Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Kocha Senegal afungashiwa virago

DAKAR, Senegal KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Senegal, Pape Thiaw, ameondoshwa kwenye majukumu hayo zikiwa ni siku chache tu tangu walipotolewa Kombe...

Bellingham aandika historia akiichapa Norway

LONDON, Uingereza KIUNGO wa kimataifa wa England, Jude Bellingham, ameweka rekodi baada ya mabao yake mawili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Norway katika robo...

Kiti cha Nabi hakikaliki Yanga?

Na mwandishi wetu, Gazetini TANGU Nasreddine Nabi alipoondoka mwaka 2023, kibarua cha benchi la ufundi la Yanga kimekuwa kigumu kwa kila kocha aliyeingia klabuni hapo. Kwa...

Afrika ya vipaji v Ulaya ya mifumo

MIAMI, Marekani AFRIKA haina mwakilishi katika hatua ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Ni timu za Bara la Ulaya pekee zilizobaki. Hata...

Kisa Haaland, Beckham atua kambini England

MIAMI, Marekani KUELEKEA robo fainali yao ya kesho dhidi ya Norway ya Erling Haaland, kambi ya timu ya soka ya Taifa ya England imetembelewa na...

Haya sasa! Kocha mpya Yanga kupita njia za Guardiola, Klopp, Arteta

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, Yanga, wamempa kazi raia huyo wa Afrika Kusini kuwa kocha wao mpya. Taarifa...

Winga wa Ubelgiji aisikiliza Arsenal

LONDON, Uingereza KIUNGO wa pembeni wa Club Brugge ya Ubelgiji, Christos Tzolis, anataka kujiunga na Arsenal kupitia usajili wa majira haya ya kiangazi. Mwandishi wa habari...

Hispania, Ufaransa kuvaana nusu fainali

BOSTON, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Hispania imeifuata Ufaransa katika hatua inayofuata ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Hispania wamevuka...

Tanzania haijashuka, haijapanda viwango FIFA

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imebaki katika nafasi yake ya 112 kwenye viwango vipya vya ubora wa soka duniani vya Shirikisho la Soka la Kimataifa...

Mastaa wa soka na ‘ulevi’ wa mbio za magari

LONDON, Uingereza KWA miaka mingi, wachezaji wa kandanda wamekuwa na ukaribu mkubwa na mchezo wa mashindano ya mbio za magari. Mbali na mambo mengine, mara kadhaa...

Maresca atua na watu saba Man City

MANCHESTER, Uingereza KOCHA mpya wa Manchester City, Enzo Maresca, atatua na watu wapya saba kwenye benchi la ufundi la timu hiyo. Maresca ameajiriwa Etihad na kusaini...

Refa huyu alikataliwa na Wafaransa

BOSTON, Marekani KATIKA mchezo wa robo fainali uliozikutanisha Ufaransa na Morocco, Facundo Tello raia wa Argentina ndiye aliyekuwa mwamuzi wa kati. Sasa, weka kando 'ishu' ya...

Recent articles