Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Wawili tu Afrika waingia Ballon d’Or ya Wanawake

LONDON, Uingereza NI nyota wawili pekee kutoka Afrika walioingia 'Top 30' ya kinyang'anyiro cha kuiwania tuzo ya mwaka huu ya Ballon d'Or kwa upande wa...

Vozinha wa Cape Verde awania Ballon d’Or

PRAIA, Cape Verde KIPA wa timu ya soka ya Taifa ya Cape Verde, Vozinha, ametajwa kwenye orodha ya wanaoiwania tuzo ya mwaka huu ya Ballon...

Baada ya sare, Carrick alia na wachezaji

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema kiwango kibovu kilichooneshwa na wachezaji wake kilichangia matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Everton...

Mbappe ajitabiria Ballon d’Or

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, anaamini huu ni mwaka wake wa kuitwaa kwa mara ya kwanza tuzo maarufu ya Ballon d'Or. Hafla ya...

Simba yatamba ugenini, Wamalawi hawaamini!

Na mwandishi wetu, Gazetini SIMBA imeuanza vizuri msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuinyuka Mighty Wanderers bao 1-0 katika mchezo uliochezwa katika...

Geita kufuta ‘uteja’ kwa Yanga?

Na Hassan Mwasha, Gazetini GEITA Gold ina kibarua kigumu mbele ya Yanga katika mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu wa 2026-27, na...

Modric arudi mzigoni, agoma kustaafu

LONDON, Uingereza KIUNGO mkongwe, Luka Modric, ataendelea kuitumikia timu yake ya Taifa ya Croatia, licha ya umri wake mkubwa wa miaka 41. Chama cha Soka cha...

Kiungo ateuliwa kocha mpya Algeria

ALGIERS, Algeria KIUNGO wa zamani wa Rangers ya Ligi Kuu ya Scotland, Brahim Hemdani, ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya soka ya Taifa ya...

Mashabiki Fulham wazomea wachezaji

LONDON, Uingereza UZALENDO uliwashinda mashabiki wa Fulham na kuamua kuwazomea wachezaji wao baada ya timu hiyo kufungwa mabao 3-2 na Crystal Palace jana Septemba 5,...

Sikia hii ya Bayern, noma sana!

MUNICH, Ujerumani KWA mara ya kwanza baada ya mechi 59, Bayern Munich wamelazimishwa kumaliza dakika 90 bila kupata bao. Ni katika mchezo wa Bundesliga uliochezwa jana...

Simeone afunguka kilichoiua Atletico Madrid

MADRID, Hispania KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone, amesema wapinzani wao, Athletic Bilbao, walikuwa wazuri kwenye ulinzi na ndiyo maana ikawa ngumu kwa vijana wake...

Maresca aitangazia ‘kiama’ Arsenal

LONDON, Uingereza KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, amesema kwa sasa wana kikosi chenye uwezo wa kushindana na Arsenal katika mbio za kuwania taji la...

Recent articles