Ads: info@gazetini.co.tz |
25.3 C
Dar es Salaam

Michezo

Zidane amvuta Barthez, apewa ajira Ufaransa

PARIS, Ufaransa MLINDA mlango wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Fabien Barthez, ameajiriwa kuwa sehemu ya wasaidizi wa kocha mkuu wa...

PSG yazoa bil. 15/- kuifunga Villa

LONDON, Uingereza KWA mujibu wa Gazeti la Daily Mirror, PSG ya kocha Luis Enrique imejiondokea na kitita cha Pauni milioni 4.3 (Zaidi ya Sh bil....

Motsepe aibuka kumkingia kifua Infantino

CAIRO, Misri RAIS wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, amesema hakuna namna ya kumng'oa Gianni Infantino ndani ya FIFA zaidi ya kusubiri...

Ligi Kuu ya Uturuki msimu ujao ni balaa zito

INSTANBUL, Uturuki KAMA hujawahi kufuatilia Ligi Kuu ya Uturuki, basi hebu jaribu kufanya hivyo msimu ujao (2026-27) kwani kuna uhondo wa 'kufa mtu' kutokana na...

Rekodi iliyoshindikana ulimwengu wa riadha

LONDON, Uingereza KWA miaka 43 sasa, rekodi ya dunia ya mbio ndefu za mita 800 kwa wanawake haijawahi kuvunjwa. Bado inashikiliwa na mwanariadha raia wa...

Simba hoi, Yanga ‘yapiga kwenye mshono’ ikibeba Ngao ya Jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini  WAKATI maumivu ya kupokonywa Selemani Mwalimu yakiwa hayajapoa, Yanga imeipiga tena Simba kwenye mshono kwa kuifunga bao 1-0 na kutwaa taji...

Ronaldo afunga ndoa na Georgina

LISBON, Ureno BAADA ya miaka 10 ya uchumba, hatimaye staa wa soka, Cristiano Ronaldo amefunga ndoa na mpenzi wake, Georgina Rodriguez. Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa...

Kifo cha baba kumstaafisha Messi?

MIAMI, Marekani  SUPASTAA wa soka, Lionel Messi, amesema kifo cha baba yake, Jorge, kinamfanya asijione akiendelea kucheza kwa muda mrefu. Jorge alifariki wiki iliyopita akiwa na...

Chelsea yanasa mwingine, yafikisha saba 

LONDON, Uingereza  KLABU ya Chelsea imemtambulisha beki wa pembeni kutoka Rayo Vallecano ya Hispania, Pep Chavarria. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 28 anakuwa mchezaji wa saba kusajiliwa na...

Ronald Araujo: Beki wa kadi nyekundu aliyetua Liver akitokea La Liga

MERSEYSIDE, Uingereza NYOTA huyo wa eneo la ulinzi ameondoka Barcelona na kujiunga na Liverpool majira haya ya kiangazi. Alikuwa nahodha wakati Wacatalunya hao wakitwaa ubingwa...

Madrid wao ni Zubimendi tu

LONDON, Uingereza KLABU ya Real Madrid haijaachana na mpango wake wa kumsajili kiungo wa Arsenal na timu ya soka ya Taifa ya Hispania, Martin Zubimendi. Licha...

Kane agombewa Barcelona, Tottenham

MUNICH, Ujerumani KLABU mbili za Barcelona na Tottenham zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya mpachikaji mabao hatari wa Bayern Munich, Harry Kane. Kane (33), anatarajiwa...

Recent articles