Ads: info@gazetini.co.tz |
24 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Reijnders; ‘Fundi’ mpya Etihad aliyeziba pengo la De Bryune

MANCHESTER, EnglandKUONDOKA kwa Kevin De Bryune kuliwaachia simanzi mashabiki wa Manchester City lakini ujio wa Tijjani Reijnders ni kama umeanza kuwasahaulisha kila kitu kuhusu...

Arsenal, Liverpool zapewa ubingwa msimu huu EPL

LONDON, EnglandHIYO ni kwa mujibu wa wakongwe wa Ligi Kuu ya England (EPL), Jamie Carragher na Gary Neville, ambao kwa sasa ni wachambuzi wa...

Mwani: Urithi wa pwani wenye fursa kubwa kitaifa na kimataifa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwani ni zao la baharini lenye thamani kubwa duniani. Kwa miongo kadhaa, wakulima wa mwani hususan visiwani Zanzibar na mikoa ya...

Reijnders afikia rekodi ya Aguero

MANCHESTER, EnglandSTAA mpya wa Manchester City, Tijjani Reijnders, amekuwa mchezaji wa kwanza wa klabu hiyo baada ya Sergio Aguero kufunga na kutoa 'asisti' katika...

Chiesa atamani kubaki Liverpool

MERSEYSIDE, EnglandKIUNGO wa pembeni wa Liverpool, Federico Chiesa, amefichua kuwa matamanio yake ni kubaki klabuni hapo.Wakati huo huo, Muitalia huyo amesema anajiandaa kukaa mezani...

Donnarumma dili limeiva Man City?

MANCHESTER, EnglandRIPOTI zinaeleza kuwa Manchester City wmaebakiza hatua chache tu kukamilisha usajili wa kipa wa PSG raia wa Italia, Gianluigi Donnaruma.Man City wamehamishia nguvu...

Mechi moja tu, mashabiki hawamtaki kocha West Ham

LONDON, EnglandBAADA ya kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa Sunderland katika mechi yao ya kwanza msimu huu wa Ligi Kuu ya England, mashabiki wa...

Nkunku mguu mmoja Bayern Munich

MUNICH, UjerumaniMATAJIRI wa Chelsea wameanza mazungumzo na Bayern Munich, ajenda kuu ikiwa ni mshambuliaji raia wa Ufaransa, Christopher Nkunku.Blues wako tayari kumwachia Nkunku, ambaye...

Mkorea wa PSG awindwa Arsenal, Man United

PARIS, UfaransaKLABU kongwe za England, Arsenal na Manchester United, zinapigana vikumbo kuiwania saini ya mshambuliaji wa PSG raia wa Korea Kusini, Lee Kang-in.Nyota huyo...

Stars ni rekodi za kibabe tu CHAN 2024

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA mara ya kwanza katika historia ya CHAN, timu ya soka ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imetinga robo fainali, tena...

Kipindupindu chaua 40 wiki moja Sudan

DARFUR, SudanUGONJWA wa kipindupindu umesababisha vifo vya watu 40 ndani ya wiki moja nchini Sudan, huku vita vinavyoendelea vikihusishwa na tatizo hilo.Vita inayoendelea kati...

Watu 360 waugua baada ya chakula cha bure

JAKARTA, IndonesiaWATU zaidi ya 360, wakiwamo wanafunzi, wameugua ghafla baada ya kupata chakula cha bure kinachotolewa shuleni mjini Sragen.Chakula hicho ni sehemu ya programu...

Recent articles

spot_img