Ads: info@gazetini.co.tz |
25.3 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Tanesco inavyorahisisha kasi ya nishati safi ya kupikia

Na Hassan Mwasha, Gazetini ZIPO sababu nyingi za kukufanya uchukue hatua sasa ya kuachana kabisa na mkaa au kuni na kuhamia nishati safi ya kupikia...

Simba yaijibu Yanga, ‘yaitafuna’ Kagera Sugar

Na mwandishi wetu, Gazetini BAADA ya Yanga kuanza kwa ushindi msimu huu wa Ligi Kuu Bara (2026-27), Simba nayo imejibu mapigo kwa kuitandika Kagera Sugar...

Waziri Kabudi: Serikali itaendelea kuthamini mchango wa Lukuvi

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, amesema Serikali itaendelea kuheshimu...

Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuiongeza wataalam OSHA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali...

Prof. Kabudi aongoza ibada ya kumaliza msiba wa Lukuvi

WAZIRIi wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi, ameongoza viongozi mbalimbali katika Ibada ya Misa Takatifu...

Tanzania yavutia Sh trilioni 9 za uwekezaji madini ndani ya miaka minne

Na mwandishi wetu, Gazetini SEKTA ya Madini nchini Tanzania imevutia uwekezaji wenye thamani ya Sh trilioni 9 ndani ya kipindi cha miaka minne, hatua ambayo...

Dk. Samia kuzindua JNHPP Agosti 22, mchango wake wafikia 44.9% gridi ya taifa

Na Mwandishi wetu, Gazetini RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) Agosti 22, 2026, katika eneo...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Madini

Na mwandishi wetu, Gazetini NI moja ya sekta muhimu yenye fursa kubwa ya kuchangia maendeleo ya nchi. Hii inatokana na utajiri wa rasilimali za madini,...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Ujenzi na milki

Na mwandishi wetu, Gazetini SEKTA hizi zitakuwa kiini cha ukuaji wa miji ya Tanzania, zikikidhi mahitaji yanayoongezeka ya makazi, miundombinu na huduma za umma, huku...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Uzalishaji viwandani

Na mwandishi wetu, Gazetini KUTEGEMEA kilimo pekee kwa muda mrefu ni changamoto kwa kuwa mabadiliko ya tabianchi, kuyumba kwa bei, misukosuko ya masoko duniani kunaweza...

Usiyoyajua kuhusu Trey Songz aliyetua Bongo

Na mwandishi wetu, Gazetini SUPASTAA wa muziki wa R&B nchini Marekani, Trey Songz, alikuwa katika Viwanja vya Posta, Kijitonyama jijini Dar es Salaam jana Agosti...

Tabu iko pale pale, Yanga kumtambulisha Aziz Ki kesho

Na mwandishi wetu, Gazetini ANAREJEA! Hatimaye klabu ya Yanga inatarajiwa kumtambulisha kiungo raia wa Burkina Faso, Stephanie Azizi Ki, ifikapo kesho Agosti 15, 2026. Kwa miezi...

Recent articles