28.2 C
Dar es Salaam

Makala

Nini kifanyike kuiokoa Sudan?

DARFUR, SudanWATU takribani 300,000 wanakabiliwa na ukosefu wa chakula ukiwa ni mwaka mmoja tu wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyoendelea nchini Sudan. Hali...

Nigeria na janga la hali ya usalama

LAGOS, NigeriaKATIKA baadhi ya maeneo ya Kaskazini mwa Nigeria, raia wanalazimika kuwalipa fedha waasi ili tu waishi kwa amani. Hilo limeshuhudiwa katika Kijiji cha...

Huyu ndiye mwandishi aliyeuawa, aliyeacha simanzi Gaza

JERUSALEM, PalestinaSIKU chache zilizopita, tukio la mauaji ya waandishi wa habari watano huko Gaza lilitikisa ulimwengu, huku Israel ikifahamika kuwa ndiyo iliyohusika kupitia mashambulizi...

Utafiti: Kamari husababisha changamoto ya afya ya akili

LOS ANGELES, MarekaniUTAMADUNI wa kucheza kamari umeonekana kukita mizizi kwa vijana wengi duniani, ingawa sasa utafiti umebaini kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya tabia...

Utafiti: Matumizi ya feni chanzo ugonjwa wa moyo

LOS ANGELES, MarekaniLICHA ya umuhimu wake, hasa kwa maeneo yenye hali ya hewa ya joto, matumizi ya feni yanaweza kuwa na madhara kwa afya...

Utafiti: Mboga za majani kinga dhidi ya saratani

LOS ANGELES, MarekaniKUEPUKA ulaji wa nyama na badala yake kutumia mboga za majani kutakuepusha na ugonjwa wa saratani kwa asilimia 25, utafiti unaeleza.Tafiti nyingi...

Nyota hawa watashangaza wengi msimu huu EPL

LONDON, EnglandMSIMU mpya wa uhondo wa mechi za Ligi Kuu ya England (EPL) ulianza jana. Kama ilivyo kawaida, wapo wachezaji wanaopewa nafasi kubwa ya...

United, Arsenal moto utawaka wikiendi hii

LONDON, EnglandMECHI kubwa ya kwanza msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), ambapo Jumapili hii Manchester United watakuwa nyumbani Old Trafford kuwakaribisha Washika...

Jeshi Mali na jaribio la kupindua Serikali

BAMAKO, Mali HALI ya taharuki imeibuka nchini Mali baada ya wanajeshi takarbani 50 kushikiliwa kwa madai ya kusuka mpango wa kuipindua Serikali inayoliongoza Taifa hilo...

Chart| Ujuzi wa AI wazidi kuwa kigezo kwenye ajira duniani

Na Jonathan Benedict, Gazetini Idadi inayoongezeka ya viongozi duniani sasa wanazingatia ujuzi wa kutumia Akili Unde au bandia (AI) kama sharti lisiloweza kupuuzwa wakati wa...

Mtifuano kati ya Serikali na upinzani Ivory Coast, Uganda, Chad

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA wiki chache za hivi karibuni, medani ya siasa barani Afrika imeshuhudia purukushani wanazopitia wanasiasa wa upinzani katika mataifa ya Ivory...

Madrid, Barca ni patashika msimu ujao La Liga

MADRID, HispaniaMSIMU ujao wa La Liga unaotarajiwa kuanza Agosti 15, mwaka huu, ni wa kwanza kwa Xabi Alonso akiwa kocha wa Real Madrid na...

Recent articles

spot_img