Ads: info@gazetini.co.tz |
27.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Anthony Taylor amestaafu kwa heshima, alinusurika kichapo

LONDON, Uingereza BAADA ya miaka 20 ya kufanya kazi, akichezesha mechi 831, mwamuzi wa kati raia wa England, Anthony Taylor, alitangaza kustaafu hivi karibuni. Mechi yake...

Hii kiboko! Marais hawaendi uwanjani Argentina ikicheza

BUENOS AIRES, Argentina HIVI unafahamu kuwa marais wa Argentina wamekuwa makini kuhudhuria viwanjani na wengine hubaki nyumbani pindi timu yao ya soka ya Taifa inapocheza...

Arsenal yang’oa nahodha Madrid

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal imekamilisha usajili wa nahodha wa timu ya wanawake ya klabu ya Real Madrid, Misa Rodriguez. Nyota huyo mwenye umri wa miaka...

Staa mpya Chelsea apewa jezi ya Hazard

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI mpya wa Chelsea, Morgan Rogers, atavaa jezi namba 17 msimu ujao, ambayo iliwahi kuvaliwa na lejendari wa timu hiyo, Eden Hazard. Nyota huyo...

Zidane rasmi kocha mpya Ufaransa

PARIS, Ufaransa KOCHA wa zamani wa Real Madrid, Zinedine Zidane, amesaini mkataba wa kuliongoza benchi la ufundi la timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa. Zidane...

Dembele atabiriwa kuibeba Ballon d’Or

MUNICH, Ujerumani MKONGWE wa soka la Ujerumani, Lothar Matthaus, amemtabiria staa wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Ousmane Dembele, kutwaa tuzo ya mwaka...

Barca yanasa winga Ubelgiji

CATALUNYA, Hispania KLABU ya Barcelona imekamilisha usajili wa winga kutoka Club Brugge ya Ligi Kuu nchini Ubelgiji, Jesse Bisiwu. Aliyefichua kukamilika kwa dili hilo ni mwandishi...

Hispania ilivyojenga utawala wake soka la Ulaya

LONDON, Uingereza MIAKA 16 tangu ilipotwaa Kombe la Dunia, timu ya soka ya Taifa ya Hispania imerudisha ufalme wake baada ya kuwa mabingwa wa msimu...

Kwanini Chelsea imemsajili Morgan Rogers?

LONDON, Uingereza MAPEMA wiki hii, klabu ya Chelsea ilitumia kitita cha Pauni milioni 117 kuinasa saini ya mshambuliaji wa kimataifa England kutoka Aston Villa, Morgan...

Mjadala mzito timu 64 kushiriki Kombe la Dunia

NYON, Uswis MOJA ya alama za uongozi wa Gianni Infantino katika miaka yake 10 ndani ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) ni kuongeza timu...

Mambo 10 usiyoyajua kuhusu Kevin Keegan

LONDON, Uingereza HIVI karibuni, tasnia ya soka duniani ilishitushwa na kifo cha lejendari wa klabu za Liverpool na Newcastle United, Kevin Keegan. Amefariki akiwa na...

Mbappe mfungaji bora, aweka rekodi

MIAMI, Marekani STRAIKA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kyian Mbappe, ndiye aliyeibua na tuzo ya Mfungaji Bora wa msimu huu wa fainali...

Recent articles