Na mwandishi wetu, GazetiniMATUKIO ya vyombo vya dola kuvibana mbavu vyombo vya habari yameshika kasi nchini Ethiopia kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni, mwakani.Wengi...
Na Patricia Kimelemeta, Gazetini
DIRA ya Maendeleo ya Mwaka 2020-2050 imeitaka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuimarisha uchumi wa kati wa kiwango cha juu sambamba na...
Na mwandishi wetu, GazetiniSERIKALI ya Afrika Kusini imekanusha kile kilichoelezwa na ripoti ya hivi karibuni ya Marekani, ikidai kuwapo kwa ukiukwaji mkubwa wa haki...
Na mwandishi wetu, GazetiniHATUA ya wawakilishi wa M23 kutohudhuria mkutano wa kusaini mkataba wa amani kati yake na Serikali umeibua hofu, wengi wakiamini bado...
LONDON, UingerezaNI takribani wiki mbili tu zimebaki kabla ya kufungwa kwa dirisha kubwa la usajili la majira haya ya kiangazi.Hata hivyo, kwa baadhi ya...
LONDON, UingerezaMSHAMBULIAJI wa Liverpool raia wa Misri, Mohamed Salah, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chama cha Wanasoka wa Kulipwa (PFA).Salah (33),...
BANGKOK, ThailandMACHAFUKO yanayoendelea katika mpaka wake na Cambodia yameanza kulipa nafasi kubwa jeshi la Thailand kuipindua Serikali iliyoko madarakani katika Taifa hilo la barani...
MUNICH, UjerumaniUSAJILI wa majira haya ya kiangazi umeshuhudia baadhi ya wachezaji wenye majina makubwa wakiipa kisogo Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga).Florian Wirtz aliondoka Bayern...
Na mwandishi wetu, GazetiniMIEZI ya hivi karibuni imeshuhudia ajali za ndege zikitisa na kuacha majonzi barani Afrika, ikitosha kutolewa mfano katika mataifa ya Ghana...
LILONGWE, MalawiKWA mara ya kwanza katika historia ya siasa za Malawi, wagombea wengi wa kiti cha urais wamewateua wanawake katika nafasi ya mgombea mweza...