Ads: info@gazetini.co.tz |
23.4 C
Dar es Salaam

Michezo

Yanga yaifumua TRA, Okello ana balaa zito

Na Hassan Mwasha KATIKA mwendelezo wa kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya TRA...

Cape Verde wanasa kwa Argentina; watatoboa kweli?

MEXICO CITY, Mexico BAADA ya kuvuka hatua ya makundi, sasa timu ya soka ya Taifa ya Cape Verde imeangukia kwa mabingwa watetezi wa msimu huu...

32 Bora: Morocco kuendeleza ‘uteja’ kwa Uholanzi?

TORONTO, Canada NI mtihani kwa timu zote mbili katika kuwania tiketi ya kwenda hatua inayofuata ya 16 Bora ya msimu huu wa fainali za Kombe...

32 Bora: Paraguay siyo kinyonge kwa Ujerumani

MEXICO CITY, Ujerumani ZITAKUTANA katika mchezo wa hatua ya 32 Bora msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Mechi itachezwa keshokutwa (Juni 29, 2026). Licha...

Japan kuishangaza Brazil hatua ya 32 Bora?

HOUSTON, Marekani MECHI ya kukata na shoka ya kusaka tiketi ya kutinga 16 Bora itakayochezwa Juni 29, 2026 kwenye Uwanja wa NRG mjini Houston, Marekani. Huo...

Mastaa wa muziki, filamu walivyoibukia Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani KWA miaka mingi, soka limekuwa likiwaunganisha si tu wachezaji, bali pia mastaa wa tasnia ya burudani, kama ilivyoshuhudiwa wakati wa ufunguzi wa msimu...

Hii ndiyo Bosnia ya Edin Dzeko inayotamba Kombe la Dunia

TORONTO, Canada BOSNIA and Herzegovina ni miongoni mwa timu zilizokata tiketi ya kucheza hatua inayofuata ya 32 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za...

Mastaa hawa wameyakataa mataifa waliyozaliwa Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia idadi kubwa zaidi kuwahi kutokea ya wachezaji walioyapa kisogo mataifa waliyozaliwa. Takwimu zinaonesha...

Klopp: Hakuna kama Ronaldo, Messi

MUNICH, Ujerumani KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, amewataja Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kuwa ndiyo wachezaji bora duniani kwa sasa. Klopp amesema siyo ishu...

Baba yake Haaland: Hakuna kama Guardiola

MANCHESTER, Uingereza BABA mzazi wa Erling Haaland, Alfie Haaland, amesema hakuna kocha wa kufikia daraja la Pep Guardiola. Alfie ametoa kauli hiyo baada ya Man City...

Shearer apanga kikosi cha ubingwa England

LONDON, Uingereza MKONGWE Alan Shearer ametaja 'first eleven' inayoweza kuipa ubingwa wa msimu wa Kombe la Dunia timu ya soka ya Taifa ya England. England chini...

Uholanzi kuivaa Morocco, Brazil mikononi mwa Japan

MEXICO CITY, Mexico KATIKA hatua ya 32 Bora ya msimu huu wa Kombe la Dunia, timu ya soka ya Taifa ya Uholanzi itakuwa na kibarua...

Recent articles