25.1 C
Dar es Salaam

Jamii

Afrika ‘jalala’ la wahamiaji haramu kutoka Marekani?

Na mwandishi wetu, GazetiniUGANDA imeungana na Eswatini, Sudan Kusini na Rwanda kuingia mkataba wa kupokea wahamiaji haramu wasiotakiwa nchini Marekani.Kuwaondosha wahamiaji haramu ni moja...

Ethiopia na hali mbaya ya vyombo vya habari 

Na mwandishi wetu, GazetiniMATUKIO ya vyombo vya dola kuvibana mbavu vyombo vya habari yameshika kasi nchini Ethiopia kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni, mwakani.Wengi...

Dira ya Maendeleo 2050 yasisitiza malezi bora ya watoto nchini

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini DIRA ya Maendeleo ya Mwaka 2020-2050 imeitaka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuimarisha uchumi wa kati wa kiwango cha juu sambamba na...

Ajali ya gari yaua wahamiaji Afghanistan

KABUL, Afghanistan WAHAMIAJI 37, wakiwamo watoto 17, waliokuwa wakirejeshwa kutoka Iran wamefariki baada ya gari lao kupata ajali Magharibi mwa Afghanistan.Ofisi Habari wa Taliban, Ahmadullah...

Nini chanzo ajali za ndege Afrika?

Na mwandishi wetu, GazetiniMIEZI ya hivi karibuni imeshuhudia ajali za ndege zikitisa na kuacha majonzi barani Afrika, ikitosha kutolewa mfano katika mataifa ya Ghana...

Ahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa shambulio la aibu kwa mtoto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mahakama ya Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, Agosti 18, 2025 imetoa hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela kwa mtuhumiwa Idd...

Utafiti: Kamari husababisha changamoto ya afya ya akili

LOS ANGELES, MarekaniUTAMADUNI wa kucheza kamari umeonekana kukita mizizi kwa vijana wengi duniani, ingawa sasa utafiti umebaini kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya tabia...

Mwani: Urithi wa pwani wenye fursa kubwa kitaifa na kimataifa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwani ni zao la baharini lenye thamani kubwa duniani. Kwa miongo kadhaa, wakulima wa mwani hususan visiwani Zanzibar na mikoa ya...

Kipindupindu chaua 40 wiki moja Sudan

DARFUR, SudanUGONJWA wa kipindupindu umesababisha vifo vya watu 40 ndani ya wiki moja nchini Sudan, huku vita vinavyoendelea vikihusishwa na tatizo hilo.Vita inayoendelea kati...

Watu 360 waugua baada ya chakula cha bure

JAKARTA, IndonesiaWATU zaidi ya 360, wakiwamo wanafunzi, wameugua ghafla baada ya kupata chakula cha bure kinachotolewa shuleni mjini Sragen.Chakula hicho ni sehemu ya programu...

Wafanyakazi Shirika la Ndege Canada wagoma

TORONTO, CanadaWAFANYAKAZI wa Shirika la Ndege la Canada wameendelea na mgomo wakishinikiza ongezeko la mshahara.Kwa mujibu wa Shirika hilo, mgomo huo wa wafanyakazi, wakiwano...

Mafuriko yaua watu 200 Pakistan

ISLAMABAD, PakistanWATU takribani 200 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya mvua kubwa iliyosababisha mafuriko mjini Kashmir, Pakistan.Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, likiwamo Shirika la...

Recent articles

spot_img