30.4 C
Dar es Salaam

Michezo

Mbappe achagua kocha mpya Madrid

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, havutiwi na tetesi za klabu hiyo kumtaka Jurgen Klopp, na badala yake anatamani Zinedine Zidane aajiriwe. Klopp amekuwa...

Watoto wang’ara mashindano ya kuogelea, Serikali yaahidi makubwa

Na Winfrida Mtoi ​MASHINDANO ya kuogelea kwa watoto ya ‘East Africa Development Swimming Gala’ yameanza kwa kishindo leo jijini Dar es Salaam, huku vipaji vilivyoonyeshwa...

Waziri Mkuu ahimiza ufungaji wa kamera  viwanjani kudhibiti ushirikina

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk.Mwigulu Nchemba, amehimiza ufungaji wa kamera nyingi katika viwanja vya michezo, ikiwamo uwanja Arusha ili kudhibiti vitendo vya ushirikina na...

Simba yapewa kina Chobwedo, Yanga maafande robo fainali shirikisho

Na Mwandishi Wetu DROO ya hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho, imefanyika leo Aprili 17, 2026, jijini Dar es Salaam, ambapo...

Kocha Bilo afariki dunia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MMILIKI wa Kituo cha Soka cha Bilo Jijini Mwanza, Kocha Athuman Bilal ambaye pia amewaki kuwa kocha wa timu mbalimbali nchini,...

Chipukizi wa kuogelea kushindana ‘ East Africa Development Swimming Gala’

Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya waogeleji 600 wanatarajiwa kushiriki katika mashindano ya kuogelea ya chipukizi kwa vijana wadogo ‘East Africa Development Swimming Gala’ yatakayoanza Aprili...

Simba yaipasua Fountain Gate

Na Mwandishi Wetu SIMBA imechukua alama zote tatu kwa Fountain Gate kufuatia ushindi wa 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa dimba la...

Simba yamtupia Sowah  U-20 kwa utovu wa nidhamu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Simba umeweka wazi hatua kali za kinidhamu zilizochukuliwa dhidi ya mshambuliaji wao, Jonathan Sowah, ikiwemo kuondolewa kwenye...

Mchezaji auawa na majambazi kwa risasi nchini Ghana

MCHEZAJI nchini Ghana, Dominic Frimpong, ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya jana Jumapili usiku  na majambazi wenye silaha kushambulia basi la timu yake ya...

Taliss IST yaendeleza ubabe Mashindano ya Taifa ya Kuogelea, nahodha afichua siri

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KLABU ya Taliss IST imezidi kujikita kileleni mwa mchezo wa kuogelea nchini baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Mashindano ya Taifa...

Rekodi zaendelea kuvunjwa Mashindano ya Taifa ya Kuogelea, Crissa Dillip ang’ara

Na Winfrida Mtoi, Gazetini IKIWA ni siku ya pili ya Mashindano ya Taifa ya mchezo wa kuogelea,   waogeleaji  wa klabu mbalimbali wameendelea kuchuana vikali kufatuta...

Minziro akabidhiwa Fountain Gate FC

Na Mwandishi Wetu KLABU ya Fountain Gate FC imemtangaza Fred Felix Minziro kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, akichukua nafasi ya Mohamed Laizer ambaye amefutwa...

Recent articles

spot_img