kumbe tetesi tu

CATALUNYA, Hispania LICHA ya tetesi zilizopo, Chelsea hawana mpango wa kumpa ajira kocha wa zamani wa Barcelona raia wa Hispania, Xavi Hernandez. Awali, zilikuwepo taarifa zilizodai...

United yagoma kumwachia Hojlund

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Napoli imethibitisha kukwama katika mpango wake wa kumsajili kiungo wao wa mkopo kutoka Manchester United, Rasmus Hojlund. Hojlund mwenye umri wa miaka...

Makonda aomba sh.525.32 bilioni, maandalizi AFCON yafikia pazuri

 Na Mwandishi Wetu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ameomba sh. 525.32 bilioni kwa bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha...

Didier Drogba awa aamsha shangwe bungeni Dodoma

Na Mwandishi Wetu Shangwe​  zimetawala  katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo Mei 4, 2026,   baada ya gwiji wa soka duniani na nahodha wa zamani...

PSG yamfungia kazi Harry Kane

LONDON, Uingereza GAZETI la Bild la Ujerumani limeripoti kuwa mabosi wa klabu ya PSG wanaweza kulitikisa soko la usajili duniani kwa kumchukua straika wa Bayern...

Parlour aishauri Arsenal kumsajili Alvarez

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Arsenal, Ray Parlour, ameishauri klabu hiyo kuharakisha usajili wa mshambuliaji wa kati wa Atletico Madrid, Julian Alvarez. Parlour raia wa England, anaamini...

John Stone: Nyota iliyofunikwa na majeraha Man City

MANCHESTER, Uingereza AMETANGAZA kuwa huu ni msimu wake wa mwisho kucheza Manchester City. Ni John Stone, beki wa kati wa kimataifa wa England. Stones atakuwa amemaliza...

Arsenal, Atletico kumaliza ubishi nusu fainali Ligi ya Mabingwa

LONDON, Uingereza ARSENAL watakuwa ugenini nchini Hispania kuwakabili Atletico Madrid katika mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya utakaochezwa kesho Aprili 29, 2026. Baada...

PSG, Bayern ni ‘weka tuweke’ nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya

LONDON, Uingereza PSG wataikaribisha Bayern Munich katika nusu fainali ya kwanza msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, mchezo utakaochezwa kesho Aprili 28, 2026 mjini...

Recent articles

spot_img