Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Tume yaundwa kuchunguza ajali ya moto

VICTORIA, Hong Kong KIONGOZI wa Hong Kong, John Lee, ameunda Tume ya kuchunguza chanzo cha ajali ya moto iliyosababisha vifo vya watu takribani 151. Jumatano...

Trump amtoa gerezani rais aliyehukumiwa miaka 45

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernandez, ametoka gerezani kwa msamaha wa Rais wa Marekani, Donald Trump. Orlando Hernandez alikuwa akitumikia...

Mgonjwa adaiwa kubakwa na tabibu, watatu wasimamishwa kazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WATUMISHI watatu wa kada ya afya, akiwemo Mganga Mkuu wa Wilaya ya Urambo, wamesimamishwa kazi kufuatia sakata la mgonjwa kudaiwa kubakwa...

Watu 20 watekwa Nigeria, wamo mchungaji na bibi harusi

ABUJA, Nigeria Watu wenye silaha wamewateka nyara takriban watu 20, wakiwemo mchungaji wa kanisa na bibi harusi, katika mashambulizi mawili tofauti yaliyotokea nchini Nigeria katika...

Mtaalamu: Saidieni jamii kutambua manufaa ya bahari

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAANDISHI wa habari nchini wameaswa kuwa mstari wa mbele katika kusaidia jamii, hususan ile inayoishi kandokando ya ukanda wa pwani, kutambua...

Kenya yaongoza nguo za mitumba Afrika

Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI wa Taasisi ya Teknolojia ya Massachusetts (MIT) umebaini kuwa Kenya kwa sasa ndilo taifa linaloagiza kwa kiasi kikubwa zaidi nguo...

Mama jela maisha kwa kuua, kuficha miili ya watoto

WELLINGTON, New ZealandMWANAMKE mmoja nchini New Zealand amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya kuua watoto wake wawili,...

Imani za kishirikina na matumizi ya viungo vya binadamu

Na mwandishi wetu, GazetiniIKO hivi; kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2022 ya Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Taifa la Siera...

Wanafunzi 50 wawatoroka waasi Nigeria

LAGOS, NigeriaTUKIO la kikundi cha waasi nchini Nigeria kuvamia moja ya shule na kuteka wanafunzi 315 limechukua sura mpya.Wanafunzi hao walivamiwa Ijumaa ya wiki...

Waasi wavamia shule, wateka watu 300

LAGOS, NigeriaWATU wenye silaha waliodhaniwa kuwa ni miongoni mwa vikundi vya waasi wameteka watu 300, wakiwamo wanafunzi, baada ya kuvamia shule ya Kikatoliki.Idadi hiyo...

Mafuriko yaua watu 90

HANOI, VietnamWATU takribani 90 wamepoteza maisha na wengine 12 hawajulikana walipo kutokana na mvua kubwa iliyosababisha mafuriko nchini Vietnam.Kwa mujibu wa taarifa ya Serikali,...

WHO: Dunia imeshindwa ukomesha ukatili dhidi ya wanawake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) likishirikiana na wadau wa Umoja wa Mataifa limetoa ripoti muhimu leo jijini Geneva, Uswisi, ikibainisha kuwa...

Recent articles