Ads: info@gazetini.co.tz |
27 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Simba yabeba FA, yamaliza ukame wa miaka minne

Na Hassan Mwasha, Gazetini TUMERUDI! Simba imemaliza ukame wa miaka minne ya kupishana na taji la FA baada ya kulibeba msimu huu wa 2025-26 kwa...

JET: Asasi za kiraia ni nguzo ya kupambana na jangwa

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), John Chikomo, amesema asasi za kiraia zina nafasi muhimu...

Waziri Mkuu: Sheria ya kutaifisha mifugo itafutwa Agosti

Na Malima Lubasha, Serengeti WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imeanza mchakato wa kufuta sheria inayoruhusu kutaifishwa kwa mifugo inayokamatwa ndani ya maeneo ya...

Jaji Mkuu: Kazi tunazofanya hazipaswi kuhatarisha maisha

Na mwandishi wetu, Gazetini Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi...

Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya kuitangaza Tanzania Duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dk. Jim Yonazi, amesema maandalizi ya Michuano ya Kombe...

Unamsaidiaje mtoto wako kuchagua tahasusi Kidato cha Tano?

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya...

Kuziona Yanga, Azam buku tano tu Zanzibar

Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA imetangaza viingilio vya uwanjani katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, huku bei ya chini ikiwa Sh...

Watoto wa mitaani, ‘mateja’, machangudoa; mfupa uliozishinda mamlaka?

Na Hassan Mwasha, Gazetini UKIKATIZA mitaa miwili hadi mitatu, hasa katika majiji makubwa kama ilivyo kwa hapa Dar es Salaam, ni jambo lisilowezekana kukutana na...

Kamanda wa polisi Mkoa wa Tabora afariki dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa...

Ibenge aficha silaha za kuibana Yanga

Na mwandishi wetu, Gazetini KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, amegoma kuanika mbinu za kiufundi atakazozitumia katika mchezo wao dhidi ya Yanga. Timu hizo zitakutana kesho...

Serikali yawekeza Sh Bilioni 10.5 kuimarisha umeme wilaya tano

Na mwandishi wetu, Gazetini WANANCHI wa Wilaya za Gairo, Mpwapwa, Kongwa, Chamwino na Kiteto wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme wa uhakika zaidi kufuatia kukamilika...

Nani anayezalisha ‘wanyonge’ wanaomsumbua Waziri Mkuu?

Na Hassan Mwasha, Gazetini NIMEKUWA nikifuatilia kwa karibu ziara za Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....

Recent articles