DARFUR, SudanWATU takribani 300,000 wanakabiliwa na ukosefu wa chakula ukiwa ni mwaka mmoja tu wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyoendelea nchini Sudan. Hali...
LAGOS, NigeriaKATIKA baadhi ya maeneo ya Kaskazini mwa Nigeria, raia wanalazimika kuwalipa fedha waasi ili tu waishi kwa amani. Hilo limeshuhudiwa katika Kijiji cha...
JERUSALEM, PalestinaSIKU chache zilizopita, tukio la mauaji ya waandishi wa habari watano huko Gaza lilitikisa ulimwengu, huku Israel ikifahamika kuwa ndiyo iliyohusika kupitia mashambulizi...
LOS ANGELES, MarekaniUTAMADUNI wa kucheza kamari umeonekana kukita mizizi kwa vijana wengi duniani, ingawa sasa utafiti umebaini kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya tabia...
LOS ANGELES, MarekaniKUEPUKA ulaji wa nyama na badala yake kutumia mboga za majani kutakuepusha na ugonjwa wa saratani kwa asilimia 25, utafiti unaeleza.Tafiti nyingi...
LONDON, EnglandMSIMU mpya wa uhondo wa mechi za Ligi Kuu ya England (EPL) ulianza jana. Kama ilivyo kawaida, wapo wachezaji wanaopewa nafasi kubwa ya...
LONDON, EnglandMECHI kubwa ya kwanza msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), ambapo Jumapili hii Manchester United watakuwa nyumbani Old Trafford kuwakaribisha Washika...
BAMAKO, Mali
HALI ya taharuki imeibuka nchini Mali baada ya wanajeshi takarbani 50 kushikiliwa kwa madai ya kusuka mpango wa kuipindua Serikali inayoliongoza Taifa hilo...
Na Jonathan Benedict, Gazetini
Idadi inayoongezeka ya viongozi duniani sasa wanazingatia ujuzi wa kutumia Akili Unde au bandia (AI) kama sharti lisiloweza kupuuzwa wakati wa...
Na mwandishi wetu, GazetiniKWA wiki chache za hivi karibuni, medani ya siasa barani Afrika imeshuhudia purukushani wanazopitia wanasiasa wa upinzani katika mataifa ya Ivory...