MIAMI, Marekani
NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi, amezipuuza taarifa zinazodai kuwa wanabebwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).
Messi...
MIAMI, Marekani
LEJENDARI wa soka, Zlatan Ibrahimovic, ameibuka baada ya timu ya soka ya Taifa ya England kufungwa mabao 2-1 na Argentina katika mchezo wa usiku...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SIYO habari mpya kwamba mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva, amejiunga na Newroz SC akitokea Al-Talaba, zote za Ligi Kuu...
NEW YORK, Marekani
BEKI wa Hispania na mchezaji bora wa mechi, Pedro Porro, amesema kufuzu kwa timu yake fainali ni ndoto aliyokuwa akiisubiri kwa muda...
LOS ANGELES, Marekani
BONDIA wa ngumi za uzito wa juu ambaye pia ni mshindi wa medali ya dhahabu katika michuano ya Olimpiki, Anthony Joshua, atapanda...
MANCHESTER, Uingereza
USAJILI wake umekamilika baada ya Manchester United kuipa Chelsea kitita cha Pauni milioni 48. Ni kiungo wa Kibrazil, Andrey Santos.
Man United imeachana na...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NDANI ya muda wake mfupi ndani ya soka la Tanzania, Steve Barker 'amesepa na kijiji', akithibitisha kuwa ni kocha wa daraja...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF) hivi karibuni lilianika kalenda ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa msimu ujao wa 2026-27, ukiwa...
BOSTON, Marekani
NI timu nne pekee zilizobaki katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026). Kwamba timu 44 zimeshaaga mashindano hayo ya Shirikisho...
BOSTON, Marekani
KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Hispania katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia kilihitimisha safari ya 'kizazi cha dhahabu' cha...