Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – CHELSEA

LONDON, Uingereza MSIMU wa 2025-26 haukuwa mzuri kwao. Chelsea walimaliza mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England wakiwa nafasi ya 10 kwenye msimamo. Hawatoshiriki...

Hii ndiyo ICD, mashine ya moyo anayovaa Eriksen akiwa uwanjani

LONDON, Uingereza TANGU alipoanguka uwanjani wakati wa fainali za EURO 2020, straika wa timu ya Taifa ya Denmark, Christian Eriksen, amekuwa akivaa kifaa maalumu cha...

Wananchi wa Iran walia vita kupaisha bei ya vyakula

TEHRAN, Iran KUPANDA kwa gharama za maisha ni moja ya changamoto kubwa wanazopitia raia wa Iran kipindi hiki nchi yao ikiwa kwenye vita dhidi ya...

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima...

Amuua mama mkwe kwa kumpa mishikaki yenye sumu

JAKARTA, Indonesia MWANAUME mmoja nchini Indonesia ameshitakiwa kwa kosa la kumuua mama mzazi wa mke wake, ikielezwa kuwa alimpa mishikaki yenye sumu. Kwa mujibu wa taarifa...

Kijiji cha Rung’abure chatekeleza miradi ya zaidi ya Sh bilioni 1.2

Na Malima Lubasha, Serengeti KIJIJI cha Rung’abure kilichopo Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, kimetekeleza na kukamilisha miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya...

Wakulima waiomba Serikali kuwaingiza kwenye mafunzo ya hifadhi ya jamii

Na Seif Takaza, Singida WAKULIMA mkoani Singida wameiomba Serikali kuweka mfumo rasmi wa kuwaingiza kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ili waweze kunufaika na mafao...

Perez v Riquelme: Ni jeuri ya pesa, tambo za usajili mbio za urais Madrid

MADRID, Hispania WANACHAMA takribani 700,000 wa klabu ya Real Madrid watapiga kura leo Juni 7, 2026 kuchagua Rais atakayeongoza kwa miaka minne ijayo. Kwa sasa, vita...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: TUNISIA

TUNIS, Tunisia MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Vijana 100 wasonga mbele Vijana Uchumi Challenge 2026

Na Ramadhan Hassan, Dodoma KAMATI ya Kitaifa ya Shindano la Vijana Uchumi Challenge imetangaza rasmi majina ya vijana 100 bora waliofanikiwa kuingia hatua inayofuata ya...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: NEW ZEALAND

WELLINGTON, New Zealand MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea...

Scholes aitabiria majanga Arsenal msimu ujao

MANCHESTER, Uingereza MKONGWE wa Manchester United, Paul Scholes, amesema haioni Arsenal ikitetea ubingwa, na badala yake itamaliza msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL)...

Recent articles

spot_img