RIYADH, Saudi Arabia
LICHA ya mkataba wake kumalizika mwaka 2027, huenda Cristiano Ronaldo akaondoka Al-Nassr mwishoni mwa msimu huu wa 2025-26.
Taarifa zilizopo zinadai kuwa nahodha...
Na Mwandishi Wetu
TIMU ya Coastal Union imetembeza kichapo cha mabao 4-1 kwa maafande wa Magereza Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Steve Barker ameweka wazi kuwa hakuna mechi rahisi ya Ligi Kuu, lakini wamejipanga kuhakikisha wanachukua...
LONDON, Uingereza
MCHEZO wa soka una historia kubwa ya kuwainua na kuwapa utajiri wachezaji wanaotoka katika familia za kimasikini.
Miongoni mwao ni mkongwe wa soka la...
LONDON, Uingereza
MAUZO ya jezi ni sehemu muhimu ya vyanzo vya mapato ya klabu za soka duniani kote, zikivuna mabilioni ya fedha kutokana na biashara...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema kuwa muda wowote, kocha Miguel Gamondi atasaini rasmi mkataba wa kuifundisha...
MADRID, Hispania
KWA mujibu wa kocha wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa, Kylian Mbappe ana mchango mkubwa kikosini, kama alivyokuwa Cristiano Ronaldo miaka kadhaa iliyopita.
Alberoa ametoa...
LONDON, Uingereza
HABARI mbaya kwa mashabiki wa Arsenal ni kwamba kiungo wao raia wa Hispania, Mikel Merino, hatarejea dimbani hadi msimu ujao.
Moreno amekosekana katika mechi...
MERSEYSIDE, Uingereza
NYOTA mpya wa Liverpool, Jeremy Jacquet, amepata majeraha ya bega akiwa uwanjani kuitumikia Rennes ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1).
Mfaransa huyo mwenye...
PARIS, Ufaransa
KOCHA wa PSG raia wa Hispania, Luis Enrique, havutiwi na mpango wa kuinoa Manchester United, licha ya kuhusishwa na klabu hiyo kwa ajili...
MADRID, Hispania
KLABU ya Real Madrid imerejea kwa kasi katika mpango wake wa kumfukuzia kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania, Rodri...
LONDON, Uingereza
CHELSEA iko njiani kuachana na beki wake wa kati raia wa Ufaransa, Benoit Badiashile. Ataondoka klabuni hapo majira ya kiangazi ya mwishoni mwa...