Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Sura 8 tofauti vita ya Yanga, Wabotswana

Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA watashuka dimbani katika ardhi ya ugenini mjini Gaborone, Botswana, kesho Septemba 5, 2026, kwa mchezo wa hatua ya awali ya...

Simba, Yanga ‘afe kipa, afe beki’ wikiendi hii CAF

Na mwandishi wetu, Gazetini MSIMU huu wa 2026-27 wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika utaanza wikiendi hii, Septemba 4-6, 2026, ambapo zitachezwa mechi za...

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa...

Ngalula, Mahindra wafungua fursa mpya za teknolojia kwa wakulima Tanzania

MUMBAI, India Rais wa Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Bravo Group Tanzania, Angelina Ngalula, amesema mazungumzo yake na uongozi...

Malisa akamatwa Namanga, hajulikani alipo-Wakili

Na mwandshi wetu, Gazetini WAKILI Dickson Matata amedai kuwa mwanaharakati mtanzania Malisa GJ amekamatwa baada ya kuwasili katika mpaka wa Namanga akitokea Kenya, huku hadi...

Gari la watalii latumbukia mtoni Serengeti, wageni watoka salama

Na mwandishi wetu, Gazetini GARI la watalii limetumbukia mtoni katika eneo la Kogatende, Kivuko cha Nyumbu Namba Moja, ndani ya Hifadhi ya Taifa Serengeti, huku...

Aziz Ki, Mobetto kama mastaa hawa tu

Na Hassan Mwasha, Gazetini MOJA ya ‘kapo’ zenye nguvu na ushawishi mkubwa mitandaoni ni hii ya kiungo wa Yanga raia wa Burkina Faso, Stephanie Aziz...

Ndejembi aapishwa, Rais Samia ampa jukumu zito

Na Faraja Mulungu, Gazetini DEOGRATIUS John Ndejembi ameanza rasmi majukumu yake mapya ya kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya...

‘Uchawa’, fitina vyatajwa Dk. Nchimbi kujiuzulu, kufutwa CCM

Na Hassan Mwasha, Gazetini HATUA ya Dk. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, na kisha kuvulishwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imemuibua...

Safari ya Ndejembi kurithi mikoba ya Dk. Nchimbi

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE kiatu cha Dk. Emmanuel Nchimbi katika nafasi ya Makamu wa Rais kimevaliwa na Deogratius John Ndejembi. Ni uamuzi uliotangazwa jana...

Ndejembi apitishwa na CCM kuwa Makamu wa Rais

Na Faraja Mulungu Gazetini HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chini ya Mwenyekiti wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...

DK. Nchimbi afutwa uanachama CCM

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Asharose Migiro, amesema Halmashauri Kuu ya CCM imeamua kumfukuza uanachama aliyekuwa Makamu wa...

Recent articles