LONDON, Uingereza
NI nyota wawili pekee kutoka Afrika walioingia 'Top 30' ya kinyang'anyiro cha kuiwania tuzo ya mwaka huu ya Ballon d'Or kwa upande wa...
MANCHESTER, Uingereza
KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema kiwango kibovu kilichooneshwa na wachezaji wake kilichangia matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Everton...
MADRID, Hispania
MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, anaamini huu ni mwaka wake wa kuitwaa kwa mara ya kwanza tuzo maarufu ya Ballon d'Or.
Hafla ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SIMBA imeuanza vizuri msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuinyuka Mighty Wanderers bao 1-0 katika mchezo uliochezwa katika...
LONDON, Uingereza
KIUNGO mkongwe, Luka Modric, ataendelea kuitumikia timu yake ya Taifa ya Croatia, licha ya umri wake mkubwa wa miaka 41.
Chama cha Soka cha...
LONDON, Uingereza
UZALENDO uliwashinda mashabiki wa Fulham na kuamua kuwazomea wachezaji wao baada ya timu hiyo kufungwa mabao 3-2 na Crystal Palace jana Septemba 5,...
MUNICH, Ujerumani
KWA mara ya kwanza baada ya mechi 59, Bayern Munich wamelazimishwa kumaliza dakika 90 bila kupata bao.
Ni katika mchezo wa Bundesliga uliochezwa jana...
MADRID, Hispania
KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone, amesema wapinzani wao, Athletic Bilbao, walikuwa wazuri kwenye ulinzi na ndiyo maana ikawa ngumu kwa vijana wake...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, amesema kwa sasa wana kikosi chenye uwezo wa kushindana na Arsenal katika mbio za kuwania taji la...