KINSHASA, DRC
SHIRIKA la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limeeleza kuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inapitia kipindi kigumu zaidi kuwahi kutokea kutokana...
MINSK, Belarus
SERIKALI ya Belarus imetangaza kuwaachia huru wafungwa 123, akiwamo wanasiasa wa upinzani, ikiwa ni katika kutekeleza maagizo ya Marekani.
Marekani iliiwekea vikwazo vya kiuchumi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HIYO ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wataalamu wa afya wanaojihusisha na masuala ya homoni nchini Ujerumani.
Katika utafiti wao, wamebaini...
NAIROBI, Kenya
MWANAHARAKATI wa mazingira nchini Kenya, Truphena Muthoni, amevunja rekodi yake ya kukumbatia mti, safari hii akitumia siku tatu (saa 72) mfululizo.
Muthoni amefanya hivyo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
ULIMWENGUNI kote, serikali zinaendelea kujadili umri unaofaa kuruhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, huku baadhi zikianzisha vikwazo vipya vya umri ili...
TRIPOLI, Libya
MATUKIO ya wanawake watatu kuuawa yamezua mjadala mkubwa juu ya usalama jinsia hiyo nchini Libya.Staa wa mitandao ya kijamii, Khansa Al-Mujahid, aliuawa kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema Watanzania wameonesha uzalendo wa hali ya juu kwa kudumisha amani na utulivu, kufuatia...
TOKYO, Japan
WAPENZI wa filamu za mapigano walimfahamu zaidi kwa ukatili wake katika 'muvi' alizoigiza kama 'kubwa la maadui', ikiwamo 'Mortal Kombat'. Huyo ndiye anaitwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA ajali ya basi lililowaka moto, abiria 40 waliokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Malinyi, Morogoro, wamenusurika kupoteza maisha. Ni...
NAIROBI, Kenya
BUNGE la Kenya limewashutumu wanajeshi wa Uingereza likiwataja kufanya vitendo vya udhalilishaji walipokuwa kwenye mafunzo nchini humo. Kwa miaka mingi, vikosi vya jeshi...
KUALA LUMPUR, Malaysia
IKIWA ni miaka 14 imepita tangu ilipopotea, Serikali ya Malaysia itaanza tena operesheni ya kuisaka ndege yake aina ya Boeing 777. Kwa...
ISLAMABAD, Pakistan
KWA sasa, familia ya Imran Khan inahofia kuwa huenda Waziri Mkuu huyo wa zamani wa Pakistan amefariki akiwa gerezani. Khan alikuwa Waziri Mkuu...