LONDON, Uingereza
KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, amemuonya staa wake, Phil Foden, akimwambia hana uhakika wa kuitwa kwenye kikosi kitakachokwenda Kombe...
LONDON, Uingereza
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wameanza kuifukuzia saini ya mashambuliaji wa Bayer Leverkusen ya Bundesliga, Christian Kofane.
Arsenal wako kileleni mwa msimamo wa Ligi...
MILAN, Italia
MABINGWA mara nne wa Kombe la Dunia, timu ya taifa ya Italia, imeshindwa kufuzu fainali za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico.
Hii...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imeanza kujipanga na maisha mapya bila mlinzi wake wa kati, Harry Maguire.
Ripoti zinaeleza kuwa Man United imejitosa kuiwania saini...
LONDON, Uingereza
KWA mara ya kwanza katika historia, timu ya soka ya taifa ya England imepoteza mchezo mbele ya wapinzani kutoka Bara la Asia.
Ni baada...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MKURUGENZI wa ufundi Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa Watu wenye Ulemavu (TAFF), Shaban Msangi ameitembelea timu mpya ya soka kwa...
Na Mwandishi Wetu
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere imeanika mapungufu katika mchakato wa ununuzi na ujenzi wa...
CAIRO, Misri
SAMSON Adamu raia wa Nigeria ndiye aliyeteuliwa kukalia kwa muda kiti cha Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF).
Uteuzi wake ndani ya...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imeelekeza nguvu zake kwa Sandro Tonali na kuachana na staa mwenzake wa Newcastle United, Bruno Guimaraes.
Hata hivyo, kumshawishi Tonali...
MERSEYSIDE, England
KINARA wa upachikaji mabao wa Sporting Lisbon ya Ureno, Luis Suarez Charris, ameingia kwenye rada za vigogo wa Ligi Kuu ya England, Liverpool.
Liverpool...
CATALUNYA, Hispania
MABOSI wa Barcelona wamempa sharti la kukubali kupunguziwa mshahara mshambuliaji wao raia wa Poland, Robert Lewandowski.
Ofa waliyofika nayo mezani kwake ni ya mkataba...