27.2 C
Dar es Salaam

Makala

Vigogo EPL ‘watatoboa’ msimu huu Ligi ya Mabingwa?

LONDON, UingerezaKWA mara ya kwanza katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, timu sita za Ligi Kuu ya England (EPL) zitashiriki msimu huu wa...

Raia kumiliki silaha kunavyoitesa Marekani

Na mwandishi wetu, GazetiniKATIKA kila raia 100 wa Marekani, kuna bastola 120. Hiyo ni kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya SAS ya nchini...

Ethiopia na hali mbaya ya vyombo vya habari 

Na mwandishi wetu, GazetiniMATUKIO ya vyombo vya dola kuvibana mbavu vyombo vya habari yameshika kasi nchini Ethiopia kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni, mwakani.Wengi...

Dira ya Maendeleo 2050 yasisitiza malezi bora ya watoto nchini

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini DIRA ya Maendeleo ya Mwaka 2020-2050 imeitaka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuimarisha uchumi wa kati wa kiwango cha juu sambamba na...

Nyuma ya pazia Marekani ‘kuichukia’ Afrika Kusini

Na mwandishi wetu, GazetiniSERIKALI ya Afrika Kusini imekanusha kile kilichoelezwa na ripoti ya hivi karibuni ya Marekani, ikidai kuwapo kwa ukiukwaji mkubwa wa haki...

M23 kugomea mkataba wa amani; DRC hatarini zaidi?

Na mwandishi wetu, GazetiniHATUA ya wawakilishi wa M23 kutohudhuria mkutano wa kusaini mkataba wa amani kati yake na Serikali umeibua hofu, wengi wakiamini bado...

Mastaa hawa hawauziki soko la usajili Ulaya

LONDON, UingerezaNI takribani wiki mbili tu zimebaki kabla ya kufungwa kwa dirisha kubwa la usajili la majira haya ya kiangazi.Hata hivyo, kwa baadhi ya...

Salah aweka rekodi akibeba tuzo ya tatu PFA

LONDON, UingerezaMSHAMBULIAJI wa Liverpool raia wa Misri, Mohamed Salah, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chama cha Wanasoka wa Kulipwa (PFA).Salah (33),...

Thailand mbioni mapinduzi ya kijeshi?

BANGKOK, ThailandMACHAFUKO yanayoendelea katika mpaka wake na Cambodia yameanza kulipa nafasi kubwa jeshi la Thailand kuipindua Serikali iliyoko madarakani katika Taifa hilo la barani...

Bundesliga nyuma ya EPL, La Liga

MUNICH, UjerumaniUSAJILI wa majira haya ya kiangazi umeshuhudia baadhi ya wachezaji wenye majina makubwa wakiipa kisogo Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga).Florian Wirtz aliondoka Bayern...

Nini chanzo ajali za ndege Afrika?

Na mwandishi wetu, GazetiniMIEZI ya hivi karibuni imeshuhudia ajali za ndege zikitisa na kuacha majonzi barani Afrika, ikitosha kutolewa mfano katika mataifa ya Ghana...

Nguvu ya wanawake Uchaguzi Mkuu Malawi

LILONGWE, MalawiKWA mara ya kwanza katika historia ya siasa za Malawi, wagombea wengi wa kiti cha urais wamewateua wanawake katika nafasi ya mgombea mweza...

Recent articles

spot_img