NEY YORK, MarekaniRIPOTI mpya ya Shirika la Afya ya Umoja wa Mataifa (WHO) imeeleza kuwa kati ya wanawake watatu, basi mmoja atakuwa amewahi kufanyiwa...
Mwandishi Wetu, Gazetini
BAADA ya miaka miwili ya kusubiri kwa maumivu na wasiwasi, hatimaye mabaki ya mwili wa kijana Mtanzania Joshua Mollel (21) aliyedaiwa kuuawa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari kali kuhusu kuongezeka kwa usugu wa bakteria wanaosababisha kisonono dhidi ya dawa muhimu zinazotumika...
Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI mpya umeitaja Afrika Kusini kuwa ndiyo nchi ambayo wananchi wake wanatumia muda mwingi mitandaoni.Ripoti ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NI kwa mujibu wa utafiti uliofanywa mwaka 2022 na kuchapishwa mwaka 2024, ukionesha kuwa Denmark, Norway, Finland, Sweden na Iceland ndiyo...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba leo Novemba 15, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma...
Na mwandishi wetu, GazetiniJAPAN inatajwa na tafiti mbalimbali kuwa asilimia 40 ya raia wake hawako kwenye mahusiano ya kimapenzi. Kwamba si tu hawako kwenye...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Brigedia Jenerali Hosea Ndagala, amewataka washiriki...
Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI wa hivi karibuni uliofanywa katika mataifa 144 duniani umeitaja Singapore kuwa ndiyo kinara linapokuja suala la usalama.Singapore, Taifa la barani...
HARARE, Zimbabwe
IFAHAMIKE kuwa Zimbabwe ni miongoni mwa mataifa 10 duniani yaliyochaguliwa kupokea kinga ya ugonjwa wa Ukimwi ya Lenacapavir. Hata hivyo, wakati wataalamu wa...
Na mwandishi wetu, GazetiniUKIWA kwenye mizunguko yako, hasa nyakati za usiku, ghafla anakatiza paka mweusi mbele yako. Bila shaka, utaanza kuhisi hatari inayohusiana na...
Mwandishi Wetu, Gazetini
ZIKIWA zimesalia siku chache kabla ya Watanzania kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wito wa kudumisha amani na mshikamano umeendelea kutolewa...