Ads: info@gazetini.co.tz |
25.3 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Simba yaifyekelea mbali Singida Black Stars

Na mwandishi wetu, Gazetini SIMBA imeendeleza wimbi la ushindi katika mechi yake ya tatu msimu huu wa Ligi Kuu Bara baada ya kuifunga Singida Black...

Samia azindua JNHPP, asema si ‘White Elephant’, una manufaa

Na Faraja Mulungu Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) si...

Lissu awaita Rais Samia, Mpango mahakamani

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amewataja Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais Mstaafu,...

Lissu akutwa na kesi ya kujibu

Na mwandishi wetu, Gazetini MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imesema Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu,...

Yanga mwendo mdundo, yaikaanga Coastal Union

Na mwandishi wetu, Gazetini MABINGWA watetezi msimu huu wa Ligi Kuu Bara, Yanga, wameshinda mechi yao ya pili kwa kuifunga Coastal Union mabao 4-1. Matokeo hayo...

Uratibu wa maafa sasa kidijitali zaidi, Serikali yawaita wadau

Na Hassan Mwasha, Gazetini AGOSTI 19 ya kila mwaka, Tanzania, kama zilivyo nchi zingine duniani, huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Misaada ya Kibinadamu. Kwa kuyataja...

PSSSF yawaandaa waandishi wa habari kuijenga jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu masuala ya hifadhi...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Huduma

Na mwandishi wetu, Gazetini SEKTA hii itachukua nafasi muhimu katika kuendesha maendeleo ya Tanzania, hususan katika maeneo ya biashara, huduma za ukarimu, na huduma zingine...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Fedha

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA zilivyo zingine, sekta hii nayo itakuwa kichocheo muhimu cha mageuzi ya kiuchumi ifikapo mwaka 2050. Kwanini? Mahitaji ya huduma za kifedha,...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Michezo na Ubunifu

Na mwandishi wetu, Gazetini SEKTA hizo zina uwezo mkubwa ambao haujatumiwa kikamilifu katika kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Sekta hizi zinatoa fursa muhimu kwa...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Uchumi wa Buluu

Na mwandishi wetu, Gazetini SEKTA ya Uchumi wa Buluu unaozingatia matumizi endelevu ya rasilimali za bahari na maji baridi, utakuwa na mchango mkubwa katika kuleta...

Mikakati, udhibiti wa dawa za kulevya nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini UDHIBITI wa tatizo la dawa za kulevya hufuata Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka...

Recent articles