Na Mwandishi Wetu, Gazetini
KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi ili kuwachukulia hatua za kisheria wanachama na mashabiki wa klabu hiyo waliohusika...
MADRID, Hispania
BAADA ya kumfunga mkongwe Nikovac Djokovic, Carlos Alcaraz ameandika historia mpya katika mchezo wa tenesi duniani.
Alcaraz raia wa Hispania, alimtandika Djokovic na kutwaa...
LONDON, Uingereza
NI rasmi sasa Derek Chisora na Deontay Wilder watavaana, huku pambano hilo la ngumi za uzito wa juu duniani likitarajiwa kupigwa Aprili, 2026...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema umesikitishwa na kitendo cha vurugu alichofanyiwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu na mashabiki...
Na mwandishi wetu, Gazetini
LICHA ya kuongoza kwa mabao 2-0, Simba imejikuta ikiambulia pointi moja baada ya kulazimishwa sare ya 2-2 na Esperance, mchezo uliochezwa...
LONDON, Uingereza
USAJILI dirisha dogo wa Januari, 2026, umefungwa kwa klabu za Ligi Kuu ya England (EPL). Je, klabu yako imefanya sokoni?
Arsenal
Walioingia: Hakuna
Waliotoka: Harrison Dudziak...
LONDON, Uingereza
USHINDI wa mabao 4-0 dhidi ya Leeds United umeifanya Arsenal kuifikia rekodi iliyodumu kwa miaka 26 katika michuano ya Ligi Kuu ya England...
MERSEYSIDE, England
NI pigo kwa Jack Grealish, ambapo mshambuliaji huyo wa Everton atalazimika kuwa nje ya uwanja kwa kipindi chote cha msimu huu.
Grealish anayecheza kwa...
CAIRO, Misri
KLABU ya Al Ahly imemtoza faini kiungo wake raia wa Misri, Emam Ashour, kwa kitendo chake cha kushindwa kusafiri na kikosi kitakachoivaa Yanga.
Timu...
CAIRO, Misri
SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF) limeziadhibu timu za taifa za Senegal na Morocco kwa vitendo vya utovu wa nidhamu vilivyooneshwa katika mechi...