26.6 C
Dar es Salaam

Michezo

Folden ajipange, apewa onyo kali

LONDON, Uingereza KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, amemuonya staa wake, Phil Foden, akimwambia hana uhakika wa kuitwa kwenye kikosi kitakachokwenda Kombe...

Arsenal sasa macho kwa Kofane

LONDON, Uingereza WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wameanza kuifukuzia saini ya mashambuliaji wa Bayer Leverkusen ya Bundesliga, Christian Kofane. Arsenal wako kileleni mwa msimamo wa Ligi...

Eritrea wana historia yao AFCON 2027

CAIRO, Misri BAADA ya miaka 19 kupita, timu ya soka ya taifa ya Eritrea imerejea katika hatua ya makundi ya kufuzu fainali zijazo za AFCON...

Italia ina nini? Yashindwa tena kufuzu Kombe la Dunia

MILAN, Italia MABINGWA mara nne wa Kombe la Dunia, timu ya taifa ya Italia, imeshindwa kufuzu fainali za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico. Hii...

Beki huyu kuziba pengo la Maguire

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imeanza kujipanga na maisha mapya bila mlinzi wake wa kati, Harry Maguire. Ripoti zinaeleza kuwa Man United imejitosa kuiwania saini...

England ya Tuchel yachafua rekodi

LONDON, Uingereza KWA mara ya kwanza katika historia, timu ya soka ya taifa ya England imepoteza mchezo mbele ya wapinzani kutoka Bara la Asia. Ni baada...

Maandalizi Ligi Kuu soka kwa watu wenye ulemavu yashika kasi, Unyanyembe waanzisha timu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKURUGENZI wa ufundi Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa Watu wenye Ulemavu (TAFF), Shaban Msangi ameitembelea timu mpya ya soka kwa...

Ripoti ya CAG yaibua mazito ujenzi wa uwanja wa AFCON Arusha

Na Mwandishi Wetu RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere imeanika mapungufu katika mchakato wa ununuzi na ujenzi wa...

Huyu ndiye Katibu Mkuu mpya CAF, aanza na rekodi

CAIRO, Misri SAMSON Adamu raia wa Nigeria ndiye aliyeteuliwa kukalia kwa muda kiti cha Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Uteuzi wake ndani ya...

United yamtaka Tonali, yampotezea Guimaraes

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imeelekeza nguvu zake kwa Sandro Tonali na kuachana na staa mwenzake wa Newcastle United, Bruno Guimaraes. Hata hivyo, kumshawishi Tonali...

Liverpool kung’oa straika Ureno

MERSEYSIDE, England KINARA wa upachikaji mabao wa Sporting Lisbon ya Ureno, Luis Suarez Charris, ameingia kwenye rada za vigogo wa Ligi Kuu ya England, Liverpool. Liverpool...

Lewandowski kukatwa mshahara Barcelona

CATALUNYA, Hispania MABOSI wa Barcelona wamempa sharti la kukubali kupunguziwa mshahara mshambuliaji wao raia wa Poland, Robert Lewandowski. Ofa waliyofika nayo mezani kwake ni ya mkataba...

Recent articles

spot_img