Ads: info@gazetini.co.tz |
31.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Endrick; Alitabiriwa makubwa Brazil, sasa anasugua benchi Madrid

MADRID, HispaniaALIWAHI kutabiriwa kuwa staa mpya wa soka la Brazil, akitajwa kufuata nyayo za mastaa wengi waliwahi kupiga katika ardhi ya nchi hiyo, wakiwamo...

Slot ashauriwa ‘kumpotezea’ Salah

MERSEYSIDE, UingerezaMKONGWE wa Liverpool, Steve Nicol, anaamini ni wakati sasa kwa kocha Arne Slot kuacha kumpa nafasi staa wa timu hiyo, Mohamed Salah.Kwa mujibu...

Wachezaji Nigeria wagomea mazoezi wakidai posho

LAGOS, NigeriaMAANDALIZI ya timu ya soka ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles' kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Gabon yameingia mdudu baada ya wachezaji...

Vinicius ataka mshahara wa Mbappe

MADRID, HispaniaKWA mujibu wa kile kilichoripotiwa na Gazeti la Sport la Hispania, Vinicius Jr anataka alipwe mshahara sawa na Kylian Mbappe ili kubaki Real...

Mainoo kuondoka United, anukia Napoli

MANCHESTER, UingerezaNAPOLI imeendelea kumfuatilia kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo, ikipanga kumsajili kwa mkopo ifikapo Januari, mwakani.Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, nyota huyo...

Ronaldo asema atastaafu mwakani

LISBON, UrenoMPACHIKAJI mabao wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameweka wazi kuwa fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakuwa za mwisho kwake...

Ndege ya jeshi Uturuki yapata ajali

INSTANBUL, UturukiNDEGE ya kijeshi ya mizigo nchini Uturuki imepata ajali ikiwa na abiria 20, kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo.Taarifa imeeleza...

Mataifa yanayoongoza kwa wasomi duniani

Na mwandishi wetu, GazetiniRIPOTI ya mwaka huu ya mtandao wa OECD inaonesha kuwa Canada ndiyo kinara katika orodha ya nchi zenye wasomi wengi duniani,...

Binti wa Jacob Zuma na mashitaka ya ugaidi Afrika Kusini

Na mwandishi wetu, GazetiniSIASA za Afrika Kusini zimefungua ukurasa mpya baada ya binti wa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Jacob Zuma, kushitakiwa kwa...

Magonjwa yanayoua zaidi Ulaya

Na Hassan Mwasha, GazetiniUTAFITI wa magonjwa ya moyo na kupooza ni chanzo cha vifo vingi zaidi katika nchi za Umoja wa Ulaya (EU), kwa...

Singapore yaongoza kwa usalama duniani

Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI wa hivi karibuni uliofanywa katika mataifa 144 duniani umeitaja Singapore kuwa ndiyo kinara linapokuja suala la usalama.Singapore, Taifa la barani...

Kashfa BBC| Mkurugenzi Mkuu, CEO waachia ngazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Tim Davie, ametangaza kujiuzulu wadhifa wake kufuatia lawama nzito zilizotokana na madai...

Recent articles

spot_img