Ads: info@gazetini.co.tz |
21.8 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Ngao ya Jamii Zanzibar kuchezwa kesho

Na mwandishi wetu, GazetiniMCHEZO wa Ngao ya Jamii kati ya Mlandege FC na KMKM SC unatarajiwa kuchezwa kesho katika Uwanja wa New Amaan Complex,...

Mtaalamu wa usajili Arsenal kutua Brighton

LONDON, UingerezaALIYEWAHI kuwa Mkurugenzi wa Michezo wa Arsenal, Jason Ayto, anajiandaa kuanza ajira yake mpya katika klabu ya Brighton.Mei, mwaka huu, Ayto aliondoka Arsenal...

Mourinho aikomoa Fenerbahce, achota bil. 25/-

INSTANBUL, UturukiKLABU ya Fenerbahce ya Uturuki italazimika kumlipa Jose Mourinho kiasi cha Pauni milioni 7.7 (zaidi ya Sh bil. 25 za Tanzania) baada ya...

Ronaldo mwanamichezo ghali zaidi duniani

LONDON, UingerezaCRISTIANO Ronaldo ndiye mwanamichezo aliyeingiza fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka jana, akivuna mara mbili zaidi ya mpinzani wake, Lionel Messi.Kwa mwaka jana...

Everton yanogewa kumbakiza Grealish

MERSEYSIDE, UingerezaMABOSI wa Everton wanaangalia uwezekano wa kumsajili moja kwa moja winga wao wa mkopo kutoka Manchester City, Jack Grealish.Grealish amekuwa moto wa kuotea...

‘Mfalme wa bangi’ aliyeteuliwa Waziri Mkuu Thailand

Na mwandishi wetu, GazetiniJINA la Anutin Charnivirakul si geni nchini Thailand. Ni mwanasiasa mkongwe na hivi karibuni aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu baada ya kura...

Watoto wa viongozi ‘kula bata’ chanzo cha machafuko Nepal

Na mwandishi wetu, GazetiniUNAFAHAMU nini kuhusu 'NepoKids'? Huo ni msamiati mpya na maarufu zaidi wakati huu wa maandamano makubwa ya raia wanaoipinga Serikali iliyoko...

Serikali Nigeria imeshindwa vita dhidi ya Boko Haram?

Na mwandishi wetu, GazetiniNI wazi sasa Serikali ya Nigeria inahitaji mkakati mpya wa kukabiliana na Boko Haram baada ya Kundi hilo la waasi kuua...

Chelsea yafunguliwa mashitaka 74

LONDON, UingerezaKLABU ya Chelsea imefunguliwa mashitaka 74 yanayohusu malipo yake kwa mawakala wa wachezaji.Mashitaka hayo ya Chama cha Soka cha England (FA) ni juu...

Onana rasmi ajiunga na Trabzonspor

ISTANBUL, UturukiMLINDA mlango wa kimataifa wa Cameroon, Andre Onana, amejiunga na Trabzonspor ya Uturuki akitokea Manchester United kwa mkopo wa msimu mmoja.Usajili huo ulikamilishwa...

Makamu wa Rais Sudan afunguliwa mashitaka

JUBA, Sudan KusiniMAKAMU wa Rais wa Kwanza wa Sudan Kusini, Riek Machar, amefunguliwa mashitaka akishutumiwa kwa uhaini na mauaji.Kwa mujibu wa Waziri wa Sheria,...

Rais ahukumiwa miaka 27 gerezani

RIO, BrazilRAIS wa zamani wa Brazil, Jair Bolsonaro, amehukumiwa kifungo cha miaka 27 na miezi mitatu gerezani kwa kosa la kusuka mpango wa kupindua...

Recent articles

spot_img